Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Mfululizo wa matukio ya uwizi na ufisafi wa mali za umma umezidi mno
 
Umeisha? Umeishaje sasa? KWa sababu wadau wameanza kuongelea Amani huko Somalia basi we unatangaza mchezo umekwisha...na wasiwasi na Jina lako limefanana na mkuu wa Al-Shabab

Al-shabab wamemfanya kitu kibaya sana pirate ndo maana hajielewi kwenye huu uzi labda jeneth 1 mtoto bikra
 
Al-shabab wamemfanya kitu kibaya sana pirate ndo maana hajielewi kwenye huu uzi labda jeneth 1 mtoto bikra

bikra Maria nasikia huwa anaombea watu kwa Yesu sijui wenyewe hawana midomo... Wapi pirate
 
Last edited by a moderator:
Pirate ni mtu ambaye ajui kinachoendelea humu ndan Kwasabab kila mtu anasema yeye ni mshindi
 
Pirate ni mtu ambaye ajui kinachoendelea humu ndan Kwasabab kila mtu anasema yeye ni mshindi

mshindi lazima uwe wewe, waooh umeandika vizuri hadi nimependa sijui nikupe zawadi ya mdori kigari cha kusukuma?
 
Back
Top Bottom