Wa Tigray Ethiopia wana kila haki ya kujitenga, ni kama Catalonia, White People wa South Africa

Wa Tigray Ethiopia wana kila haki ya kujitenga, ni kama Catalonia, White People wa South Africa

Ona maccm yalivyo majinga, nchi za wenzenu mnashabikia watu wajitenge, wakati kwenu wenyewe kumejaa dhulma pumbavu kabisa.
Angeongezea kwamba hawa ni sawa na Zanzibar angalau angekuwa consistent.
 
Huu uzi unasifa zote za kuitwa wa kichochezi..... Kila penye Tigray Ukiweka Zanzibar unapata kuelewa mwandishi alimaanisha nini.......
 
Watu wa Tigray Ethiopia ni 6 % ya Waethiopia wote zaidi ya milioni 80,

Lakini ndiyo wanaoIOngoza Ethiopia kwenye kila sekta, Uchumi wote wa Ethiopia uko chini ya Watu wa Jamii ya Tigray , hii economic miracle ya Ethiopia tunayooishuhudia ni sababu ya Tigray people

Kiongozi Meles Zenawi (1955-2012 ) alikuwa ni Tigray, Maelite karibia wote wa Ethiopia wanatoka Tigray region hata Top Boss wa WHO Tedros Adhanom ni mtigray, kwa kifupi Ethiopia bila ya Tigray people hakuna kitu na hawa ni 6% tu ya population ya Ethiopia

Ni watu tofauti wana utamaduni wao tofauti, wanathamini kazi, uaminifu na kujituma na wamejenga ustaarabu ambao umesimama hivyo wanarudhishwa nyuma na the rest of Ethiopia na wana kila haki ya kujitenga kwani peke yao watafika mbali sana, wana higher IQ kuliko the rest of Ethiopia, hivyo hawawezi kuishi pamoja kwani wako tofauti.

Hivyo binafsi nawaunga mkono kama ninvyounga mkono watu wa Katalonia (Barcelona) kujitenga na the rest of Spain, Wakatalonia ndiyo wanaobeba uchumi karibia wote wa Uhispania bila ya Katalonia Spain ni third world country, vivyo hivyo ningependekeza pia White People Afrika Kusini wapewe Jimbo lao wenyewe kwani wako tofauti kiutamaduni na the rest of Afrika Kusini

Sasa hivi ni kama wanalazimishwa kuishi kwenye jamii ambayo wako tofauti nayo na wanarudishwa nyuma tu, By The Way ukisikia Wahabeshi ndio Tigray people
Ujinga ni pale unapoamini kuwa fulani ana akili zaidi kuliko wengine. Ufala ninpale unaposifia jamii moja kuwa ni bora kuliko nyingine.

Kusifia jamii fulani ndo ina akili kuliko nyingine huo ni upumbafu wa kiwango cha lami.
 
Watu wa Tigray Ethiopia ni 6 % ya Waethiopia wote zaidi ya milioni 80,

Lakini ndiyo wanaoIOngoza Ethiopia kwenye kila sekta, Uchumi wote wa Ethiopia uko chini ya Watu wa Jamii ya Tigray , hii economic miracle ya Ethiopia tunayooishuhudia ni sababu ya Tigray people

Kiongozi Meles Zenawi (1955-2012 ) alikuwa ni Tigray, Maelite karibia wote wa Ethiopia wanatoka Tigray region hata Top Boss wa WHO Tedros Adhanom ni mtigray, kwa kifupi Ethiopia bila ya Tigray people hakuna kitu na hawa ni 6% tu ya population ya Ethiopia

Ni watu tofauti wana utamaduni wao tofauti, wanathamini kazi, uaminifu na kujituma na wamejenga ustaarabu ambao umesimama hivyo wanarudhishwa nyuma na the rest of Ethiopia na wana kila haki ya kujitenga kwani peke yao watafika mbali sana, wana higher IQ kuliko the rest of Ethiopia, hivyo hawawezi kuishi pamoja kwani wako tofauti.

Hivyo binafsi nawaunga mkono kama ninvyounga mkono watu wa Katalonia (Barcelona) kujitenga na the rest of Spain, Wakatalonia ndiyo wanaobeba uchumi karibia wote wa Uhispania bila ya Katalonia Spain ni third world country, vivyo hivyo ningependekeza pia White People Afrika Kusini wapewe Jimbo lao wenyewe kwani wako tofauti kiutamaduni na the rest of Afrika Kusini

Sasa hivi ni kama wanalazimishwa kuishi kwenye jamii ambayo wako tofauti nayo na wanarudishwa nyuma tu, By The Way ukisikia Wahabeshi ndio Tigray people
Kwa Tanzania unashauri akina nani wajitenge? [emoji56][emoji56]
 
Watu wa Tigray Ethiopia ni 6 % ya Waethiopia wote zaidi ya milioni 80,

Lakini ndiyo wanaoIOngoza Ethiopia kwenye kila sekta, Uchumi wote wa Ethiopia uko chini ya Watu wa Jamii ya Tigray , hii economic miracle ya Ethiopia tunayooishuhudia ni sababu ya Tigray people

Kiongozi Meles Zenawi (1955-2012 ) alikuwa ni Tigray, Maelite karibia wote wa Ethiopia wanatoka Tigray region hata Top Boss wa WHO Tedros Adhanom ni mtigray, kwa kifupi Ethiopia bila ya Tigray people hakuna kitu na hawa ni 6% tu ya population ya Ethiopia

Ni watu tofauti wana utamaduni wao tofauti, wanathamini kazi, uaminifu na kujituma na wamejenga ustaarabu ambao umesimama hivyo wanarudhishwa nyuma na the rest of Ethiopia na wana kila haki ya kujitenga kwani peke yao watafika mbali sana, wana higher IQ kuliko the rest of Ethiopia, hivyo hawawezi kuishi pamoja kwani wako tofauti.

Hivyo binafsi nawaunga mkono kama ninvyounga mkono watu wa Katalonia (Barcelona) kujitenga na the rest of Spain, Wakatalonia ndiyo wanaobeba uchumi karibia wote wa Uhispania bila ya Katalonia Spain ni third world country, vivyo hivyo ningependekeza pia White People Afrika Kusini wapewe Jimbo lao wenyewe kwani wako tofauti kiutamaduni na the rest of Afrika Kusini

Sasa hivi ni kama wanalazimishwa kuishi kwenye jamii ambayo wako tofauti nayo na wanarudishwa nyuma tu, By The Way ukisikia Wahabeshi ndio Tigray people
Una mawazo duni kweli kwanini umeresoan kwa staili hii nani alikuambia watu werevu wantakiwa wajitenge na wajinga mbona ww "mwerevu" hujajitenga na sisi "vilaza" haya kuna kama werevu si wajitenge sasa kwanini wanashindwa wapigane kibabe washinde vita wajitenge basi
Unawasifia trigray wameshindwa kupiga hesabu dogo tu ya KISIASA kwa kipindi hiki wameshazingirwa huko wasalimu amri waendelee kuishi
 
Hilo ni gumu kutokea kwa maana watu waishio Kanda ya ziwa siyo wamoja, hivyo hawawezi kutaka kujitenga kwanza wenyewe kwa wenyewe wanaweza kuanza kupingana, hawana lugha moja, hawana Utamaduni mmoja hata mifumo yao ya maisha ni tofauti na isitoshe hawajawahi kuwa nchi kabla ya uasisi wa Tanzania, sasa huo umoja wa kujitenga utatokea wapi ?
Hao pimbi wa kanda ya ziwa wana nini cha kufanya wajitenge si watakufa kwa njaa wote na wanavyozaana wataishia kuchezesha kamli za vishiringi kwenye mabar kama wachina
 
Hao kenge wa tigray hawana jipya lolote zaidi ya kujinufaisha kiuchumi na kifursa zingine kwa jasho la jamii zingine sasa ngoja wachezee chuma ndio ukweli waujue,hao ni sawa na watutsi and the likes
 
Ethiopia waweke sawa huo mfumo wa shirikisho ili wa-Tigray wafaidi vizuri inaonekana hata wa-oromo nao wana malalamishi.

Kuna tatizo kwa serikali ya Ethiopia kwani pia ni wababe sana na huwezi kujenga umoja wa kitaifa kwa kuendekeza ubabe.

Ndio maana wananchi wakiona vipi vipi wanaanzisha ugaidi na kujilipua kitu ambacho hakuna serikali inayoweza kudhibiti.
 
