Pep
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 2,338
- 5,488
Dunia tambara bovu!!! huwa najiuliza tambara gani kubwa hivi? halafu tunaishi vipi kwenye tambara? kwa hili wahenga walitudanganya pakubwaSana na mahangaiko ya dunia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dunia tambara bovu!!! huwa najiuliza tambara gani kubwa hivi? halafu tunaishi vipi kwenye tambara? kwa hili wahenga walitudanganya pakubwaSana na mahangaiko ya dunia
Pakubwa sana pale nyumbani kwakoDunia tambara bovu!!! huwa najiuliza tambara gani kubwa hivi? halafu tunaishi vipi kwenye tambara? kwa hili wahenga walitudanganya pakubwa
Pakubwa sana pale nyumbani kwako
Kwako patabaki kuwa kwako, tofaut na ugenini
Ugenini kuzoea si kazi rahisi
Rahisi ya ghali, walisema wahenga
Enzi zao walikua na tabia za kikoloniWahenga waliishi kwa misemo enzi zao
Enzi zao walikua na tabia za kikoloni
Mzima wewe? mimi niko poaKikoloni ilikuwa mtumwa akitoroka utumwani anaonekana sio mzima
Poa tu hata wakiongeza tozoMzima wewe? mimi niko poa
Tozo za miamala ya Simu kwa kweli itakuwa ni moja ya matukio ya kukumbukwa Mwaka huu 2021Poa tu hata wakiongeza tozo
Nalog off
Mwaka huu 2021 hautapita bila ya mimi kumpikia baba mtumishi Pep chapati nzuri.Tozo za miamala ya Simu kwa kweli itakuwa ni moja ya matukio ya kukumbukwa Mwaka huu 2021
Nzuri ni zile za Tanga bana!Mwaka huu 2021 hautapita bila ya mimi kumpikia baba mtumishi Pep chapati nzuri.
bana hata za bara n nzur na lainNzuri ni zile za Tanga bana!
Si kweli, labda mainibana hata za bara n nzur na lain
Poa tukutane baadaeMzima wewe? mimi niko poa
Maini ya ng'ombe ni tamuSi kweli, labda maini
Maini ya ng'ombe ni tamu
Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa.Tamu hili penzi langu na mtoto wa watu
Maarifa ya Jamii, je wakifahamu hiki Kitabu?Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa.