bway hermit
JF-Expert Member
- Jan 8, 2017
- 1,337
- 2,339
Wakeshaji wameamkaSana sana huu ni muda wa wakeshaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakeshaji wameamkaSana sana huu ni muda wa wakeshaji
Wameamka mwamko wa Afya na utanashati.Wakeshaji wameamka
Utanashati ni asili yaoWameamka mwamko wa Afya na utanashati.
Yao asili hawawezi kuiachaUtanashati ni asili yao
yao ni yetu mbonaUtanashati ni asili yao
Mbona mnakuwa wakali na ukaidi wa kupatana !!yao ni yetu mbona
Mbona mnakuwaga wabishi na wakaidii?yao ni yetu mbona
Wakaidi hawafaidi mpaka siku ya idiMbona mnakuwaga wabishi na wakaidii?
Iddi ni sikukuu ya kutembeleana,kuwasiliana na kujuliana Hali na haswa haswa kula pilau pamoja.Wakaidi hawafaidi mpaka siku ya idi
Nalog off
Panoja na hayo tusisahau kutembelea Ndugu zetu katika HospitalIddi ni sikukuu ya kutembeleana,kuwasiliana na kujuliana Hali na haswa haswa kula pilau pamoja.
Hospital zetu ziboreshwe sanaPanoja na hayo tusisahau kutembelea Ndugu zetu katika Hospital
Uhudumiaji wa mtoto mchanga unahitaji umakini mkubwa.Sana, haswa katika mambo ya uhudumiaji
Mkubwa wako wa kazi anakuita harakaUhudumiaji wa mtoto mchanga unahitaji umakini mkubwa.
Haraka tuu nikajikuta nishakojoa kumbe kwa ndani aliifinyia..Mkubwa wako wa kazi anakuita haraka
Haraka haraka haina baraka.Mkubwa wako wa kazi anakuita haraka
Baraka ni bahati yenye Kheri kemkemHaraka haraka haina baraka.
Kemkem ndio nini mkuu sijaelewaBaraka ni bahati yenye Kheri kemkem
Kemkem ndio nini mkuu sijaelewa
Sijaelewa umekwama wapi, kemkem maana yake nyingiKemkem ndio nini mkuu sijaelewa