Watu wa Tigray Ethiopia ni 6 % ya Waethiopia wote zaidi ya milioni 80,

Lakini ndiyo wanaoIOngoza Ethiopia kwenye kila sekta, Uchumi wote wa Ethiopia uko chini ya Watu wa Jamii ya Tigray , hii economic miracle ya Ethiopia tunayooishuhudia ni sababu ya Tigray people

Kiongozi Meles Zenawi (1955-2012 ) alikuwa ni Tigray, Maelite karibia wote wa Ethiopia wanatoka Tigray region hata Top Boss wa WHO Tedros Adhanom ni mtigray, kwa kifupi Ethiopia bila ya Tigray people hakuna kitu na hawa ni 6% tu ya population ya Ethiopia

Ni watu tofauti wana utamaduni wao tofauti, wanathamini kazi, uaminifu na kujituma na wamejenga ustaarabu ambao umesimama hivyo wanarudhishwa nyuma na the rest of Ethiopia na wana kila haki ya kujitenga kwani peke yao watafika mbali sana, wana higher IQ kuliko the rest of Ethiopia, hivyo hawawezi kuishi pamoja kwani wako tofauti.

Hivyo binafsi nawaunga mkono kama ninvyounga mkono watu wa Katalonia (Barcelona) kujitenga na the rest of Spain, Wakatalonia ndiyo wanaobeba uchumi karibia wote wa Uhispania bila ya Katalonia Spain ni third world country, vivyo hivyo ningependekeza pia White People Afrika Kusini wapewe Jimbo lao wenyewe kwani wako tofauti kiutamaduni na the rest of Afrika Kusini

Sasa hivi ni kama wanalazimishwa kuishi kwenye jamii ambayo wako tofauti nayo na wanarudishwa nyuma tu, By The Way ukisikia Wahabeshi ndio Tigray people
Very shortly i will say this to you and everyone reading this 'Kujitenga' is very bad
Dhambi ya ubaguzi ni mbaya SANA.
 
Watu wa Tigray Ethiopia ni 6 % ya Waethiopia wote zaidi ya milioni 80,

Lakini ndiyo wanaoIOngoza Ethiopia kwenye kila sekta, Uchumi wote wa Ethiopia uko chini ya Watu wa Jamii ya Tigray , hii economic miracle ya Ethiopia tunayooishuhudia ni sababu ya Tigray people

Kiongozi Meles Zenawi (1955-2012 ) alikuwa ni Tigray, Maelite karibia wote wa Ethiopia wanatoka Tigray region hata Top Boss wa WHO Tedros Adhanom ni mtigray, kwa kifupi Ethiopia bila ya Tigray people hakuna kitu na hawa ni 6% tu ya population ya Ethiopia

Ni watu tofauti wana utamaduni wao tofauti, wanathamini kazi, uaminifu na kujituma na wamejenga ustaarabu ambao umesimama hivyo wanarudhishwa nyuma na the rest of Ethiopia na wana kila haki ya kujitenga kwani peke yao watafika mbali sana, wana higher IQ kuliko the rest of Ethiopia, hivyo hawawezi kuishi pamoja kwani wako tofauti.

Hivyo binafsi nawaunga mkono kama ninvyounga mkono watu wa Katalonia (Barcelona) kujitenga na the rest of Spain, Wakatalonia ndiyo wanaobeba uchumi karibia wote wa Uhispania bila ya Katalonia Spain ni third world country, vivyo hivyo ningependekeza pia White People Afrika Kusini wapewe Jimbo lao wenyewe kwani wako tofauti kiutamaduni na the rest of Afrika Kusini

Sasa hivi ni kama wanalazimishwa kuishi kwenye jamii ambayo wako tofauti nayo na wanarudishwa nyuma tu, By The Way ukisikia Wahabeshi ndio Tigray people
Umekurupuka mkuu kajipange upya! Hao unaowaita matajiri huo utajiri wao waliupata kipindi Zenawi yupo madarakani akawajaza watigray wenzake kwenye sekta zote na wakawa mafisadi wakubwa kwenye serikali ya Ethiopia na kujilimbikizia mali. Hata mke wa Zenawi ni tajiri mkubwa kutokana na wizi kipindi mumewe yupo madarakani. Tedros amepata jina kupitia upendeleo wa Zenawi maana alikuwa waziri wa Afya kwenye serikali ya Zenawi(Mtigray mwenzake).

Watigray kujitenga haitakuwa mara ya kwanza, hivi unajua kuwa Eritrea ni hao hao watigray (More than 55%) walijetenga ndiyo wakaianzisha hiyo nchi? Kama wana IQ kubwa iko wapi Eritrea?
 
