Pep
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 2,338
- 5,488
Moto wa upendo wangu kwako ni kama wa Jahannam.....yaani ni wa milele, hauzimikiTangu jumatatu nchi umekuwa ya moto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Moto wa upendo wangu kwako ni kama wa Jahannam.....yaani ni wa milele, hauzimikiTangu jumatatu nchi umekuwa ya moto
Hauzimiki kwa sababu mama mtumishi pia anakupenda mno.Moto wa upendo wangu kwako ni kama wa Jahannam.....yaani ni wa milele, hauzimiki
Haukijui ninachowaza juu ya mpendwa wanguCha kujaza kweli haukijui??
Yule binti nilimuomba Mungu anipatie, awe wanguHauzimiki kwa sababu mama mtumishi pia anakupenda mno.
Sijui hata umempa nini yule binti.
Wangu niliyekuwa namuwaza amekuja.Haukijui ninachowaza juu ya mpendwa wangu
Amekuja baada ya kuku missWangu niliyekuwa namuwaza amekuja.
Awe wangu sasa na siku zote zilizobaki.Yule binti nilimuomba Mungu anipatie, awe wangu
Kukumiss wewe imekuwa ugonjwa wangu.Amekuja baada ya kuku miss
Siku zote zilizobaki kaa na mimi.Awe wangu sasa na siku zote zilizobaki.
Ugonjwa wangu ni cute face yakoKukumiss wewe imekuwa ugonjwa wangu.
Wenzangu wanamshangaa mama mtumishi alivyopendaSiku zote zilizobaki kaa na mimi.
Uliumbwa kwaajili yangu, walishaniambiaga hata wenzangu
Mwingi anaupiga huyu baba.Ugonjwa wangu ni cute face yako
Mtumishi mwenzetu kutoka the green city anakaribia kuanza kuupiga mwingi
Alivyopenda Mungu wacha iwe hivyoWenzangu wanamshangaa mama mtumishi alivyopenda
Mbeya ndo ina watu wa hivi eti?Mwingi anaupiga huyu baba.
Mungu wa Mbinguni azidi kumtunza baba yetu kutoka Mbeya.
Eti ni kweli unaamini vituko hivyo?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Iwe hivyo sasa na milele.Alivyopenda Mungu wacha iwe hivyo
Milele aminaIwe hivyo sasa na milele.
Asante😍🙏Vile vimataga vinanisubiri kule...watoto wa jana 😅
Baba mtumishi na mpwa 'zake' hawa hapa mama mtumishi
View attachment 2072399
Michoro?Asante😍🙏
Lini utanipa picha bila michoro?