Ameshashindwa kuilinda.
Angakua na uwezo wa kuilinda asingeamuru watu waue wengine ambao hawamkubali kwa kuwaahidi wanawake mabikra wazuri huko kusipokuwepo kunakoitwa akhera.
Ulishawahi kikiona kitabu Cha Quruan kimeandikwa kiswahili?Acheni mabishano hakuna dini hata moja iliyo sahihi isipokuwa dini ya KIISILAMU. Na dini hii mwenyewe Allah (SWT) ndio kasema atailinda.
Kwa mujibu wa nani[emoji848][emoji848]?, Najua utajibu kwa mujibu wa Quran[emoji23][emoji23],ikiwa Quran imeandikwa na hao hao o walioileta thoAcheni mabishano hakuna dini hata moja iliyo sahihi isipokuwa dini ya KIISILAMU. Na dini hii mwenyewe Allah (SWT) ndio kasema atailinda.
Hujajibu swali, dini sahihi unaipima vipi? Huwezi uthibitisha usahihi wa jambo kisa limejitamka kuwa ni sahihi.Hii ni kutokana na kauli yake mwenye Allah (SWT) ya kuwa dini yake atailinda yeye mwenyewe kwani kaliona hilo ya kuwa kuna wale wataokuja kuihujumu, kuipinga na kuichafua.
Hujajibu swali, dini sahihi unaipima vipi? Huwezi uthibitisha usahihi wa jambo kisa limejitamka kuwa ni sahihi.
mf huwezi sema Katiba ya Nchi fulani ni bora kwa sababu tu katiba hiyo imetamka yenyewe ni katiba bora.
Too brainwashed!Dini sahihi ni dini ya Allah (SWT), dini ya kiisilamu, full stop.
Jifunzeni kujenga hoja kabla hamjaleta hojaHii comment yako ni kali sana hata naiogopa, kusema Allah (SWT) “hawezi”, ndie huyo huyo aliyekupa pumzi wewe ya kuweza kumkanusha, Astaghfirullahi.
Dini gani ya asili unayoifahamu hapa Tanzania kwa mfamoDuniani kuna dini zaidi ya 99 na madhehebu ya dini mengi yasiyo na idadi. Wakristo wana madhehebu zaidi ya 43,000.
Takwimu zzinaonyesha angalau nusu 54% ya wakazi wa Dunia hii wanaamini kwenye miungu ya mashariki ya kati, yaani miungo ya waarabu na wayahudi, sehemu nyingine wanaamini miungo wao na idadi kubwa ya watu inaongezeka ya kutokuamini muungu wowote. Wachambuzi wanakadiria labda kufikia mwaka 2100 dini inaweza kua ina waamini wachache sana kuliko ilivyo sasa.
Hoja yangu ni kwamba,Afrika tumekua na miungu wetu ama ambao wamekua wakiabudiwa na vizazi vilivyotutangulia miaka na miaka na kwa bahati mbaya ujio wa hizi dini za mashariki ya kati na miungu wao kukawa na kampeni kubwa na mbaya dhidi ya miungu wetu na kudharau miungu wetu.
Ukiangalia uhalisia, hii miungu yote inafanana, hii ya kiafrika na hata ya mashariki ya kati, haina tofauti yoyote, hizi zaka, sadaka, sijui rituals gani zote zinafanana. Kazi yake ni kutoa faraja kwa maisha ya Duniani lakini haina msaada wowote zaidi ya hapo.
Kitu pekee kimesababisha dini hizi za mashariki ya kati kuchukua nafasi zaidi huku kwetu ni documentation, waarabu na wayahudi walijanjaruka mapema, wakaweka hizo ibada zao kwenye maandishi. Ukiangalia hizi dini hazikupata nafasi kubwa sana kwenye jamii ambayo tayari ilikua na documentation ya dini zao kama India, Japan, China na mashariki ya Asia yote.
Je waafrika tumeshindwa nini kuweka kwenye maandishi dini zetu za asili na kubaki kung'ang'ania hizi dini wa jamii nyingine. Good thing kuhusu dini zetu hazikua na chuki kama hizi dini za watu wa mashariki ya kati, hazitaki kulazimisha mtu aamini miungu wake na ukikataa uuwawe. Wataalam wa dini hebu wekeni dini zetu za kiafrika kwenye maandishi mrisishe vizazi.
