nadnan sab
Senior Member
- Jan 13, 2013
- 104
- 17
Mbona mnavuruga hii maada? neno la mwisho ni KABAANG,hilo neno NGANO limetoka wapI? katika sentensi yangu halipo! MOD anisaidie ,kwani mi ndie mshindi, neno la mwisho lilikuwa ni KABAANG! na halijaendelezwa,au alieanzisha atoe uamuzi ,KABAANG MAMBO YA KIFURUSHI CHA TIGO WIKI NZIMA BUKU TISA MPO HAPO ,MWISHO WA SHINDANO!
Shindano hili umelitoa wewe hebu Wacha tuendelee