John mungo
JF-Expert Member
- Dec 8, 2013
- 1,008
- 1,028
Hataivyo na maaskari waongezewe mishahara ili tamaa ziwapungue kwani.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pia nimegundua mchezo huu hautaisha, kwani jf ina wabishi wengi hawataki kukubali mimi ndio mshindi.
Ugunduzi wa Sabuni za unga umerahisisha kazi ya ufuaji kwani ufanisi wake ni zaidi ya sabuni za kipande kama vile mshindi.Mshindi ni sabuni iliyopotea mda mwingi kwa kusambaa sabuni za unga kathiir.
Ugunduzi wa Sabuni za unga umerahisisha kazi ya ufuaji kwani ufanisi wake ni zaidi ya sabuni za kipande kama vile mshindi.
Mwisho wake si ndo huu
Nini wangu namtamani
Namtamani na rangi yake ka mlami
Mwisho wa ubaya ni aibu ona sasa Mabina kauawa kama kibaka.Mlami ndio nini wewe au unatuchanganya ili uonekane wewe ndio wa mwisho.
Mwisho wa ubaya ni aibu ona sasa Mabina kauawa kama kibaka.
Mshindi gani wewe? Nilishasema mchezo huu hauna mshindi zaidi ya mimi.Nini Kuhusu Nin Akat Mim Ndo Mshindi
Mshindi gani wewe? Nilishasema mchezo huu hauna mshindi zaidi ya mimi.