Waafrika hadi sasa tunashindwa nini ku-document dini zetu kama waarabu, wahindu, wajapan, Wachina, wayahudi?

Waafrika hadi sasa tunashindwa nini ku-document dini zetu kama waarabu, wahindu, wajapan, Wachina, wayahudi?

Acheni mabishano hakuna dini hata moja iliyo sahihi isipokuwa dini ya KIISILAMU. Na dini hii mwenyewe Allah (SWT) ndio kasema atailinda.
Thibitisha kimantiki kwamba Allah yupo kweli na habari za kuwepo kwake si hadithi za watu tu.
 
Mada fikirishi sana hii na nimeipenda sana we jamaa nikama umekuwa na mawazo yanayo fanana kuhusu hilo swala la imani,

Maana mimi binafsi sielewagi kwanini dini zetu zinafinyangwa na watu wakuja alafu tupo tunashangilia tu na watu wengi wanaelewa hili lakini bado wanaogopa kujitokeza kusimamia ukweli wetu waafrica ,

Inasikitisha sana yaani waafrica tunakiwa tegemezi tu hadi kwenye imani, huu ni ubumbufu wa fikra kabisa,

Mimi najitolea kupambania hili swala kuinua dini yetu , mwenye atapenda kuipambanie imani yetu ajitokeze tuinue imani yetu sasa karibuni
mkuu naungana na wewe kiufupi sijawahi kua muumini wa dini za mashariki ya Kati tangu nilipoanza kujitambua na naapa sitawahi kuja kuzielewa kamwe
Kwanza zimewadunisha waafrika wamekua brain washed kwa kiwango kikubwa sana Mimi hua nashangaa miungu ya wayahudi inanihusu Nini Mimi mbena wa nyumbanitu?
 
Link imejaa explanations za ku justify na kufafanua uongobm kwa uongo.

Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote angekuwepo, habari zake zisingehitaji ufafanuzi wenye utata.

Ufafanuzi wenye utata unaonesha Mungu huyo hayupo, kaandikwa na watu tu.

Kwani huyo Mungu alishindwa kuweka habari zake kwenye DNA ya kila mtu, ili kila mtu amjue, bila kuhitaji kujua kusoma wala kujua Kiarabu?
Unatakiwa vitu kujifunza ili ufahamu. Kila mtu ataulizwa kutokana na ufahamu wake na ujumbe uliomfikia. Mwenyezi Mungu hapangiwi atakavyo binadamu.
 
Acheni mabishano hakuna dini hata moja iliyo sahihi isipokuwa dini ya KIISILAMU. Na dini hii mwenyewe Allah (SWT) ndio kasema atailinda.
Mavi yako jonga kabosa Warabu watakuwoaa soon!!
Nana yako anhezaliwa akijiita mkristo ungesifia ukristo kenge wa blue wewe

No jora nokachomwe moto na Uaffrika wangu siyo ushenzi huo
 
Waafrika ni specie ya binadamu mpumbavu sana. sana sana!!!! Eti mtu mweusi mwenye dini ya kiislamu iliyoletwa na wageni ana mchija mtu mweusi asiye muislamu!!!!!
Katika hizi dini 2 zilizoletwa na waarabu na wazungu, hii iliyoletwa na waarabu inaongozwa kwa ubabe na kuchinjana kama mbuzi, sijui Mungu wao anapenda sana damu!!? ona Msumbiji sasa!!
 
Acheni mabishano hakuna dini hata moja iliyo sahihi isipokuwa dini ya KIISILAMU. Na dini hii mwenyewe Allah (SWT) ndio kasema atailinda.
Kama Allah alisema atailinda dini yake, na hao jamaa wa Msumbiji wanampigania Allah yupi kulinda dini yake??
 
Unatakiwa vitu kujifunza ili ufahamu. Kila mtu ataulizwa kutokana na ufahamu wake na ujumbe uliomfikia. Mwenyezi Mungu hapangiwi atakavyo binadamu.
Sasa mtu ambaye ana ufahamu mdogo, kwa sababu Allah hakumjalia ufahamu mkubwa, na kwa hivyo hakumjua Allah, huyo naye atahukumiwa kwa kutomjua Allah kwa sababu ya ufahamu wake mdogo ambao kapewa na Allah?
 
Sasa mtu ambaye ana ufahamu mdogo, kwa sababu Allah hakumjalia ufahamu mkubwa, na kwa hivyo hakumjua Allah, huyo naye atahukumiwa kwa kutomjua Allah kwa sababu ya ufahamu wake mdogo ambao kapewa na Allah?
hicho ni moja Kati ya vituko vya huyo Allah wanaedai ni Mungu muumba wa vitu vyote mkuu tuwavumile hawa ndugu zetu kwa kua brain washed!
😂😂😂😂
 
Kama Allah alisema atailinda dini yake, na hao jamaa wa Msumbiji wanampigania Allah yupi kulinda dini yake??

Hakuna dini hata moja inayoruhusu mauaji hao wa Msumbiji, Al Shabab wa Somalia na hata Boko Haram ni magaidi kama magaidi wengine. Uisilamu hauko pamoja nao.
 
