Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,757
Sana tena sana kuchepuka rahaMadogo wanasumbua sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sana tena sana kuchepuka rahaMadogo wanasumbua sana
Raha na furaha isiyo na kifaniSana tena sana kuchepuka raha
Furaha isiyo na kifani ni maisha tuliyoyachagua mimi pamoja na Baba Mtumishi Pep .Raha na furaha isiyo na kifani
VilePep Gadiola ni mshenz sana , yaani kawapa liver ngao then sas wapo kam wafiwa vile [emoji527]
Muda wowote Mwana wa Adam atarudi.Vilemambo yanapobadilika muda wowote![]()
Atarudi wap wakati dhambi zinazidi kuwa nyingiMuda wowote Mwana wa Adam atarudi.
Nyingi kuliko matendo ya memaAtarudi wap wakati dhambi zinazidi kuwa nyingi
Mema ya mtu siku zote hayaonekaniNyingi kuliko matendo ya mema
Hayaonekani kwa macho ya nyamaMema ya mtu siku zote hayaonekani
Papuchi hili neno liongezwe kwenye kamusi ya KiswahiliNyama ni tamu kuliko papuchi
Kiswahili kiwe ni lugha ya kifundishia hadi vyuo vikuu.Papuchi hili neno liongezwe kwenye kamusi ya Kiswahili
Vyuo vikuu bora TanzaniaKiswahili kiwe ni lugha ya kifundishia hadi vyuo vikuu.
Tanzania bila katiba mpya tutazunguka na kuendelea kupiga hatuma moja mbele na mbili nyuma, Katiba ni lazima iwe na vifungu vya kuwawajibisha viongozi hasa hawa wa kisiasa kwa wananchi waliowachagua.Vyuo vikuu bora Tanzania
Wananchi waliowachagua wanaish maisha magumu sana wao wanainjoy life tuTanzania bila katiba mpya tutazunguka na kuendelea kupiga hatuma moja mbele na mbili nyuma, Katiba ni lazima iwe na vifungu vya kuwawajibisha viongozi hasa hawa wa kisiasa kwa wananchi waliowachagua.
Tu Tu Hai Wahi, kazi ya DJ Aqeel.Wananchi waliowachagua wanaish maisha magumu sana wao wanainjoy life tu
Mwenyewe sina wasiwasidj aqeel simpendi,wai mwenyewe
wasiwasi na mashaka sinavyo tenaMwenyewe sina wasiwasi