Mafanikio ni kuruka vikwazo na viunzi daily! Sio kucapitalise kwenye mapungufu n start whining like a cry baby! Ukiona tatizo kinachotakiwa ni kuangalia alternative ya kulitatua soon at your best interest!
FYI MADON WOTE WANA ROHO ZA KUTU!!!!!!!!! Kuanzia Macache, Manjii, Meddy Dew,Davi Mosha, Ulomi, n,k n,k !
Najua sana unachosema ..... naomba nikukumbushe, au nikuulize swali dogo sana!
faida inapatikana muda gani?
jibu lake ni hili:
when informations are not available to the buyers, full stop.!!!!!!
Nenda kasome kitabu chako cha masuala ya "marketing", pitia na hiki kitu pia kwa wateja(ambao kimsingi ndio waleta hela)
1.willing
2.demand
3.ability