HARUFU
Platinum Member
- Jan 21, 2014
- 31,563
- 48,223
Nzuri sana kuliko zotePis of shit ni picha moja nzuri sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nzuri sana kuliko zotePis of shit ni picha moja nzuri sana
😂😂😂😂😂😂😂Mtumishi gani serikalini alimuuliza mke wake kama amekufa?
Embu pisi kali yenye association na Lumumba street itukumbushe
Zote siku najua kuwa Mungu ni mkuu.Nzuri sana kuliko zote
Kukuonesha njia ya kwenda Mbinguni utanilipa hela ngapi?😂😂😂😂😂😂😂
Itukumbushe kwamba mtumishi ana upande wake mwingine mzuri,,,ngoja nitakuja kukuonyesha😉
Mkuu mambo vipi 😎Zote siku najua kuwa Mungu ni mkuu.
Ngapi picha nikuonyeshe za mwamba akiupiga mwingi kule Ileje😂Kukuonesha njia ya kwenda Mbinguni utanilipa hela ngapi?
Vipi mambo we Pep vipi mamboMkuu mambo vipi 😎
Mistari yako imesimama, tupe na mingine usitubanieVipi mambo we Pep vipi mambo
Wewe msela vipi mambo mshkaji vipi mambo
Bwana pep vipi hapo hapo Arusha vipi mambo
...
Nipe dini nipe dili msela nipe dili nikamate mahela🤏😎
Najaribu kuchana mistari😂😂😂
Ileje kule mimi ni celebrity sana.Ngapi picha nikuonyeshe za mwamba akiupiga mwingi kule Ileje😂
Aliye juu namshukuru, amenipa pisi kali sana kutoka pale Lumumba street
Mistari yako ina featherweight, itoshe tu kusema ni mepesi kama barafu jangwani 🏃♂️Vipi mambo we Pep vipi mambo
Wewe msela vipi mambo mshkaji vipi mambo
Bwana pep vipi hapo hapo Arusha vipi mambo
...
Nipe dini nipe dili msela nipe dili nikamate mahela🤏😎
Najaribu kuchana mistari😂😂😂
jangwani ukipenda paite utopoloniMistari yako ina featherweight, itoshe tu kusema ni mepesi kama barafu jangwani [emoji2089]
Utopoloni aka utopwinyoni wanashangilia na ligi bado haijaishajangwani ukipenda paite utopoloni
Ina bambamba kwenye baridiKumbe unaweza kuchana mtumishi mama mchungaji na hip hop inabamba
Baridi ya njombe isikie tu ni nomaIna bambamba kwenye baridi
Noma ipo2Baridi ya njombe isikie tu ni noma
2Pac bado tunaishi nae kimuzikiNoma ipo2