Waafrika hadi sasa tunashindwa nini ku-document dini zetu kama waarabu, wahindu, wajapan, Wachina, wayahudi?

Waafrika hadi sasa tunashindwa nini ku-document dini zetu kama waarabu, wahindu, wajapan, Wachina, wayahudi?

Jifunzeni kujenga hoja kabla hamjaleta hoja
Huu ni mfano mzuri wa "circular Argument" au hoja duara,ambayo kwenye majadiliano/debate ni hoja yenye makosa (fallacy)
Niliwahi kuisoma elimu ya logic (Mantiki/Ilmul Kalam) elimu hii wao na ukweli wako mbali mbali.

Huwezi kuhitimisha juu ya "Circular Argument" bila kuichambua hoja husika na kujua msingi wake ni upi na ukweli wake ni upi.

Nyinyi huwa mnafikiri kitoto kwa kujenga kanuni zenye ukomo na dhaifu kushinda nyumba ya bui bui.

Ukisoma kitabu kiitwacho "Adabul Bahth wa al munadhara" (The etiquette of research and debate/Adabu za kujadiliana na kufanya utafiti) utaona makosa mengi kwenye mtindo wa kiyunani wa kuhoji na ndiyo asili ya logic huko hasa kwa Aristoto mnayo ishi nayo nyinyi.

Mimi nakupa kazi hii ukiweza naacha kutumia hii ID. Onyesha ufallacy wa hiyo hoja kwa kutumia misingi hiyo ya logic kisha iwe kweli na uwe umepatia.
1.Quran ni kitabu kisicho na shaka ndani take

Amesema nani?
Kosa la kwanza liko hapa katika namna dhaifu ya kuhoji,kwanza inaonyesha wazi Qur'aan huijui.

Jibu amesema Allah kupitia Malaika muheshimiwa kufika kwa mtume Muhammad amani ya Allah iwe juu yake.
2.Amesema Allah (SWT)

Amesema wapi?
Swali la pili halija utofauti na swali la kwanza,na jibu lake ni hilo huko juu.

Mbinguni kuna ubao huitwao "Lawhul mahfoodh" ubao wa kuhifadhia mambo,ubao umeandikwa kila kitu na mambo yote yaliyo kadiriwa kutokea. Malaika Jibrili huchukua maneno yale ya Allah kumfikishia mtume na mtume katufikishia sisi.
3.Kwenye Quran
Kurudi pale siyo hoja,hoja ni wewe kuangalia kosa liko wapi na uweke usahihi wa mambo. Inaonekana kama vile mgeni wa somo la "logic" yaani kama umelisoma au unalisoma basi hushughulishi akili yako kutafakari.

Hakuna mtu mwenye akili timamu na kufikiria sana,akaunga mkono somo la logic kama fani,sababu linamfanya mtu kuwa mvivu wa kutafakari mambo katika uhalisia wake na kuishi katika misingi dhaifu walio iweka kina Aristoto na wengine.
Yaani umerudi pale pale,hapa unataka kuthibitisha uhalali wa Quran kupitia Quran yenyewe ambayo maneno yake ndiyo tunayotaka kuyathibitisha...umeona udhaifu Wa hoja yako?
Ukisoma elimu ya uhakiki wa habari,nafsi ya kwanza huwa shahidi mkubwa sana juu yake. Mathalani,leo hii tukitaka kukujua wewe kiundani na kwa hakika hasa,tuanze na wewe au tuwafate wale wanao kufahamu ? Jibu sahihi la haraka haraka lazima tuanze na wewe,kisha tunahakiko kile unachokisema kisha tukiona haja tunawauliza wale wanao kujua.

Narudia tena,onyesha fallacy katika hoja hiyo kwa kuzingatia matini (contents) zake.
 
Huyo Allah anayejua lugha moja tu ya kiarabu siwezi kuja huko.
Bora hata ingekuwa lugha ya kiingereza kuliko hiyo kiarabu ambayo hainisaidii chochote.
Huko madrasa vitoto vinachapwa mpaka huruma
Ikiwa Quran huiamini na Allah (SWT) pia humuamini kwa hiyo sitakuwa tayari kulumbana na watu wa aina hii.

Njooni madrasa tuwaelimishe Uisilamu na uwepo wa Allah (SWT) kwani huo Ukiristo hamuujui.
 
Kidogo kidogo tu tutaelewana
Narudia Tena kusema
Kuamini miungu ya wayunani,wayahudi na waarabu ingali wewe ni mfipa wa sumbawanga au mbena wa nyumbanitu hayo ni matumizi mabaya ya akili!
Haiwezekani mtu unaacha miungu yako unamvamia Allah na Yehova eti ndio miungu ya kweli

Waafrika tumelogwa aisee
Sijui hatujifunzi kutoka kwa wenzetu wa mashariki ya mbali Kama China na Japan huko huwababaishi na Hadith za mashariki ya Kati kamwe!
 
Duniani kuna dini zaidi ya 99 na madhehebu ya dini mengi yasiyo na idadi. Wakristo wana madhehebu zaidi ya 43,000.

Takwimu zzinaonyesha angalau nusu 54% ya wakazi wa Dunia hii wanaamini kwenye miungu ya mashariki ya kati, yaani miungo ya waarabu na wayahudi, sehemu nyingine wanaamini miungo wao na idadi kubwa ya watu inaongezeka ya kutokuamini muungu wowote. Wachambuzi wanakadiria labda kufikia mwaka 2100 dini inaweza kua ina waamini wachache sana kuliko ilivyo sasa.

Hoja yangu ni kwamba,Afrika tumekua na miungu wetu ama ambao wamekua wakiabudiwa na vizazi vilivyotutangulia miaka na miaka na kwa bahati mbaya ujio wa hizi dini za mashariki ya kati na miungu wao kukawa na kampeni kubwa na mbaya dhidi ya miungu wetu na kudharau miungu wetu.

Ukiangalia uhalisia, hii miungu yote inafanana, hii ya kiafrika na hata ya mashariki ya kati, haina tofauti yoyote, hizi zaka, sadaka, sijui rituals gani zote zinafanana. Kazi yake ni kutoa faraja kwa maisha ya Duniani lakini haina msaada wowote zaidi ya hapo.

Kitu pekee kimesababisha dini hizi za mashariki ya kati kuchukua nafasi zaidi huku kwetu ni documentation, waarabu na wayahudi walijanjaruka mapema, wakaweka hizo ibada zao kwenye maandishi. Ukiangalia hizi dini hazikupata nafasi kubwa sana kwenye jamii ambayo tayari ilikua na documentation ya dini zao kama India, Japan, China na mashariki ya Asia yote.

Je waafrika tumeshindwa nini kuweka kwenye maandishi dini zetu za asili na kubaki kung'ang'ania hizi dini wa jamii nyingine. Good thing kuhusu dini zetu hazikua na chuki kama hizi dini za watu wa mashariki ya kati, hazitaki kulazimisha mtu aamini miungu wake na ukikataa uuwawe. Wataalam wa dini hebu wekeni dini zetu za kiafrika kwenye maandishi mrisishe vizazi.
Ipo JADI YETU inayojumuisha dini zote au taratibu zote za kale za kuabudu. Fatilia Youtube Jadi Yetu au seach Telegram utapata mafunzo yote na kitabu kipo tayari kinachojumuisha vizazi vyote na si Afrika tuu na ukweli upo hapo.
 
Dini Africa imetufanya kuwa watumwa na wajinga...mtu unashinda kanisani au msikitini alafu ategemee maendeleo?upuuzi mtupu..
Mwingine anashinda njaa lakini mda wote anatukana wenzanke..upuuzi mtupu..
Miaka mingi ijayo kizazi kitachokuja kitaachana na upuuzi kama huu..vijana watakuwa wanakula monde
 
Dini ni nini na unajuaje hii ni dini na hii si dini?
Dini ni tamko lenye asili ya kiarabu lenye maana ya NJIA,hii ni maana ya kilugha. Kadhalika tamko hili limefasiriwa kwa maana ya mfumo wa maisha anao ishi nao mwanadamu tangu ana amka mpaka anapo lala.. Lakini tamko hili pia limetafsiriwa kwa maana ya "Siku ya Kiyama".

Ama kiistilahi ni mwenendo wa kiimani katika kuabudu.

Naijua dini kwa kutokuwa na hali ya kubadilika badilika katika msingi wake wa ibada.
 
Kidogo kidogo tu tutaelewana
Narudia Tena kusema
Kuamini miungu ya wayunani,wayahudi na waarabu ingali wewe ni mfipa wa sumbawanga au mbena wa nyumbanitu hayo ni matumizi mabaya ya akili!
Haiwezekani mtu unaacha miungu yako unamvamia Allah na Yehova eti ndio miungu ya kweli

Waafrika tumelogwa aisee
Sijui hatujifunzi kutoka kwa wenzetu wa mashariki ya mbali Kama China na Japan huko huwababaishi na Hadith za mashariki ya Kati kamwe!
Nini maana ya tamko "Mungu" ?

Hakuna Mungu wa Waarabu,bali kuna miungu ya Washirikina. Mola ni mmoja tu,yule aliyeumba mbingu na ardhi na vilivyomo.
 
Huyo Allah anayejua lugha moja tu ya kiarabu siwezi kuja huko.
Bora hata ingekuwa lugha ya kiingereza kuliko hiyo kiarabu ambayo hainisaidii chochote.
Huko madrasa vitoto vinachapwa mpaka huruma
Kama huna elimu bora usone maoni ya watu tu,ila kinyune chake lazima uonekane kituko kams hivi.

Allah ndiyo amejaalia kuwepo na lugha nyingi,anasema Allah mtukufu :

13. Enyi watu! Hakika Sisi tumekuumbeni kutokana na mwanamume na mwanamke. Na tumekujaalieni kuwa ni mataifa na makabila ili mjuane. Hakika aliye mtukufu zaidi kati yenu kwa Mwenyezi Mungu ni huyo aliye mchamngu zaidi katika nyinyi. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua, Mwenye khabari. (Hujuraat :13)

Sasa unaposema anajua lugha moja huu ni ujinga mwingine.

Huwezi kuona umuhimu wa lugha hii sababu hushughuliki nayo sisi tunayoshughulika nayo tunaona umuhimu wake sababu ni nyenzo muhimu sana ya kuujua Uislamu, na hakuna lugha bora na ya kielimu kuzidi Kiarabu.

Ama kuhusu kuchapwa kwa watoto hii nayo si hoja,najiuliza imeingiaje hapa hii kauli.
 
Duniani kuna dini zaidi ya 99 na madhehebu ya dini mengi yasiyo na idadi. Wakristo wana madhehebu zaidi ya 43,000.

Takwimu zzinaonyesha angalau nusu 54% ya wakazi wa Dunia hii wanaamini kwenye miungu ya mashariki ya kati, yaani miungo ya waarabu na wayahudi, sehemu nyingine wanaamini miungo wao na idadi kubwa ya watu inaongezeka ya kutokuamini muungu wowote. Wachambuzi wanakadiria labda kufikia mwaka 2100 dini inaweza kua ina waamini wachache sana kuliko ilivyo sasa.

Hoja yangu ni kwamba,Afrika tumekua na miungu wetu ama ambao wamekua wakiabudiwa na vizazi vilivyotutangulia miaka na miaka na kwa bahati mbaya ujio wa hizi dini za mashariki ya kati na miungu wao kukawa na kampeni kubwa na mbaya dhidi ya miungu wetu na kudharau miungu wetu.

Ukiangalia uhalisia, hii miungu yote inafanana, hii ya kiafrika na hata ya mashariki ya kati, haina tofauti yoyote, hizi zaka, sadaka, sijui rituals gani zote zinafanana. Kazi yake ni kutoa faraja kwa maisha ya Duniani lakini haina msaada wowote zaidi ya hapo.

Kitu pekee kimesababisha dini hizi za mashariki ya kati kuchukua nafasi zaidi huku kwetu ni documentation, waarabu na wayahudi walijanjaruka mapema, wakaweka hizo ibada zao kwenye maandishi. Ukiangalia hizi dini hazikupata nafasi kubwa sana kwenye jamii ambayo tayari ilikua na documentation ya dini zao kama India, Japan, China na mashariki ya Asia yote.

Je waafrika tumeshindwa nini kuweka kwenye maandishi dini zetu za asili na kubaki kung'ang'ania hizi dini wa jamii nyingine. Good thing kuhusu dini zetu hazikua na chuki kama hizi dini za watu wa mashariki ya kati, hazitaki kulazimisha mtu aamini miungu wake na ukikataa uuwawe. Wataalam wa dini hebu wekeni dini zetu za kiafrika kwenye maandishi mrisishe vizazi.
Kiuhalisia kuandika na kusoma si utamaduni wetu, na bado hatujaufanya kuwa utamaduni mpaka leo, badala ya kuwa na maandishi sisi mafunzo yetu tulipata KWA mdomo (ORAL TRADITION) kutoka KWA wazee tangu na tangu
Na huu utaratibu wa kukaa jioni huku mmemzuguka babu anawakatia story umefanya waafrika KWA kiasi kikubwa tunamanage kuishi SOCIAL LIFE zile zenye extended family tofauti na watu wa magharibi ambapo uwepo wa maandishi ulipromote individualism KWA kuwa Ili kupata maarifa kwao hakukuwa na ulazima wa kukaa pamoja kupiga story ,unaweza nunua kitabu ukajifungia ndani ukasoma Ukiwa alone na mpaka hivi leo jamii za magharibi zina elements nyingi za kibinafsi (individualism)

Na hii wave ya individualism insweep Africa sasa KWA kasi ,ule utamaduni wetu wa kuishi KWA extended family tunaelekea kuupiga chini tunakumbatia nuclear family ,yaweza kuwa kweli nuclear family zinaharakisha maendeleo lkn ndo timetrade off na tradition na identity zetu

Sababu kubwa ya kutopenda kuandika mambo yetu ni TRADITION and CULTURE ,Sio utamaduni wetu kufanya hivyo.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Nini maana ya tamko "Mungu" ?

Hakuna Mungu wa Waarabu,bali kuna miungu ya Washirikina. Mola ni mmoja tu,yule aliyeumba mbingu na ardhi na vilivyomo.
aliyekuloga walishamzika huko mecca
Aliyekuambia Kuna mungu mmoja alikudanganya mkuu kila jamii ina miungu yake kamanda hata huyo mtume wenu Mohammed alikua anamuamudu Allah mungu wa pale kaaba kwahiyo wewe Kama mmatumbi ulipaswa uabudu miungu ya mababu zako sio ya waarabu pole sana aisee kwa kua brain washed kwa kuamini wale miungu wa kaaba watakusikiliza!
 
aliyekuloga walishamzika huko mecca
Aliyekuambia Kuna mungu mmoja alikudanganya mkuu kila jamii ina miungu yake kamanda hata huyo mtume wenu Mohammed alikua anamuamudu Allah mungu wa pale kaaba kwahiyo wewe Kama mmatumbi ulipaswa uabudu miungu ya mababu zako sio ya waarabu pole sana aisee kwa kua brain washed kwa kuamini wale miungu wa kaaba watakusikiliza!
Jibu swali nililo kuuliza.
 
Duniani kuna dini zaidi ya 99 na madhehebu ya dini mengi yasiyo na idadi. Wakristo wana madhehebu zaidi ya 43,000.

Takwimu zzinaonyesha angalau nusu 54% ya wakazi wa Dunia hii wanaamini kwenye miungu ya mashariki ya kati, yaani miungo ya waarabu na wayahudi, sehemu nyingine wanaamini miungo wao na idadi kubwa ya watu inaongezeka ya kutokuamini muungu wowote. Wachambuzi wanakadiria labda kufikia mwaka 2100 dini inaweza kua ina waamini wachache sana kuliko ilivyo sasa.

Hoja yangu ni kwamba,Afrika tumekua na miungu wetu ama ambao wamekua wakiabudiwa na vizazi vilivyotutangulia miaka na miaka na kwa bahati mbaya ujio wa hizi dini za mashariki ya kati na miungu wao kukawa na kampeni kubwa na mbaya dhidi ya miungu wetu na kudharau miungu wetu.

Ukiangalia uhalisia, hii miungu yote inafanana, hii ya kiafrika na hata ya mashariki ya kati, haina tofauti yoyote, hizi zaka, sadaka, sijui rituals gani zote zinafanana. Kazi yake ni kutoa faraja kwa maisha ya Duniani lakini haina msaada wowote zaidi ya hapo.

Kitu pekee kimesababisha dini hizi za mashariki ya kati kuchukua nafasi zaidi huku kwetu ni documentation, waarabu na wayahudi walijanjaruka mapema, wakaweka hizo ibada zao kwenye maandishi. Ukiangalia hizi dini hazikupata nafasi kubwa sana kwenye jamii ambayo tayari ilikua na documentation ya dini zao kama India, Japan, China na mashariki ya Asia yote.

Je waafrika tumeshindwa nini kuweka kwenye maandishi dini zetu za asili na kubaki kung'ang'ania hizi dini wa jamii nyingine. Good thing kuhusu dini zetu hazikua na chuki kama hizi dini za watu wa mashariki ya kati, hazitaki kulazimisha mtu aamini miungu wake na ukikataa uuwawe. Wataalam wa dini hebu wekeni dini zetu za kiafrika kwenye maandishi mrisishe vizazi.
Tumfute "al'mighty'God
 
Mada kama hizi wale wenye majina ya ubatizo ya Kiitaliano au wale wenye majina ya wapigana Jihadi hawataki kabisa kuzisikia. Lakini nadhani hii ni mada muhimu sana na inatakiwa kujadiliwa kwa kina bila aibu yoyote ile: Japo dini ikizidi utashi kamwe huwezi kufahamu kweli na mada kama hizi huwa zinajawa mihemko mikubwa mno.
 
Back
Top Bottom