kiboboso
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 9,323
- 12,594
Mito mingi imekaukaKitu kimoja sikipendi kuhusu Ngoswe ni namna alimuharibia future mtoto wa sheikh wangu, mzee Ngengemkeni Mitomingi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mito mingi imekaukaKitu kimoja sikipendi kuhusu Ngoswe ni namna alimuharibia future mtoto wa sheikh wangu, mzee Ngengemkeni Mitomingi.
Ukame utatuua!Imekauka sababu ya ukame
Utatuua kwa kiuUkame utatuua!
Kiu niliyonayo hapa itatulizwa na mirinda nyeusi ya baridi
Kutetemeka kwako ni uroho uliopitiliza mkuu🤣🤣🤣Ya baridi siyawezi, si unanijua nina ugonjwa wa kutetemeka[emoji445]
Mkuu nakusalimia kwa jina la jamhuri ya muunganoKutetemeka kwako ni uroho uliopitiliza mkuu🤣🤣🤣
Muungano Kati ya Tanzania na zambiaMkuu nakusalimia kwa jina la jamhuri ya muungano
Muungano Kati ya Tanzania na zambia
Trip yako ya kwenda motoni bado ipo.Zambia au msumbiji, wapi ni bora kwa road trip?
Ipo haja kumtumainia Mungu kwa kila hatua tunayoiendeaTrip yako ya kwenda motoni bado ipo.
Ipo haja kumtumainia Mungu kwa kila hatua tunayoiendea
Ndani yake kuna hofu ya MunguTunayoiendea iwe na baraka tele ndani yake
Mungu ni mwema natumaini nyote mumeamka salama tenaNdani yake kuna hofu ya Mungu
Tena tupo tayari kuupiga mwingi kama mamaMungu ni mwema natumaini nyote mumeamka salama tena
Mama anapika ujiTena tupo tayari kuupiga mwingi kama mama
Uji ni neno lililotokana na 'Ujiji'. Mgunduzi wa uji anatokea mjini Ujiji kule Tabora. Nasema uongo ndugu zangu?Mama anapika uji
Zangu bado hazijakauka, leo kuna mvuaUji ni neno lililotokana na 'Ujiji'. Mgunduzi wa uji anatokea mjini Ujiji kule Tabora. Nasema uongo ndugu zangu?
Mvua inanyesha wapi?Zangu bado hazijakauka, leo kuna mvua