Kule Nigeria,Kuna kabila linaitwa Ibo,Hawa wanaitwa black jews,ni wajasiliamali sana.
Ukija bongo,wapo wakwe zangu Wachaga,Hawa pia wanaijua shilingi,na wengine Kama wahaya,
Lakini aimaniishi jamii zingine zote ni vilaza,
Diamond,babu tale,mkubwa fela,Freddy vunja bei sio Wachaga,wahaya,
Bakhressa sio mchaga,Wala muhaya,zipo jamii nyingi tu,zinakosa fulsa kutokana na historia,
Mackzuckerberg,sio kwamba ana akili kuriko vijana wa kibongo wanaosoma IT,hivyo hivyo sio kwamba weupe wa SA Wana akili sana kuriko weusi,zipo sababu za kihistoria,
Wapo weusi wengi tu,wenye akili.
Dangote sio mzungu,