Umerahisisha sana mambo, Historia ya Watigray hainzii na Meles Zenawi, ni tangia enzi za Abyssinia, ...
Kabla ya mapinduzi ya TPLF yaliyomuweka Zenawi madarakani watigray walikuwa wananini Ethiopia?
 
Hata Ethiopia yote kama nchi ilikuwa masikini sana, hata Wimbo wa we are the World / USA for Afrika ulitungiwa nchi ya Ethiopia, lkn wakajipanga wakapiga kazi leo hii Ethiopia wanakwenda vizuri sana kiuchumi, ni moja kati ya success story Afrika, ...
Walikumbwa na janga la njaa kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa.Sikatai Zenawi ameisogeza kiuchumi Ethiopia lakini serikali yake ingefanya vizuri zaidi kiuchumi kama isingefanya upendeleo wa kikabila na ufisadi wa kupita kiasi. Chini ya Abbiy Ahmed Ethiopia ipo ndani ya nchi 10 Tajiri zaidi Africa na top 3 kati ya nchi ambazo uchumi wake unakuwa kwa kasi Africa kwa mujibu wa IMF na World bank
 
Hao Trigay wametoa wapi jeshi lao? Au ndo serikali za majimbo?
 
Barbarosa bwana.....

Haya kama Tigray wana haki ya kujitenga,Zanzibar pia wana haki ya kujitenga,au wewe unajua kunyooshea wenzako vidole tu?

Are you ready pia Zanz ijitenge?Au mimacho yako inaona Tigray tu?
Akikujibu hapa nitamuona katili.
 
Siyo kweli, wanaotangaza kujitenga ni watu ambao wana utamaduni wa aina moja, lugha moja na hata way of life ni sawa kwa kifupi ni watu wamoja ambao hata kibaolojia wanafanana kwa maana ya DNA na hapo mwanzoni kabla ya hiyo nchi wanayoishi sasa hivi kuundwa walikuwa pamoja pia, au kingine kama siyo hivyo inaweza kuwa Dini pia, mfano India na Pakis, lkn pia ni swala la wote wanaotaka kujitenga kupenda kufanya hivyo pia, siyo wote wanapenda kujitenga, ...
Kuna mwamba kakuuliza kuhusu Zanzibar kujitenga na Tanganyika, hii ni kutokana na wewe kusheherekea mtengano huu, lakini nakuona kama hujaiona hiyo comment!

Tafadhali mjibu mjuba huyo.
 
Kule Nigeria,Kuna kabila linaitwa Ibo,Hawa wanaitwa black jews,ni wajasiliamali sana.
Ukija bongo,wapo wakwe zangu Wachaga,Hawa pia wanaijua shilingi,na wengine Kama wahaya,
Lakini aimaniishi jamii zingine zote ni vilaza,
Diamond,babu tale,mkubwa fela,Freddy vunja bei sio Wachaga,wahaya,
Bakhressa sio mchaga,Wala muhaya,zipo jamii nyingi tu,zinakosa fulsa kutokana na historia,
Mackzuckerberg,sio kwamba ana akili kuriko vijana wa kibongo wanaosoma IT,hivyo hivyo sio kwamba weupe wa SA Wana akili sana kuriko weusi,zipo sababu za kihistoria,
Wapo weusi wengi tu,wenye akili.
Dangote sio mzungu,
Na karibia kila nchi au kabila liko hivyo.
 
Unajua zaman kabla sjapanuka kifikira,nilikuwa nashangaa nchi kugomea kasehemu kake kanakotaka kujitenga,iko hv uksharuhusu sehemu moja Kuna pimbi wengine wataiga na wataanzisha vuguvugu la kujitenga,hvyo hairuhusiwi mtapgana mpaka wanajesh wote waishe lakin hawatofanikiwa
Ubaguzi ni mbaya sana. Marekeni haikuruhusu wale Wamarekani Weusi (African Americans) kupiga kura hadi katika ya miaka 1965 wakati wa Pia walisoma shule tofauti lakini hawa weusi wana akili sana, kama vile Jesse Jackson, Martin Luther King . Kwa hiyo, ubaguzi unachelewesha maendeleo ya wanaobaguliwa kiuchumi, elimu, uongozi. Leo Wamarekani lich ya kupat furs ya kupiga kura bado tunashihudia ukatiri kwa Wamareknai weusi.
 
Back
Top Bottom