Wa Tz Tutakufa Maskini Kwa Kimbilia Kuchimbia Pesa (Kujenga) Badala ya Kuizungusha Izae Zaidi

Wa Tz Tutakufa Maskini Kwa Kimbilia Kuchimbia Pesa (Kujenga) Badala ya Kuizungusha Izae Zaidi

Mafanikio ni kuruka vikwazo na viunzi daily! Sio kucapitalise kwenye mapungufu n start whining like a cry baby! Ukiona tatizo kinachotakiwa ni kuangalia alternative ya kulitatua soon at your best interest!

FYI MADON WOTE WANA ROHO ZA KUTU!!!!!!!!! Kuanzia Macache, Manjii, Meddy Dew,Davi Mosha, Ulomi, n,k n,k !

Najua sana unachosema ..... naomba nikukumbushe, au nikuulize swali dogo sana!

faida inapatikana muda gani?

jibu lake ni hili:
when informations are not available to the buyers, full stop.!!!!!!

Nenda kasome kitabu chako cha masuala ya "marketing", pitia na hiki kitu pia kwa wateja(ambao kimsingi ndio waleta hela)
1.willing
2.demand
3.ability
 
Samahani wakuu! Je anaepokea laki tatu per month atatumia muda gani kusave 10ml? Hata akichukua mkopo kwa dhamana ya mshahara hawezi kupata hata 6ml ikiwa nyingi sana haiwezi kuzidi 4 milions kwa huo mshahara wa laki 3, nahitaj kusaidiwa

tatizo kubwa sio kiasi cha hela unachopokewa, kwamba ni ndogo .... tatizo kubwa ni muda unaotumia kukuza hicho kiasi ndogo unachopata, sio muda pia sana ila pia skills za kukuza hicho kiasi kidogo ....... determination ndio nguzo yako kuu ya kufanikisha unachotaka kufanikisha!!!!!
 
Najua sana unachosema ..... naomba nikukumbushe, au nikuulize swali dogo sana!

faida inapatikana muda gani?

jibu lake ni hili:
when informations are not available to the buyers, full stop.!!!!!!

Nenda kasome kitabu chako cha masuala ya "marketing", pitia na hiki kitu pia kwa wateja(ambao kimsingi ndio waleta hela)
1.willing
2.demand
3.ability

Unanichosha sasa! DIDNT I SAY TAKE CALCULATED RISK???????????? Refer page ya 1 ya hii post.
 
I wish after 10 years tukutane macho kwa macho .... halafu kila mmoja wetu aanze kusema alivyo achieve, kiukweli mm lazima niachieve kupitia any available loop, ili mradi si ya kutoa uhai, kwann nifanye hivyo, kwa sababu am seeing the country big boys doing it every time, mfano juzi kati kuna kampuni nimeandaa hesabu zake za mwaka, you know what tra officers wamekuja wakamuuliza mlipa kodi unataka kulipa kodi kiasi gani? akamjibu nataka kulipa kiasi hiki, jamaa wakaenda ofisini wakandaa hesabu upya itakayokidhi matakwa ya mlipa kodi ........... mlipa kodi akaambiwa atoe nauli, imagine how much, milions of money, more than 20milions, halafu officers wapo wawili tu, niambie hao hawataweza kuangusha magorofa kwa kadri watakavyo......sasa utalinganisha na mimi ninaezungusha milioni moja ili nipate milioni 300????? !!!!!

wewe lara 1 ..... economic sytem ya taifa ipo rotten, tazama taifa bado linakopa daily, kisa kodi ya ndani haikusanywi ipasavyo, unajua inaenda wapi.....inaenda mikononi mwa wacahache ..... na ndio hao ambao ww lara 1 unawakubali kichizi!!!!!!

Acha kuota mchana wewe lara 1 ....... piga deals as muach as they are availbale, mm ni shuhuda wa how nchi inaliwa!!!!!

Hahahaaaaaaa! Being a little political is a challenge, bt being too political is sensitive. Mi sikatai, nikiwa makzi wa mda mrefu wa Mahakama kuu ya sembe Tz i know what making quick money is!

Lakini kinachotakiwa ni Mtu kujiangalia binafis unasimama wapi? Haupo kwenye circuit ya kusupply steam, haupo TRA, so what? Ukae na kulaumu nchi inaliwa? Au ujitume kutafuta chako kidogo!

Yeye kuiba kodi hakukuzuii wewe kuanzisha mradi wako!!!!!!!!!!!!

EVERYBODY FOR HIMSELF GOD FOR US ALL!!!!!!!!!!
 
