Pep
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 2,338
- 5,488
Nyanda za juu kusini nilipoenda kufanya shughuli za chama juzi? Au wapi unamaanishaMbele ughaibuni kuna hali nzjri ya hewa kama ya kule kwetu nyanda za juu kusini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyanda za juu kusini nilipoenda kufanya shughuli za chama juzi? Au wapi unamaanishaMbele ughaibuni kuna hali nzjri ya hewa kama ya kule kwetu nyanda za juu kusini.
Unamaanisha Ileje kwetu?😂😂Nyanda za juu kusini nilipoenda kufanya shughuli za chama juzi? Au wapi unamaanisha
Nikipigwa ban utabaki pekeyako eeh!???🏃♀️Basi ndo uharibu flow tena? 😡😠
C c mods
Kwetu pangekua karibu na kwenu ningekuja kukuibaUnamaanisha Ileje kwetu?😂😂
eeh???? Umeharibu tena.Nikipigwa ban utabaki pekeyako eeh!???🏃♀️
🤣🤣🤣🤣🤣eeh???? Umeharibu tena.
Hivi kwenu hakuna wakubwa? 😠
Kukuiba wewe mwaka huu ni lazima😝Kwetu pangekua karibu na kwenu ningekuja kukuiba
Lazima nikuhamishie Ngaleloo.Kukuiba wewe mwaka huu ni lazima😝
Jamani unashindwa vipi kwenda na flow?🤣🤣🤣🤣🤣
Umenilima dislikes hadi nahisi kizunguzungu jamani
Mahari kamili ni muhimu🤣Lazima nikuhamishie Ngaleloo.
Dada mkubwa HS ame promise kunisaidia ku negotiate mahari 🤨
Dah dislikes zinanitosha sasa😝Jamani unashindwa vipi kwenda na flow?
Naku block kama ndugu yako Bia Yetu, shabasssh
Muhimu HS ananielewa...Mahari kamili ni muhimu🤣
Sasa kunywa maji ulaleDah dislikes zinanitosha sasa😝
Zangu hisia zimenipeleka kwakeMuhimu HS ananielewa...
Hili jiko naweza pewa kwa mkopo kabisa, dada mkubwa ameelewa sera zangu
Kweli ya Mungu itatuweka huru.Kwake yeye ni kimbilio.
Tuendelee kumuabudu katika roho na kweli
![]()
Ulale sasa ,dislikes zinatosha😂Sasa kunywa maji ulale
Zinatosha kweli, nilale kwenye uzi? 😳Ulale sasa ,dislikes zinatosha😂
Kumekucha na makucha yakeUzi wa moto ndiyo kwanza kumekucha