HICHO ULICHOONGE AHAPO RED KIMENISIKITISHA SANA ,HIVI UNAJUA WATU WOTE WANGEKEWANA MENTALITY HIZO HAPA DSM KUSINGEKUWA NA TEGETA,BUNJU,HATA HIYO KINONDONI,??UKUAJI WA MJI NI WATU WENYEWE KUJIRUNDIKA SIO ISSUE SANA.
Nafikiri hujui aspects za maisha kila mtu ana mtazamo wake ,mtu aliyejenga nyumba 2008 ,huwezi mfananisha na 2012 japo ni ile ile na ramani ile ile .hali ya maisha inakuwa ngumu kadri siku zinavyoongezeka mtu huna bishara utaizungushaje hiyo hela alafu usione watu wanjenga nakununua viwanja ukadhani wanazika hela noooooooooooo ,wanavinunua nakusubiri viapriciate!!nayo ni biashara yenye faida japo inachukua muda.na ujue kwamba sio wote wenye knowlwdge ya biashara au kuzungusha pesa!!