Wa Tigray Ethiopia wana kila haki ya kujitenga, ni kama Catalonia, White People wa South Africa

Ona maccm yalivyo majinga, nchi za wenzenu mnashabikia watu wajitenge, wakati kwenu wenyewe kumejaa dhulma pumbavu kabisa.
Angeongezea kwamba hawa ni sawa na Zanzibar angalau angekuwa consistent.
 
Huu uzi unasifa zote za kuitwa wa kichochezi..... Kila penye Tigray Ukiweka Zanzibar unapata kuelewa mwandishi alimaanisha nini.......
 
Ujinga ni pale unapoamini kuwa fulani ana akili zaidi kuliko wengine. Ufala ninpale unaposifia jamii moja kuwa ni bora kuliko nyingine.

Kusifia jamii fulani ndo ina akili kuliko nyingine huo ni upumbafu wa kiwango cha lami.
 
Kwa Tanzania unashauri akina nani wajitenge? [emoji56][emoji56]
 
Una mawazo duni kweli kwanini umeresoan kwa staili hii nani alikuambia watu werevu wantakiwa wajitenge na wajinga mbona ww "mwerevu" hujajitenga na sisi "vilaza" haya kuna kama werevu si wajitenge sasa kwanini wanashindwa wapigane kibabe washinde vita wajitenge basi
Unawasifia trigray wameshindwa kupiga hesabu dogo tu ya KISIASA kwa kipindi hiki wameshazingirwa huko wasalimu amri waendelee kuishi
 
Hao pimbi wa kanda ya ziwa wana nini cha kufanya wajitenge si watakufa kwa njaa wote na wanavyozaana wataishia kuchezesha kamli za vishiringi kwenye mabar kama wachina
 
Hao kenge wa tigray hawana jipya lolote zaidi ya kujinufaisha kiuchumi na kifursa zingine kwa jasho la jamii zingine sasa ngoja wachezee chuma ndio ukweli waujue,hao ni sawa na watutsi and the likes
 
Ethiopia waweke sawa huo mfumo wa shirikisho ili wa-Tigray wafaidi vizuri inaonekana hata wa-oromo nao wana malalamishi.

Kuna tatizo kwa serikali ya Ethiopia kwani pia ni wababe sana na huwezi kujenga umoja wa kitaifa kwa kuendekeza ubabe.

Ndio maana wananchi wakiona vipi vipi wanaanzisha ugaidi na kujilipua kitu ambacho hakuna serikali inayoweza kudhibiti.
 
Very shortly i will say this to you and everyone reading this 'Kujitenga' is very bad
Dhambi ya ubaguzi ni mbaya SANA.
 
Umekurupuka mkuu kajipange upya! Hao unaowaita matajiri huo utajiri wao waliupata kipindi Zenawi yupo madarakani akawajaza watigray wenzake kwenye sekta zote na wakawa mafisadi wakubwa kwenye serikali ya Ethiopia na kujilimbikizia mali. Hata mke wa Zenawi ni tajiri mkubwa kutokana na wizi kipindi mumewe yupo madarakani. Tedros amepata jina kupitia upendeleo wa Zenawi maana alikuwa waziri wa Afya kwenye serikali ya Zenawi(Mtigray mwenzake).

Watigray kujitenga haitakuwa mara ya kwanza, hivi unajua kuwa Eritrea ni hao hao watigray (More than 55%) walijetenga ndiyo wakaianzisha hiyo nchi? Kama wana IQ kubwa iko wapi Eritrea?
 
Umerahisisha sana mambo, Historia ya Watigray hainzii na Meles Zenawi, ni tangia enzi za Abyssinia, ...
Kabla ya mapinduzi ya TPLF yaliyomuweka Zenawi madarakani watigray walikuwa wananini Ethiopia?
 
Hata Ethiopia yote kama nchi ilikuwa masikini sana, hata Wimbo wa we are the World / USA for Afrika ulitungiwa nchi ya Ethiopia, lkn wakajipanga wakapiga kazi leo hii Ethiopia wanakwenda vizuri sana kiuchumi, ni moja kati ya success story Afrika, ...
Walikumbwa na janga la njaa kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa.Sikatai Zenawi ameisogeza kiuchumi Ethiopia lakini serikali yake ingefanya vizuri zaidi kiuchumi kama isingefanya upendeleo wa kikabila na ufisadi wa kupita kiasi. Chini ya Abbiy Ahmed Ethiopia ipo ndani ya nchi 10 Tajiri zaidi Africa na top 3 kati ya nchi ambazo uchumi wake unakuwa kwa kasi Africa kwa mujibu wa IMF na World bank
 
Hao Trigay wametoa wapi jeshi lao? Au ndo serikali za majimbo?
 
Barbarosa bwana.....

Haya kama Tigray wana haki ya kujitenga,Zanzibar pia wana haki ya kujitenga,au wewe unajua kunyooshea wenzako vidole tu?

Are you ready pia Zanz ijitenge?Au mimacho yako inaona Tigray tu?
Akikujibu hapa nitamuona katili.
 
Kuna mwamba kakuuliza kuhusu Zanzibar kujitenga na Tanganyika, hii ni kutokana na wewe kusheherekea mtengano huu, lakini nakuona kama hujaiona hiyo comment!

Tafadhali mjibu mjuba huyo.
 
Na karibia kila nchi au kabila liko hivyo.
 
Ubaguzi ni mbaya sana. Marekeni haikuruhusu wale Wamarekani Weusi (African Americans) kupiga kura hadi katika ya miaka 1965 wakati wa Pia walisoma shule tofauti lakini hawa weusi wana akili sana, kama vile Jesse Jackson, Martin Luther King . Kwa hiyo, ubaguzi unachelewesha maendeleo ya wanaobaguliwa kiuchumi, elimu, uongozi. Leo Wamarekani lich ya kupat furs ya kupiga kura bado tunashihudia ukatiri kwa Wamareknai weusi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…