Wa Tigray Ethiopia wana kila haki ya kujitenga, ni kama Catalonia, White People wa South Africa

Wa Tigray Ethiopia wana kila haki ya kujitenga, ni kama Catalonia, White People wa South Africa

Ethiopia waweke sawa huo mfumo wa shirikisho ili wa-Tigray wafaidi vizuri inaonekana hata wa-oromo nao wana malalamishi.

Kuna tatizo kwa serikali ya Ethiopia kwani pia ni wababe sana na huwezi kujenga umoja wa kitaifa kwa kuendekeza ubabe.

Ndio maana wananchi wakiona vipi vipi wanaanzisha ugaidi na kujilipua kitu ambacho hakuna serikali inayoweza kudhibiti.
Waromo ni wenye matatizo mengine, na ndiyo unaosikia kila siku wanakamwatwa kama wahamiaji haramu. Kwa hoyo, tuombe sana mungu ubaguzi usihubiriwe katika nchi yetu, uwe kwa njia ya kidini, elimu, fursa za uongozi na mambo mengine
 
Naongeza hao ndio wanafanya uchumi unakua kwa 8.0
Umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu. Hao wajinga 80% na hao 6% interlectuals kwa umoja wao ndio wanaitengeneza nchi ya Ethiopia.
 
Waromo ni wenye matatizo mengine, na ndiyo unaosikia kila siku wanakamwatwa kama wahamiaji haramu. Kwa hoyo, tuombe sana mungu ubaguzi usihubiriwe katika nchi yetu, uwe kwa njia ya kidini, elimu, fursa za uongozi na mambo mengine
Huu utawala wa sasa ndio unaanza kuleta upendeleo kwa maeneo fulani na kubagua mengine.
Watu kwenye nafasi nyeti serikalini na kwenye chama chao ni wenyeji wa eneo moja tu.
 
Tigray walikuwa wakipata upendo na viongozi waliotokea huko hasa Zenawi aliwabeba Sana wakazoea mbeleko sasa Mambo yamebadilika Ahmed hana mpango nao ndio Kwanza anawachapa kuwafunza adabu
 
Melesi Zenawi aliyeitawala Ethiopia kwa mkono wa Chuma kwa miongo miwili alikuwa Mtigirinya.
 
Back
Top Bottom