Rayns
JF-Expert Member
- Jul 29, 2023
- 3,620
- 7,818
risasi ni ka waya kalaini kanakotumika kuchomelea simu ya poker ikiharibikaWapi Tundu Lisu alipigwa risasi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
risasi ni ka waya kalaini kanakotumika kuchomelea simu ya poker ikiharibikaWapi Tundu Lisu alipigwa risasi.
risasi ni ka waya kalaini kanakotumika kuchomelea simu ya poker ikiharibika
kona ni ka angle fulani asili yake kanakuwaga ni 90°... Lakn kama fundi atakosea au akajenga akiwa ameboost kdgo... Kanaendaga mpaka 70° au 130°... Pia kona sio kitu chenye radha aidha uchungu ama utamuIkiharibika amani ya nchi risasi zitalindima kila kona
Utamu kwenye kona?!kona ni ka angle fulani asili yake kanakuwaga ni 90°... Lakn kama fundi atakosea au akajenga akiwa ameboost kdgo... Kanaendaga mpaka 70° au 130°... Pia kona sio kitu chenye radha aidha uchungu ama utamu
Kona gani hizo mnaziongelea? MnatuchanganyaUtamu kwenye kona?!
Kona gani hizo mnaziongelea? Mnatuchanganya
Zake shida wa kuzitatua ni wewe, unakwepaje majukumuMnatuchanganya wanawake kuomba omba hela,tumestuka Kila mtu abaki na shida zake
Majukumu mengine ni ya kwao ila wanawabebesha WanaumeZake shida wa kuzitatua ni wewe, unakwepaje majukumu
Wanaume wana jukumu kubwa nalo ni kula kwa jasho lao, na Wanawake wana jukumu kubwa nalo ni kuzaa kwa uchungu.Majukumu mengine ni ya kwao ila wanawabebesha Wanaume
Wanaume wana jukumu kubwa nalo ni kula kwa jasho lao, na Wanawake wana jukumu kubwa nalo ni kuzaa kwa uchungu.
Pesa ni jawabu la mambo yote.Uchungu huo mtamu,heshima ya mwanamke mtoto,mwanaume pesa
Yote kwa yote nakupendaPesa ni jawabu la mambo yote.
Nakupenda Yesu ,u mali yangu.Yote kwa yote nakupenda
Yangu nia nikukupeleka uingereza Anfield ukamwone salah.Nakupenda Yesu ,u mali yangu.
Yote hayo maneno tupu, Kama kweli unampenda mtunze,mlinde,mjali na kumthamini,mfanye ajione wa pekee sio nakupenda nakupenda na your Poker faceYote kwa yote nakupenda
Salah ndiye Mfalme wa Mpira duniani koteYangu nia nikukupeleka uingereza Anfield ukamwone salah.
Kote duniani kasoro hapa JF wewe ndio ballon D'oR wanguSalah ndiye Mfalme wa Mpira duniani kote
wangu wangu alimaarufu kama haraka haraka yanini poker?... Hawa viumbe hawahtaji haraka... Ndege wakwako manati yanini... Ukiwa na haraka atakataa atajiona kama yeye malaya... Wakati mtoto yule ana heshima zake... Alaf anaonekana anakupenda... Sema kina mideko wanabatle na yeye kwako na yeye sio mtu wa mashindano... Poker unapendwa...Kote duniani kasoro hapa JF wewe ndio ballon D'oR wangu
Unapendwa na mtoto wa mbeya Saint Anne mpaka unahisi upo peponiwangu wangu alimaarufu kama haraka haraka yanini poker?... Hawa viumbe hawahtaji haraka... Ndege wakwako manati yanini... Ukiwa na haraka atakataa atajiona kama yeye malaya... Wakati mtoto yule ana heshima zake... Alaf anaonekana anakupenda... Sema kina mideko wanabatle na yeye kwako na yeye sio mtu wa mashindano... Poker unapendwa...
Peponi wataenda wenye mioyo safiUnapendwa na mtoto wa mbeya Saint Anne mpaka unahisi upo peponi