manchoso
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 1,605
- 2,055
jay dee na gadner wamerudia kukojozanaKiboko yao, jina la Wimbo wa Lady Jay Dee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jay dee na gadner wamerudia kukojozanaKiboko yao, jina la Wimbo wa Lady Jay Dee
Kukojozana huko kwiojay dee na gadner wamerudia kukojozana
kwio hivi lipo kwenye kamusi?Kukojozana huko kwio
Kukojozana huko kwiojay dee na gadner wamerudia kukojozana
Kamusi ya mtaanikwio hivi lipo kwenye kamusi?
mtaani haswa uswahilini wanatuharibia kiswahiliKukojozana huko kwio
Kamusi ya mtaani
Kiswahili hakiharibiwi bali kina kuzwa kwa maana ya misamiati mipya.mtaani haswa uswahilini wanatuharibia kiswahili
mipya wap bhana wanatuharibia lughaKiswahili hakiharibiwi bali kina kuzwa kwa maana ya misamiati mipya.
Lugha yetu inapendwa na wengimipya wap bhana wanatuharibia lugha
Wengi kama si wote tunatamani kuwa matajiri ila wachache ndo wanaofanikiwaLugha yetu inapendwa na wengi
Wanaofanikiwa kwenye biasharaWengi kama si wote tunatamani kuwa matajiri ila wachache ndo wanaofanikiwa
Biashara inahitaji kujitumaWanaofanikiwa kwenye biashara
Kujituma ndio msingi wa mafanikioBiashara inahitaji kujituma
Mafanikio yanategemea mizigo unayoibeba ya watu wako wa karibu.Kujituma ndio msingi wa mafanikio
Wenyewe tunaamini upendo wa kweli hauna sababu maalum. Nasema uongo mama mtumishi Saint AnneKuongezeka huko kunatokana na mambo mengi ambayo mnayajua wenyewe
Saint Anne anazidi kumpenda mtumishi Pep kadiri siku zinavyosonga mbele.Wenyewe tunaamini upendo wa kweli hauna sababu maalum. Nasema uongo mama mtumishi Saint Anne
"Tu" kwa wale wajuvi wa kiswahili kwenye MOFIMO ni nini?Mbele nipagumu ila nikusonga tu
Ni nini unamaanisha maana kiswahili ni kigumu"Tu" kwa wale wajuvi wa kiswahili kwenye MOFIMO ni nini?
Kigumu kuliko yote ni kumuacha baba mtumishi Pep maishani mwangu.Ni nini unamaanisha maana kiswahili ni kigumu
Maishani mwangu mwote nimezunguka nchi kadha wa kadha. Lakini sijamwona msichana mwenye haiba kama ya mama mtumishi Saint AnneKigumu kuliko yote ni kumuacha baba mtumishi Pep maishani mwangu.