B R A C E L E T
JF-Expert Member
- Nov 11, 2018
- 2,357
- 4,390
Mmoja ndio,baada ya kusahau password za akaunti yangu ya kwanza.Yako kweli umenitangulia mwezi mmoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmoja ndio,baada ya kusahau password za akaunti yangu ya kwanza.Yako kweli umenitangulia mwezi mmoja
Kwanza wewe wa kitambo sana heshima upeweMmoja ndio,baada ya kusahau password za akaunti yangu ya kwanza.
Nipewe na mwali nipunguze na uchovuKwanza wewe wa kitambo sana heshima upewe
Uchovu ninao sana leo, Thad miss u my dearNipewe na mwali nipunguze na uchovu
Dear nimebandika maji taari kaa kwenye karai Uoge.Uchovu ninao sana leo, Thad miss u my dear
Dear onlyalvira nilikuhamu zaidiUchovu ninao sana leo, Thad miss u my dear
Uoge unataka kwenda wapDear nimebandika maji taari kaa kwenye karai Uoge.
Zaidi ya magari 20 yamepatikana mpakaniDear onlyalvira nilikuhamu zaidi
Mpakani mwa Tanzania upande wa kusini walitaka kutushambulia wavamizi kutoka Msumbiji, ila IGP Sirro pamoja na timu yake makini ya makachero na ^vijana wa kazi^ wakawadhibiti vilivyo, sasa wametokomea kusikojulikana -- heko JPM kwa uongozi madhubuti. 2025 bado muhula ni wako huendi popote, tunakuomba utawale miaka mingi tu hata elfu ngapi hukoZaidi ya magari 20 yamepatikana mpakani
Huko unakosema wewe wengine hatutaki [emoji57]mi 5 inamtosha sanaMpakani mwa Tanzania upande wa kusini walitaka kutushambulia wavamizi kutoka Msumbiji, ila IGP Sirro pamoja na timu yake makini ya makachero na ^vijana wa kazi^ wakawadhibiti vilivyo, sasa wametokomea kusikojulikana -- heko JPM kwa uongozi madhubuti. 2025 bado muhula ni wako huendi popote, tunakuomba utawale miaka mingi tu hata elfu ngapi huko
Inamtosha sana kutuweka sawiya kwa sbb hatufuati nidhamu...Huko unakosema wewe wengine hatutaki [emoji57]mi 5 inamtosha sana
Inamtosha sana kutuweka sawiya kwa sbb hatufuati nidhamu...
Mdundo udundwe vichwani mwetu hadi tunyooke na kurekebisha hulka mbovu na dharau zilizo jikita...Nidhamu ni muhimu kwa vile Watanzania hawaendi bila kuburuzwa --- Jeipiiem ndiye mwendo mdundo
Dharau zilizojikita zina chanzo chake na mwanzilishi wake anajulikana.....ukimtaja hapa huu uzi unafutwaMdundo udundwe vichwani mwetu hadi tunyooke na kurekebisha hulka mbovu na dharau zilizo jikita...
Unafutwa kwa sababu zipi? Yani usifutwe uzi wa "Picha za warembo wakali" ufutwe huu!!Dharau zilizojikita zina chanzo chake na mwanzilishi wake anajulikana.....ukimtaja hapa huu uzi unafutwa
Huu sasa ni mwanzo wa utandawazi & sayansi na teknolojia kama Obama wa Bongo naye siku hizi anajua Kiswahili. Haya ni mafanikio makubwa sana kwa uongozi wa serikali ya awamu tano ya JPM kwa kumudu kuisambaza lugha ya taifa hadi MarekaniUnafutwa kwa sababu zipi? Yani usifutwe uzi wa "Picha za warembo wakali" ufutwe huu!!
Marekani wanawajiri jirani zetu waKenya ktk kusomesha lugha hii ya kiswahili, Jee siye wTZ hatuwezi kuwajibika?Huu sasa ni mwanzo wa utandawazi & sayansi na teknolojia kama Obama wa Bongo naye siku hizi anajua Kiswahili. Haya ni mafanikio makubwa sana kwa uongozi wa serikali ya awamu tano ya JPM kwa kumudu kuisambaza lugha ya taifa hadi Marekani
Kuwajibika ni jukumu letu soteMarekani wanawajiri jirani zetu waKenya ktk kusomesha lugha hii ya kiswahili, Jee siye wTZ hatuwezi kuwajibika?
Sote tunaweza kuzamaKuwajibika ni jukumu letu sote