Unanichosha sasa! DIDNT I SAY TAKE CALCULATED RISK???????????? Refer page ya 1 ya hii post.

pole!!!! usipanic, futa pumzi, then pangua hoja kwa vivid examples, sio kuandika tu!!!
any way think simply calculated risk as it is, nani atafanya jambo akijua kuwa ataloose at the end of the day? kila mtu anafanya calculated risk ila tumetofautiana umakini na muono tu ...... utasubiri sana!!!!

by the way the financial big boys say "risk is for those who don't the outcome"
 
Hahahaaaaaaa! Being a little political is a challenge, bt being too political is sensitive. Mi sikatai, nikiwa makzi wa mda mrefu wa Mahakama kuu ya sembe Tz i know what making quick money is!

Lakini kinachotakiwa ni Mtu kujiangalia binafis unasimama wapi? Haupo kwenye circuit ya kusupply steam, haupo TRA, so what? Ukae na kulaumu nchi inaliwa? Au ujitume kutafuta chako kidogo!

Yeye kuiba kodi hakukuzuii wewe kuanzisha mradi wako!!!!!!!!!!!!

EVERYBODY FOR HIMSELF GOD FOR US ALL!!!!!!!!!!

underlined is precisely correct ......la usisahau mada yetu kuu ni kuhusu kuzungusha hz mia mia zetu zifikie 300 milioni, tukaenda mbali hadi tukaanza kuwajadili wanaodondosha magorofa kila uchwao ...... ambao kimsingi ndio hao waliopo kwenye nyonyo la pesa za nchi!!!!
 
Ni wazo zuri,ila pia mabenk siku hizi yana hitaji dhamana isiyo hamishika ambayo ni nyumba,kwa suala la kuzungushia mtaji changamoto kubwa ni kuwa aina ya biashara na pia is watu wote wana weza fanya biashara kwa umakini na kuindeleza! Kumbuka ujasiria mali una hitaji follow up ya karibu sana!

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
pole!!!! usipanic, futa pumzi, then pangua hoja kwa vivid examples, sio kuandika tu!!!
any way think simply calculated risk as it is, nani atafanya jambo akijua kuwa ataloose at the end of the day? kila mtu anafanya calculated risk ila tumetofautiana umakini na muono tu ...... utasubiri sana!!!!

by the way the financial big boys say "risk is for those who don't the outcome"

HAHAHAAAAAAA! We hoja huna! TOO THEORETICAL! Afu pi very pessimistic! I have my vivid example, mimi mwenyewe kila siku nawatafutia watu masoko, how more vivid can it get?

Anyways MAISHA NI YAKO CHAGUO NI LAKO!!!!!!!!!!! I said what i wanted to say!

Unachotakiwa kuelewa ni kuwa Mimi na wewe ni independent events! Kufanikiwa kwangu au kushindwa hakukuaffect wewe chochote, na kufanikiwa kwako au kushindwa kwako hakuni affect chochote.

Kila mtu acheze karata zake. Fursa ni nyingi mnoooooooo!!!!!!!!!!!!
 
Wewe lara1 naona upo online muda mrefu sana, usiku na mchana; wewe kazi za ujenzi wa taifa unazifanya muda gani?
 
SAFI SANA....fanya kazi bila kukata tamaa,mafanikio huja kwa kujituma na kukubali matokeo ya kazi/biashara yako ,yawe mazuri au mabaya .HAKUNA KUKATA TAMAA.....
 
I wish after 10 years tukutane macho kwa macho .... halafu kila mmoja wetu aanze kusema alivyo achieve, kiukweli mm lazima niachieve kupitia any available loop, ili mradi si ya kutoa uhai, kwann nifanye hivyo, kwa sababu am seeing the country big boys doing it every time, mfano juzi kati kuna kampuni nimeandaa hesabu zake za mwaka, you know what tra officers wamekuja wakamuuliza mlipa kodi unataka kulipa kodi kiasi gani? akamjibu nataka kulipa kiasi hiki, jamaa wakaenda ofisini wakandaa hesabu upya itakayokidhi matakwa ya mlipa kodi ........... mlipa kodi akaambiwa atoe nauli, imagine how much, milions of money, more than 20milions, halafu officers wapo wawili tu, niambie hao hawataweza kuangusha magorofa kwa kadri watakavyo......sasa utalinganisha na mimi ninaezungusha milioni moja ili nipate milioni 300????? !!!!!

wewe lara 1 ..... economic sytem ya taifa ipo rotten, tazama taifa bado linakopa daily, kisa kodi ya ndani haikusanywi ipasavyo, unajua inaenda wapi.....inaenda mikononi mwa wacahache ..... na ndio hao ambao ww lara 1 unawakubali kichizi!!!!!!

