Wa Tigray Ethiopia wana kila haki ya kujitenga, ni kama Catalonia, White People wa South Africa

Waromo ni wenye matatizo mengine, na ndiyo unaosikia kila siku wanakamwatwa kama wahamiaji haramu. Kwa hoyo, tuombe sana mungu ubaguzi usihubiriwe katika nchi yetu, uwe kwa njia ya kidini, elimu, fursa za uongozi na mambo mengine
 
Waziri mkuu wa ethopia leo katoa Amri waasi waanze kushambuliwa
 
Naongeza hao ndio wanafanya uchumi unakua kwa 8.0
Umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu. Hao wajinga 80% na hao 6% interlectuals kwa umoja wao ndio wanaitengeneza nchi ya Ethiopia.
 
Ningeshangaa kama Wachagga tusingetajwa humu na vyasaka.
Kabla ya uhuru Chagga land ilikuwa ni nchi iliyokuwa inaongozwa na Mangi Mkuu, ilikuwa na jeshi, gazeti, fedha na bendera yake. Bila kuvurugwa kwa ule Utawala, leo ingekuwa wako dunia nyingine.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Waromo ni wenye matatizo mengine, na ndiyo unaosikia kila siku wanakamwatwa kama wahamiaji haramu. Kwa hoyo, tuombe sana mungu ubaguzi usihubiriwe katika nchi yetu, uwe kwa njia ya kidini, elimu, fursa za uongozi na mambo mengine
Huu utawala wa sasa ndio unaanza kuleta upendeleo kwa maeneo fulani na kubagua mengine.
Watu kwenye nafasi nyeti serikalini na kwenye chama chao ni wenyeji wa eneo moja tu.
 
Tigray walikuwa wakipata upendo na viongozi waliotokea huko hasa Zenawi aliwabeba Sana wakazoea mbeleko sasa Mambo yamebadilika Ahmed hana mpango nao ndio Kwanza anawachapa kuwafunza adabu
 
Melesi Zenawi aliyeitawala Ethiopia kwa mkono wa Chuma kwa miongo miwili alikuwa Mtigirinya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…