Sasa mtu ambaye ana ufahamu mdogo, kwa sababu Allah hakumjalia ufahamu mkubwa, na kwa hivyo hakumjua Allah, huyo naye atahukumiwa kwa kutomjua Allah kwa sababu ya ufahamu wake mdogo ambao kapewa na Allah?
Mwenyezi Mungu hawezi kuhukumu wote kwa 'level moja'. Kuna wale ambao wasiokuwa na akili timamu , watoto na wale ambao hawajafikiwa na ujumbe. Hao watakuwa na hoja madhubuti tofauti mimi na wewe ambao ujumbe ulitufikia tukakanusha kutokana na sababu zetu.
 
Mavi yako jonga kabosa Warabu watakuwoaa soon!!
Nana yako anhezaliwa akijiita mkristo ungesifia ukristo kenge wa blue wewe

No jora nokachomwe moto na Uaffrika wangu siyo ushenzi huo

Lugha ya Kiswahili ina wenyewe sio kila mtu ataisema au kuiandika. Mimi hapa sijaelewa kitu.
 
hicho ni moja Kati ya vituko vya huyo Allah wanaedai ni Mungu muumba wa vitu vyote mkuu tuwavumile hawa ndugu zetu kwa kua brain washed!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Inasikitisha sana kuona mpaka leo zama hizi za teknolojia na habari, karibu kila kitu cha msingi kiko wazi, halafu kuna watu wanaamini uongo huu bado.

Yani baba mzazi mwenye upendo mwingi sana na uwezo mwingi sana, anamnyima mtoto nafasi ya kwenda shule kujifunza kusoma, halafu baba huyo huyo anamchoma mtoto moto wa milele mtoto huyo, kwa sababu mtoto hajui kusoma.

Baba wa kidunia akifanya hivyo atashitakiwa na kufungwa kwa ukatili.

Huyo Allah mwenye upendo na uwezo mara zisizohesabika kumzidi baba wa kidunia imekuwaje ajiruhusu kuwa katili hivyo?

Kuna aya kwenye Quran inasema kuna watu Allah atawaziba macho na masikio wasimjue, atawafanya mioyo yao iwe mizito wasimjue Allah, kisha atawapa hukumu kubwa kwa kutomjua Allah.

Huyu Allah yupo kweli? Au hadithi za kutungwa na watu tu?
 
Sasa mtu ambaye ana ufahamu mdogo, kwa sababu Allah hakumjalia ufahamu mkubwa, na kwa hivyo hakumjua Allah, huyo naye atahukumiwa kwa kutomjua Allah kwa sababu ya ufahamu wake mdogo ambao kapewa na Allah?
Mwenyezi Mungu hawezi kuhukumu wote kwa 'level moja'. Kuna wale ambao wasiokuwa na akili timamu , watoto na wale ambao hawajafikiwa na ujumbe. Hao watakuwa na hoja madhubuti tofauti mimi na wewe ambao ujumbe ulitufikia tukakanusha kutokana na sababu zetu.
 
Mwenyezi Mungu hawezi kuhukumu wote kwa 'level moja'. Kuna wale ambao wasiokuwa na akili timamu , watoto na wale ambao hawajafikiwa na ujumbe. Hao watakuwa na hoja madhubuti tofauti mimi na wewe ambao ujumbe ulitufikia tukakanusha kutokana na sababu zetu.
Kuna aya ya Quran inasema kuna watu Allah atawaziba macho na masikio wasimjue.

Atawafanya mioyo yao iwe mizito wasimjue.

Kisha atawapa hawa hukumu kubwa kwa kutomjua.

Msihangaike nao.

Unaijua hiyo aya?

Na kwa nini Mungu mwenye upendo awazibe watu macho, masikio na kufanya mioyo yao iwe mizito wasimjue, kisha awape hukumu kubwa kwa kutomjua?

 
Kuna aya ya Quran inasema kuna watu Allah atawaziba macho na masikio wasimjue.

Atawafanya mioyo yao iwe mizito wasimjue.

Kisha atawapa hawa hukumu kubwa kwa kutomjua.

Msihangaike nao.

Unaijua hiyo aya?

Na kwa nini Mungu mwenye upendo awazibe watu macho, masikio na kufanya mioyo yao iwe mizito wasimjue, kisha awape hukumu kubwa kwa kutomjua?

Hakika wale walio kufuru ni sawa kwao ukiwaonya au usiwaonye, hawaamini. Mwenyezi Mungu amepiga muhuri juu ya nyoyo zao na juu ya masikio yao, na juu ya macho yao pana kifuniko. Basi watapata adhabu kubwa(2:6-7)

Bila shaka unamaanisha aya hizi hapa.
Mwenyezi Mungu hakuwadhulumu watu hawa badala yake walijidhulumu wao wenyewe. kwa hivyo sio kwa sababu Mwenyezi Mungu ameweka muhuri mioyoni mwao kwamba hawa makafiri hawaelewi na wanaamini, lakini ni kinyume chake. Ni kwa sababu hawa makafiri wamekusudia kukataa ukweli na ikiwa wataonywa au la hawataamini, basi Mwenyezi Mungu amepiga muhuri mioyoni mwao.

