mahirtwahir
JF-Expert Member
- Jan 12, 2013
- 613
- 313
Alikufa kwa kupigwa risasi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngapi manchester walipgwa
walipigwa na kina nani
Nani ni mchezaji hodari kama mimi katika uwanja wa mbao
Ndani au nje usipojaribu hutafanikiwa
Hutafanikiwa usipoacha uwongo
Kutoaminiana ni mwanzo wa mizozo kwenye mahusiano...
Zezeta kama zito
Zinapuuziwa na ndio maana migogoro haiishi.Hoja za msingi zinapuuziwa
Zinapuuziwa na ndio maana migogoro haiishi.
(niwaone kama mtaendelea) Wanaisha kama upepo unavyovuma pyuuu!
Pyuuu Pyuuu husikika pale majangiri wanapomlenga tembo
Tembo katika mbuga zetu wamepungua sana, hawa majangiri inatakiwa nao waanze kusakwa na kuuawa.