janeth1
JF-Expert Member
- Apr 4, 2014
- 2,151
- 768
mme aliye muacha anamtamani tena
tena ndo mzuri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mme aliye muacha anamtamani tena
tena ndo mzuri.
Na "wewe" ndio pacha wake
wake anae mwenyewe.
Raha ya sheria zivunjwe na kuvunjika
Kuvunjika ni hatari kwa muungano wa Tanzania
Tanzania Nchi yangu, naipenda hainiishi hamu. Imejaaliwa Mali na Amani, popote duniani sipatamani. Mola ijaze ihsani na uilinde dhidi yao mahasidi
Mahasidi ni maandaz ambayo yamekaushwa kwa kuni
mazingira ni mazuri, ila pirate kanidanganya.
Kananidanganya ni sentensi huru isiyokuwa na kishaz shirikish