Zeddicus Zu'l Zorander
JF-Expert Member
- Aug 25, 2011
- 804
- 951
Nafikiri mkuu hujamwelewa mleta mada. Point yake ni kwamba kama huna cashflow ya uhakika na ya kutosha fanya investments kwanza ambazo return yake ni ya muda mfupi. Return ya hiz investments itakujengea! Usikimbilie kufukia hela kabla ya kuwa na sources za kipato za kutosha!!Nilishasema akili za kushikiwa ni za kushikiwa tu..watu wanajenga na kufanya biashara na maisha yanaendelea. Hivi who told you kwamba kila mtu ameubwa kuzingusha pesa...hivi ni kweli kila mtu ameumbwa kuwa enterprising kihivyo? Ungekuwa integrative kidogo ungefahamu kuwa ulichoandika kinaendana na mazingira pia. Mkisoma kidogo mnataka kila mtu mtu afikiri mnavyofikiri ninyi. Welcome to the real world. Pia usipende kujustfy failure zako ktk maisha kwa kuona wengine hawana mawazo mazuri.
Nikukumbushe tu kuwa maisha ni zaidi ya kuwa na hela nyingi au assets. Jipange vizuri kwani napata shida kukuelewa kuwa mtu amejijengea kanyumba kake basi mola akamwita kunako haki basi mtu huyo kafa maskini. Vilevile swala la kuinvest linataka maandalizi inlcluding know how (shule). Wenge tu hawana hiyo know how... Na kwa kuwa binadamu ni rational kujenga nyumba is one of the best option...by the way kuna watu wanafamilia na hawako selfish kama unavyosound. Nafikiri nyumba bora zaidi kuliko kwenda nunua sijui hisa au vinavyofanana na hicho wakati huna background sahihi.
To be honest nadhani hii issue yako ni personal zaidi what is you objective anyway?...sound like roho ya kwanini?
HICHO ULICHOONGE AHAPO RED KIMENISIKITISHA SANA ,HIVI UNAJUA WATU WOTE WANGEKEWANA MENTALITY HIZO HAPA DSM KUSINGEKUWA NA TEGETA,BUNJU,HATA HIYO KINONDONI,??UKUAJI WA MJI NI WATU WENYEWE KUJIRUNDIKA SIO ISSUE SANA.
Nafikiri hujui aspects za maisha kila mtu ana mtazamo wake ,mtu aliyejenga nyumba 2008 ,huwezi mfananisha na 2012 japo ni ile ile na ramani ile ile .hali ya maisha inakuwa ngumu kadri siku zinavyoongezeka mtu huna bishara utaizungushaje hiyo hela alafu usione watu wanjenga nakununua viwanja ukadhani wanazika hela noooooooooooo ,wanavinunua nakusubiri viapriciate!!nayo ni biashara yenye faida japo inachukua muda.na ujue kwamba sio wote wenye knowlwdge ya biashara au kuzungusha pesa!!
unajua katika dunia ya investments real estate ni option ya wengi maana usimamizi wake sio mgumu sana. Kitu kinachofanya iwe ngumu hapa ni kuwa udhaifu wa serikali (nadhani ndio jinsi sahihi ya kueleza) unafanya opportunities zionekane kama curse. Mfano mdogo angalia sehemu mbali kama Tuangoma lakini baada ya kusurvey lile eneo viwanja vina bei zaidi ya maeneo mengine.Mimi ni mwana Darisalama mzaliwa wa Kinondoni ndo maana hoja yangu imebase Dsm. All im sayin is WATU WAJENGE BAADA YA KUJIJENGA KIUCHUMI! Pesa ndogo wanayoipata kwanza waitumie kujijenga kiuchumi then wakisimama kiuchumi ndo wafukie mahelaaaa!
Lasivo it doesnt make sense mtu alieweza kujenga jumba la 60mills in eraly 2000's leo hii awe anaishi kwa kudunduliza kadi! That is a bad investment strategy.
WATU WADHUBUTU SIO KUENDEKEZA WOGA WA KUTAKE RISK!
Biashara inahitaji muda, kipaji na ujuzi.
Katika swala zima la personal finance there is no one size fits all approach. Yuko ambaye kujenga nyumba kwako ndio uamuzi sahihi na yuko ambaye kuizungusha pesa kwake ni uamuzi sahihi.
Bottom line: Kila mtu anafanya maamuzi kulingana na hali yake. Cha msingi ni kuwa financially sober na kuwa na mipango ya muda mrefu ya kifenda.
Nafikiri mkuu hujamwelewa mleta mada. Point yake ni kwamba kama huna cashflow ya uhakika na ya kutosha fanya investments kwanza ambazo return yake ni ya muda mfupi. Return ya hiz investments itakujengea! Usikimbilie kufukia hela kabla ya kuwa na sources za kipato za kutosha!!
TOKA NIJIUNGE JF Hii ni moja ya topic iliyonivutia sana sana kwa sababu mm ni mwajiriwa na nalpwa vzur bt nawaambia marafk zangu nataka niache kazi nitake rsk niingie kwenye busines wanaogopa bt soon nitafanya maamuz magumu cz ukrsk kwanza unakuwa makini kwenye usmamiz...bt warning(kiwanja muhmu) binafs bado ni kijana mdogo ila nilichofanya cha kwanza baada ya kupata pesa nilinunua kiwanja changu kikubwa Tegeta na nina mpango wa kuanza ujenz soon ila skuwekeza kwenye magari..ila kwa maisha ya mjini kupata kiwanja ni muhmu dn unapanga un afanya biashara profit unayopata unajenga na kupanua biashara..ni mawazo yangu si sheria
Nilishasema akili za kushikiwa ni za kushikiwa tu..watu wanajenga na kufanya biashara na maisha yanaendelea. Hivi who told you kwamba kila mtu ameubwa kuzingusha pesa...hivi ni kweli kila mtu ameumbwa kuwa enterprising kihivyo? Ungekuwa integrative kidogo ungefahamu kuwa ulichoandika kinaendana na mazingira pia. Mkisoma kidogo mnataka kila mtu mtu afikiri mnavyofikiri ninyi. Welcome to the real world. Pia usipende kujustfy failure zako ktk maisha kwa kuona wengine hawana mawazo mazuri.
Nikukumbushe tu kuwa maisha ni zaidi ya kuwa na hela nyingi au assets. Jipange vizuri kwani napata shida kukuelewa kuwa mtu amejijengea kanyumba kake basi mola akamwita kunako haki basi mtu huyo kafa maskini. Vilevile swala la kuinvest linataka maandalizi inlcluding know how (shule). Wenge tu hawana hiyo know how... Na kwa kuwa binadamu ni rational kujenga nyumba is one of the best option...by the way kuna watu wanafamilia na hawako selfish kama unavyosound. Nafikiri nyumba bora zaidi kuliko kwenda nunua sijui hisa au vinavyofanana na hicho wakati huna background sahihi.
To be honest nadhani hii issue yako ni personal zaidi what is you objective anyway?...sound like roho ya kwanini?