janeth1
JF-Expert Member
- Apr 4, 2014
- 2,151
- 768
Ovyo anamaanisha hujielewi
hujielewi kivipi? Ila ni kweli kuna watu hawajielewi humu ndani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ovyo anamaanisha hujielewi
Hahaha kumbe ndio maana yake
Mmmh aya basi kweli siruhusiwi humu
humu unaruhusiwa jamani ndomana likaitwa jukwaa la jokes usipanik rafiki sawa kwanza napenda chalenji zako.
zako zmefichwa chn ya droo
Namm nilikuwa natania nione kama still "needed" humu
"Kanun" zpo wap?
tuzo alizopata Diamond,zinalipaisha jina lake kimataifatena nataka nikupe tuzo.
Kimataifa na hata kitaifa pia ndo maana umaarufu wake unazidi
Hapa JF sio sehemu sahihi ya kutafuta mke/mme