Huyu Mimi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2019
- 2,575
- 2,117
Uchi tena, Saka noti.Juzi nimekosa uchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchi tena, Saka noti.Juzi nimekosa uchi
Noti za bandia hazipo siku hiziUchi tena, Saka noti.
Siku hizi upatikanaji wa mazao umepunguaNoti za bandia hazipo siku hizi
Umepungua kwa sababu ya ukameSiku hizi upatikanaji wa mazao umepungua
Ukame dawa yake mvuaUmepungua kwa sababu ya ukame
Mvua hakunaUkame dawa yake mvua
Hakuna lenye mwanzo linalokosa mwishoMvua hakuna
Mwisho wa mwaka umekaribiaHakuna lenye mwanzo linalokosa mwisho
Mwisho ni kifoHakuna lenye mwanzo linalokosa mwisho
Umekaribia kama utani kwa kweli siku zinaenda mbioMwisho wa mwaka umekaribia
Mbio za sakafuni huishia ukingoniUmekaribia kama utani kwa kweli siku zinaenda mbio
Huishia ukingoni kwa kweli misemo ya wahenga ina mafundishoMbio za sakafuni huishia ukingoni
Mafundisho yenu mazuri nimerudi tena kujifunza hapaHuishia ukingoni kwa kweli misemo ya wahenga ina mafundisho
Hapa sijakuona long time hivi ulipotelea wapiMafundisho yenu mazuri nimerudi tena kujifunza hapa
Wapi Kuna bia za bukuHapa sijakuona long time hivi ulipotelea wapi
Wapi nipoteee.? Nipo ila mitaa hii ni muda sijapitaHapa sijakuona long time hivi ulipotelea wapi
Wapi nipoteee.? Nipo ila mitaa hii ni muda sijapita
Mafuta ya mwamposa au ya mzaituniHujapita kwasababu huna Mafuta?
Mengi tunapitia kimyakimya mkuu Mbaga IIIWashawasha na log off sikuoni mzee masiku mengi