Mioyo yao imefungwa tu kwa muda mrefu wanapotaka kujiweka katika kukataa na ujinga. Kwa hivyo, ikiwa mtu anataka kufungua macho yake na kujifunza, muhuri wake utaondolewa kwa sababu mlango wa toba uko wazi kila wakati.


Isipo kuwa atakaye tubu, na akaamini, na akatenda vitendo vyema. Basi hao Mwenyezi Mungu atayabadilisha maovu yao yawe mema. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.(25:70)
 
Hakika wale walio kufuru ni sawa kwao ukiwaonya au usiwaonye, hawaamini. Mwenyezi Mungu amepiga muhuri juu ya nyoyo zao na juu ya masikio yao, na juu ya macho yao pana kifuniko. Basi watapata adhabu kubwa(2:6-7)

Bila shaka unamaanisha aya hizi hapa.
Mwenyezi Mungu hakuwadhulumu watu hawa badala yake walijidhulumu wao wenyewe. kwa hivyo sio kwa sababu Mwenyezi Mungu ameweka muhuri mioyoni mwao kwamba hawa makafiri hawaelewi na wanaamini, lakini ni kinyume chake. Ni kwa sababu hawa makafiri wamekusudia kukataa ukweli na ikiwa wataonywa au la hawataamini, basi Mwenyezi Mungu amepiga muhuri mioyoni mwao.

Mioyo yao imefungwa tu kwa muda mrefu wanapotaka kujiweka katika kukataa na ujinga. Kwa hivyo, ikiwa mtu anataka kufungua macho yake na kujifunza, muhuri wake utaondolewa kwa sababu mlango wa toba uko wazi kila wakati.


Isipo kuwa atakaye tubu, na akaamini, na akatenda vitendo vyema. Basi hao Mwenyezi Mungu atayabadilisha maovu yao yawe mema. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.(25:70)
Unaelewa unaji contradict hapo?

Mungu kaingia kafunga moyo wa mtu, halafu mtu akifa na kusema sijakujua Mungu kwa sababu ulinifunga moyo wangu nisikujue, usingenifunga moyo ningekujua, Mungu atajitetea vipi hapo?
 
Hakika wale walio kufuru ni sawa kwao ukiwaonya au usiwaonye, hawaamini. Mwenyezi Mungu amepiga muhuri juu ya nyoyo zao na juu ya masikio yao, na juu ya macho yao pana kifuniko. Basi watapata adhabu kubwa(2:6-7)

Bila shaka unamaanisha aya hizi hapa.
Mwenyezi Mungu hakuwadhulumu watu hawa badala yake walijidhulumu wao wenyewe. kwa hivyo sio kwa sababu Mwenyezi Mungu ameweka muhuri mioyoni mwao kwamba hawa makafiri hawaelewi na wanaamini, lakini ni kinyume chake. Ni kwa sababu hawa makafiri wamekusudia kukataa ukweli na ikiwa wataonywa au la hawataamini, basi Mwenyezi Mungu amepiga muhuri mioyoni mwao.

Mioyo yao imefungwa tu kwa muda mrefu wanapotaka kujiweka katika kukataa na ujinga. Kwa hivyo, ikiwa mtu anataka kufungua macho yake na kujifunza, muhuri wake utaondolewa kwa sababu mlango wa toba uko wazi kila wakati.


Isipo kuwa atakaye tubu, na akaamini, na akatenda vitendo vyema. Basi hao Mwenyezi Mungu atayabadilisha maovu yao yawe mema. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.(25:70)

Shekhe hawa Pagans watakupa shida sana ni bora kuwaangalia tu. Mtu kufika kumkanusha aliyemuumba wewe hutomuweza.
 
Unaelewa unaji contradict hapo?

Mungu kaingia kafunga moyo wa mtu, halafu mtu akifa na kusema sijakujua Mungu kwa sababu ulinifunga moyo wangu nisikujue, usingenifunga moyo ningekujua, Mungu atajitetea vipi hapo?
Hapa wametajwa wale waliokufuru ambao ujumbe wameupata lakini bado wanaendelea kukadhibisha aya zilizo wazi. Kwa hiyo sio kwamba hawajajua kuhusu habari ya Mwenyezi Mungu ila viburi vyao vikafanywa wakapigwa muhuri. Na wengine wapo mbalimbali kwenye zama zilizopita walishahukumiwa moja kwa moja tangu duniani
 
Ikiwa Quran huiamini na Allah (SWT) pia humuamini kwa hiyo sitakuwa tayari kulumbana na watu wa aina hii.

Njooni madrasa tuwaelimishe Uisilamu na uwepo wa Allah (SWT) kwani huo Ukiristo hamuujui.
kwenye dini yenu ya chinja chinja mkamfundishe kuchinja pia
 
Back
Top Bottom