Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchezo gani tena.....
tena wewe wanakulala wenzako fata sheria
sheria yenyewe inavunjwa kila kuitwapo leo.
Leo nimekubamba na huku
Huku kwenye thread hii poa sana ila kuna viraza hawajui kufuata sheria.
Leo nimekubamba na huku
sheria isingekuwepo unadhani dunia ingekuwaje?
ingekuwaje kwani saizi huioni ilivyo?
huku ni maeneo yangu ya kujidai zaidi ya kule.
Kule nimepazoea zaidi
Zaidi ya yote mchezo uishe
hawa akina nani wakati nyie ndo mmeanza
Huku ndo kwetu
kwetu hakuna wapuuzi kama wewe na sajumo
Sajumo ajaniambia kwamba huku kuna mchezo mzuri.
mzuri sana huu mchezo karibu.