Waafrika hatukupaswa kutumia kalenda moja na wazungu. Sisi tuko nyuma ya wazungu kwa miaka 300

Stage nyingi sana za maendeleo tumerushwa hivyo ngumusana kufika panapotakiwa
Tumerushwa toka Ujima Hadi Ubepari.
Ndio maana unaona hivi tulivyo sasa.

Ni sawa leo Watazania wote twende Uwingereza na Nguo zetu tu tuache kila kitu hapa.

Na Waingereza waje Tanzania na Nguo zao tu waache kila kitu huko kwao.

Baada ya miaka mitano tu sisi tutakuwa masikini kuliko tulivyo hivi sasa.
Na wao watakuwa Matajiri mara dufu kuliko walivyo hivi sasa.

Tafakari.
 
Kuna movie moja inaonesha mtu wa stone age anavyohangaika kukamata samaki, kaingia kwenye maji ya kina kifupi na rundo la mawe ya kupopolea samaki wanaokatiza karibu...
😂 😂 😂

Lazima atakuwa neanderthral.😂😂😂
 
Sasa kalenda inahusika vipi hapo
Basi tu. Usiumize kichwa sana.

Ujumbe ni kwamba....Ati hatuna tulichovumbua. Yaani kuna watu karne hii wanafikiri hata kula, au kulia machozi Mwafrika, tumefundishwa na Wazungu. Kazi kweli.
 
Waafrika hatuna laana
 
Achana na propaganda za mapanafricanist,kwamba skilled people walichukuliwa ulaya.
 
Swali: Kama Afrika tulikuwa na watu best kwanini hawakuona mbali na kwenda Ulaya, Asia na Amerika kuwachukua watu best walete maendeleo huku kwetu?
 
Mkuu nilikuwa sikuzingatii comments zako ila the way umetizama hili suala na the way umeelezea jinsi unavyoliona hakika wewe ni Syllogist na kuanzia sasa nitakua nafuatilia comments zako japo haibadilishi uhalisia kuwa wazungu wana uwezo wa kutufanya chochote
 
Hii mada na wachangiaji wengi vinatia aibu hata kusoma!

Mmeshakua watu wazima sasa, tafuteni history ya bara lenu kabla ya Ukoloni. Itafuteni history ya mtu wa Afrika (Akebulan), mapambano yake na juhudi zake katika kuyaishi maisha yake!

Maajabu mtasema hizo history zenyewe zimeandikwa na hao hao wakoloni/wamishionari lakini kwa dunia tuliyopo sasa, huukosi ukweli japo kiduchu.

Tusome na kutafiti sana kutuhusu kwa faida na manufaa yetu na vizazi vyetu kwa maana huwezi kujua unapokwenda Kama hujui wapi umetoka, utaburuzwa tu.










Picha ya tatu inasoma “village of Manyuema/Manyema.




Angalia jinsi mji ulivyopangika. Hii ni kabla ya ujio wa wakoloni/wamishionari/wafanyabiashara za ndovu na binaadam/wasaka dhahabu.


Tulikariri Dar es salaam/Mzizima ni mji wa Wazaramo/Wakwere lakini ushahidi unasema wakazi wa kwanza / wenyeji wa mwanzo (sio waAsili) ni Wamanyema.


Ingia Google check Historum/African History/Africa before Colonization.
 
Wazungu tumewafundisha mbinu za Kivita.Vita za misituni.... Camouflage.

Wao walikuwa wanakimbizana tu na kukatana mapanga bila mipangilio.

Walivyotokea kwetu ndio walijua hawajui.
Hiyo vita yetu walikua wanatumia silaha gani?.Kama wao walikuja na mapanga na chuma walianza kutengeneza wao wafrika walikua wanatumia nyenzo gani yakivita yakisasa ili wawe wamejifunza kwetu.maana naona nikama unajariji tu.
 
Una ji underestimate mkuu, acha upuuzi kuwatukuza weupe.
Jikubali
Siku tukakayokubali ukweli ndio siku tutakayoweka misingi yakujikomboa.Hadi leo tunalaumu wazungu kwenye mambo ambayo yanatokana na ujinga wetu.hiyo yote nikwasababu sisi ni dhaifu na hatutaki kukubali ili tujifunze kua imara.Sasa kukana ukweli bila kujua namna yakuurekebisha haina manufaa yoyote.
 
Unazungumzia umoja ambao kuwaweka tu sawa wacongo miaka na miaka wameshindwa.Waafrika tunashindwa kuongozana wenyewe tunabaki kuuana kwakugombania madaraka na rasilimali ili tuzipeleke kwa wazungu kwa mlango wa nyuma tutaweza nini sisi.
 
Hakuna sababu ya kua na historia ambayo haitubadilishi kurudi kua bora zaidi toka uko nyuma wakati wa hiyo historia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…