Acha kuota mchana wewe lara 1 ....... piga deals as muach as they are availbale, mm ni shuhuda wa how nchi inaliwa!!!!!

Mkuu, nadhani umemaliza kabisa!. Kwa njia za kawaida tuzijuazo, utajiri au mafanikio ya haraka ni ndoto kwa Bongo. Lara 1, katoa ushauri mzuri lakini kiuhalisia nadhani utekelezaji wake bado sana tu.
 
Wewe lara1 naona upo online muda mrefu sana, usiku na mchana; wewe kazi za ujenzi wa taifa unazifanya muda gani?

Digitali internent hadi kweny simu!
 
HAHAHAAAAAAA! We hoja huna! TOO THEORETICAL! Afu pi very pessimistic! I have my vivid example, mimi mwenyewe kila siku nawatafutia watu masoko, how more vivid can it get?

Anyways MAISHA NI YAKO CHAGUO NI LAKO!!!!!!!!!!! I said what i wanted to say!

Unachotakiwa kuelewa ni kuwa Mimi na wewe ni independent events! Kufanikiwa kwangu au kushindwa hakukuaffect wewe chochote, na kufanikiwa kwako au kushindwa kwako hakuni affect chochote.

Kila mtu acheze karata zake. Fursa ni nyingi mnoooooooo!!!!!!!!!!!!

mm nahisi unafikri hapa ni jukwaa la MMU ambalo kila single unayokuja nayo inahit ...... huku siyo, huku ni hoja kwa hoja, mifano kwa mifano, nk nk , lakn mara unasema ooooohhhh nakuchosha, mara ooohhh too theoritical, mara ooohhh tooo pessimistic, mara ohhhhh ..... mara ooohhh .... mara oooohhhh, .................. mbona mm siku-atack personally, badala yake na-atack hoja yako with high integrity and discipline, mm nimejifunza kuwavumilia wasiojua!!!!

nenda kwanza kamalizie vizuri shule yako ya uchumi mama, ukishamaliza ndio unakuja sasa kupost, otherwise utaishia ku-panic kila ukipost, eti unasema uchumi haina theory???? angalia mwalimu wako asikugundue kuwa ni wewe!!!!!
 
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Watanzania wengi haswaaa vijana wa sasa na vijana wa zamani wengi watakufa maskini ama kuzeeka maskini kwa kuendekeza Ucommunist na sera za kizamani za utajiri ni kumiliki nyumba na gari.

Sikatai nyumba ni a very valuable asset, na ina appreciate in value with time lakini this is not necessarily the case always. Appreciation na returns za hio nyumba zinaweza zisiwe reasonable enough kujustfy wewe kufkia 40Mills au 30Mills leo hii. Hio initial investment inaweza kuchukua hata 20yrs kujirudisha tu bila kujilipa. Imagine hio 40Mills ungewekeza kwenye opportunity zingine zenye large returns, na kuhakikisha unachukua calculated risk in 20yrs si unweza kujikuta una 400Mills na mijumba ya kumwaga!

Sio kwamba wa tz wengi hatushiki mbesa, no! tunashika sanaaa sema priority ndo zinatuangusha haswaa waajiriwa wa white collar jobs. Ile breakthrough ya msomi kutoka maisha ya kawaida na kuwa mwekezaji anae ajiri watu asilimia kubwa hawaifikiii. Mtu akishika tupesa tudogo anakimbilia kutuzika mashambani huko!

Vijana wenzangu unashika tu 10mills unawahi kutuzika Mbagara kiburugwa sijui huko au Mbezi maramba mangapi sijui. Unaongezea kuzika mamilioni hadi yafike hata 50 in 4 yrs hadi umalize jumba hilo. Kisha kodi unapoke 100,000/= in 10 to 20 years haiendi mbali na hapo. Watu waliojenga Tabata in 1990's nyumba mpaka leo Tbt ni 200,000 kwa mwezi?????

Tubadilike tuwe capitalistic. Ukishika 10m ujipange izungushe ushike 50m. It all about opportunity and risk taking this is the only key kuwa billionea. Ruge keshasema fursa ziko nyingi mnoooo! Tabia ya kuzika tuiache. Nyumba ziko kibao Sinza, Masaki, Obay, Knyma kwanini uende porini? Hio 10Mills izungushe hadi ifike 300Mills ununue nyumba ya uhakika Kinondoni. This is the bigger picture!

Thanks you all!

kwa kweli ujumbe wako ni mzuri,ila mtaji si kiuno kuuzungušha kwataka mõyõ na utulivu wa akili co kukurupuka!
 
