Wa tatu naye kanikataa! Nakosea wapi ndugu zanguni?

Wewe nenda sehemu ya ku search andika hivyo nilivyokwambia utakuja..

Vyema Kama unaona wa kipekee lkn kilamba mwiko hapa naona normal..πŸ˜‚
 
Tafuta mwanamke wa kati au kawaida alafu mtengeneze apendeze wale wote waliokukataa watakutafuta alafu usiwakubali tena
 
Mbona uajihangaisha hivyo? We tafuta pesa watajileta.
Unajua mabinti ukiwa na pesa wanaliwa kirahisi hata bila kula hiyo pesa uwa hadi najiuliza inakuaje.
Yani ana jifeel proud kuwa na bwana mwenye gari kali utadhani kali la kwake, anajisifu kuwa na bwana mwenye nyumba kali utadhani nyumba ya kwake, mwisho wa siku analiwa bila hata kupewa chochote zaidi ya kuambuliwa kupiga selfie akiwa kwenye gari na sebuleni.
Ni kama vile fisi, inasemekana fisi akimuona binadamu anatembea huku akiswing mkono uwa anahisi utandondoka hivyo anamfuata kimya kimya kwa nyuma mwisho wa siku binadamu anafika home na kuzama ndani fisi haambulii kitu.
 
Tafuta mwanamke wa kati au kawaida alafu mtengeneze apendeze wale wote waliokukataa watakutafuta alafu usiwakubali tena
Tatizo moyo unata nilipopenda!
 
πŸ˜‚πŸ˜‚
Mkuu hii swala lipo kwa zile pisi mazozitaka!.. mi napenda Toto nzuriiii Tena sahivi nataka mzungu maana Hawa waswahili naona hatuelewani ndo nipo napiga msasa English yangu ikae sawasawa ili zile yes no na lilo bil nizisikie vizuri..πŸ˜‚
Sitaki dunia inipite sikuja kuuza sura hapa duniani..😜
 
Silaha pesa ...... [emoji23][emoji23]
 
Nmekunyanyulia mikono

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…