Aliwkwambia yeye ndie ananipa pumzi ni nani? Mlikutana akakwambia ananipa pumzi?Hii comment yako ni kali sana hata naiogopa, kusema Allah (SWT) “hawezi”, ndie huyo huyo aliyekupa pumzi wewe ya kuweza kumkanusha, Astaghfirullahi.
Jifunzeni kujenga hoja kabla hamjaleta hoja
Huu ni mfano mzuri wa "circular Argument" au hoja duara,ambayo kwenye majadiliano/debate ni hoja yenye makosa (fallacy)
1.Quran ni kitabu kisicho na shaka ndani take
Amesema nani?
2.Amesema Allah (SWT)
Amesema wapi?
3.Kwenye Quran
Yaani umerudi pale pale,hapa unataka kuthibitisha uhalali wa Quran kupitia Quran yenyewe ambayo maneno yake ndiyo tunayotaka kuyathibitisha...umeona udhaifu Wa hoja yako?
Dini yetu inabadilika kila sekunde kwa kuangalia upepo unavyokwenda, hivyo ni vigumu kui document.Duniani kuna dini zaidi ya 99 na madhehebu ya dini mengi yasiyo na idadi. Wakristo wana madhehebu zaidi ya 43,000.
Takwimu zzinaonyesha angalau nusu 54% ya wakazi wa Dunia hii wanaamini kwenye miungu ya mashariki ya kati, yaani miungo ya waarabu na wayahudi, sehemu nyingine wanaamini miungo wao na idadi kubwa ya watu inaongezeka ya kutokuamini muungu wowote. Wachambuzi wanakadiria labda kufikia mwaka 2100 dini inaweza kua ina waamini wachache sana kuliko ilivyo sasa.
Hoja yangu ni kwamba,Afrika tumekua na miungu wetu ama ambao wamekua wakiabudiwa na vizazi vilivyotutangulia miaka na miaka na kwa bahati mbaya ujio wa hizi dini za mashariki ya kati na miungu wao kukawa na kampeni kubwa na mbaya dhidi ya miungu wetu na kudharau miungu wetu.
Ukiangalia uhalisia, hii miungu yote inafanana, hii ya kiafrika na hata ya mashariki ya kati, haina tofauti yoyote, hizi zaka, sadaka, sijui rituals gani zote zinafanana. Kazi yake ni kutoa faraja kwa maisha ya Duniani lakini haina msaada wowote zaidi ya hapo.
Kitu pekee kimesababisha dini hizi za mashariki ya kati kuchukua nafasi zaidi huku kwetu ni documentation, waarabu na wayahudi walijanjaruka mapema, wakaweka hizo ibada zao kwenye maandishi. Ukiangalia hizi dini hazikupata nafasi kubwa sana kwenye jamii ambayo tayari ilikua na documentation ya dini zao kama India, Japan, China na mashariki ya Asia yote.
Je waafrika tumeshindwa nini kuweka kwenye maandishi dini zetu za asili na kubaki kung'ang'ania hizi dini wa jamii nyingine. Good thing kuhusu dini zetu hazikua na chuki kama hizi dini za watu wa mashariki ya kati, hazitaki kulazimisha mtu aamini miungu wake na ukikataa uuwawe. Wataalam wa dini hebu wekeni dini zetu za kiafrika kwenye maandishi mrisishe vizazi.
Dini yetu inabadilika kila sekunde kwa kuangalia upepo unavyokwenda, hivyo ni vigumu kui document.
Na Mama yako.Dini yenu wewe na nani ?
Na Mama yako.
Kwani uzi unazungumzia dini ya nani?
Ahahahah hii wiki sijui ina nini kudadadeki..watu wanatukanana na kujibiana majibu ya shombo karibu kila uzi..nilikuwa sijawahi kuona jibu Kama hili kutoka Kwa KirangaNa Mama yako.
Kwani uzi unazungumzia dini ya nani?
Hujanisoma vizuri tu mkuu.Ahahahah hii wiki sijui ina nini kudadadeki..watu wanatukanana na kujibiana majibu ya shombo karibu kila uzi..nilikuwa sijawahi kuona jibu Kama hili kutoka Kwa Kiranga
Ahahahah mkuu wewe Una heshima sn humu alafu ni role model wa wengi ..haya majibu tuachie Sisi wadogo wadogo tutukanane Ila siyo weweHujanisoma vizuri tu mkuu.
Hapo mbona nimemuheshimu sana tu sijamfungulia bomba.
Yani hata majina yetu hatuyataki tunajiita majina ya wageni halafu tunajiana wajaaaaaanja !!!!