Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Mzuri ukiweza kuucheza kama magwanda

Magwanda ni kwa sababu hawajapata, ila mh!!....ashakun si matusi, wakipata hao ****** yakilia mbwata tu, uchakachuzi utaendelea kama kawaida.....
 
Magwanda ni kwa sababu hawajapata, ila mh!!....ashakun si matusi, wakipata hao ****** yakilia mbwata tu, uchakachuzi utaendelea kama kawaida.....

kawaida ya binadamu ni kujiridhisha wao kwanza ndio wengine wafuate
 
SHUGAMAMI LINALONILEA LINANITIMIZIA KILA KITU ROHO INAPENDA MDUKINUU!!!
gAME LINAISHIA HAPA MIE NDIYE BINGWA KLAPKA DAVINOOOOOOOOOOOO!!!
 
* ni button inayonisumbua sana kwenye blackberry yangu ya mchina.

Sent from my blackberry 9300 using jamiiforums
mchina mbona umepigwa stop kule kenya, subiri kimbembe cha tcra mda si mrefu
 
Mrefu ndiyo jina la kaka yangu wengine wanamuita abdi-tall!!! Mr Kicheko Sumu ebu acheni hinda uzi unaishia hapa huu mie ndiye bingwa mwenyewe
 
Last edited by a moderator:
Mrefu ndiyo jina la kaka yangu wengine wanamuita abdi-tall!!! Mr Kicheko Sumu ebu acheni hinda uzi unaishia hapa huu mie ndiye bingwa mwenyewe

Mwenyewe nilitamani kuwa bingwa miezi mingi iliyopita ikashindikana.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Ikashindikana kwasababu huwezi kuanzA sentesi mpya na
alama hii ?
 
mshangao wangu nikwamba kwanini hamtaki kuniachia hivi viatu vyangu maana nyie haviwatishi Krapka Davinoooooo
 
Back
Top Bottom