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Watanzania wengi haswaaa vijana wa sasa na vijana wa zamani wengi watakufa maskini ama kuzeeka maskini kwa kuendekeza Ucommunist na sera za kizamani za utajiri ni kumiliki nyumba na gari.

Sikatai nyumba ni a very valuable asset, na ina appreciate in value with time lakini this is not necessarily the case always. Appreciation na returns za hio nyumba zinaweza zisiwe reasonable enough kujustfy wewe kufkia 40Mills au 30Mills leo hii. Hio initial investment inaweza kuchukua hata 20yrs kujirudisha tu bila kujilipa. Imagine hio 40Mills ungewekeza kwenye opportunity zingine zenye large returns, na kuhakikisha unachukua calculated risk in 20yrs si unweza kujikuta una 400Mills na mijumba ya kumwaga!

Sio kwamba wa tz wengi hatushiki mbesa, no! tunashika sanaaa sema priority ndo zinatuangusha haswaa waajiriwa wa white collar jobs. Ile breakthrough ya msomi kutoka maisha ya kawaida na kuwa mwekezaji anae ajiri watu asilimia kubwa hawaifikiii. Mtu akishika tupesa tudogo anakimbilia kutuzika mashambani huko!

Vijana wenzangu unashika tu 10mills unawahi kutuzika Mbagara kiburugwa sijui huko au Mbezi maramba mangapi sijui. Unaongezea kuzika mamilioni hadi yafike hata 50 in 4 yrs hadi umalize jumba hilo. Kisha kodi unapoke 100,000/= in 10 to 20 years haiendi mbali na hapo. Watu waliojenga Tabata in 1990's nyumba mpaka leo Tbt ni 200,000 kwa mwezi?????

Tubadilike tuwe capitalistic. Ukishika 10m ujipange izungushe ushike 50m. It all about opportunity and risk taking this is the only key kuwa billionea. Ruge keshasema fursa ziko nyingi mnoooo! Tabia ya kuzika tuiache. Nyumba ziko kibao Sinza, Masaki, Obay, Knyma kwanini uende porini? Hio 10Mills izungushe hadi ifike 300Mills ununue nyumba ya uhakika Kinondoni. This is the bigger picture!

Thanks you all!

kumbe na huku unachungulia... umestaafu U-kungwi MMU?!
 
kumbe na huku unachungulia... umestaafu U-kungwi MMU?!

We hujui kuwa tunatafuta pesa ili tufaidi nini? Nitastaafu vipi? MI KUNGWI KILA IDARA NATOSHEA!!!!!!!!!!
 
mm nahisi unafikri hapa ni jukwaa la MMU ambalo kila single unayokuja nayo inahit ...... huku siyo, huku ni hoja kwa hoja, mifano kwa mifano, nk nk , lakn mara unasema ooooohhhh nakuchosha, mara ooohhh too theoritical, mara ooohhh tooo pessimistic, mara ohhhhh ..... mara ooohhh .... mara oooohhhh, .................. mbona mm siku-atack personally, badala yake na-atack hoja yako with high integrity and discipline, mm nimejifunza kuwavumilia wasiojua!!!!

nenda kwanza kamalizie vizuri shule yako ya uchumi mama, ukishamaliza ndio unakuja sasa kupost, otherwise utaishia ku-panic kila ukipost, eti unasema uchumi haina theory???? angalia mwalimu wako asikugundue kuwa ni wewe!!!!!

HALOOOOOOOOOOOOOO! I NEVER GOT WHOOPING 30 LIKES! PAH! JUST LIKE THAT IN MMU!!!!!!!!!! But i got them her! How many do you have? I too didnt think soo.

Embu cheki chini hapo 1000 na ushee people viewing the thread. Hesabu na like za comments zangu za katikati. Afu cheki reponse overrall! Over 220 comments. Weka link hapa thread uliyoanzsha jukwaa lolote ikafika hata tucomment 100 tu!

Bila kusahau Reputation power chek kako na langu! Hahahaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!

FACTS SHOW THAT MAJORITY ARE DIGGIN THIS SHIT!!!!!!!!! NUMBERS DONT LIE!

IWE MMU, ECONOMIC FORUM KOKOTE KULE MI NATISHAAAAAAAAAA!!!!!!!!!!!! ALWAYS EXCELLING IN WHATEVER I DO!!!!!!!!!!!! CHEZEYA!!!!!!!!!!!!!!!!!! NACHEZA NAMBA ZOTE 11 UWANJANI! KIPA MIE, DEFENCE MIE, MID FILDER MIE, FOWARD MIE!!!!!! UTANIWEZEA WAPI?
 
Back
Top Bottom