kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,779
- 4,982
Kuna kitu nimekitafakari sana, kwanini sisi Afrika hatuna maendeleo? Nikaja kutambua kuwa, viongozi wetu wengi wa Afrika hawana ufahamu kuhusu uongozi wa ulimwengu, ndiyo maana tupo nyuma kwa kila kitu.
Hivi fikiria ka inchi kama Qatar kanatuzidi uchumi sisi! Palipo na ukweli lazima pasemwe, Afrika tuwape tena wazungu nchi zetu watuongoze kwa mara ya pili ili tupate akili vizuri, maana inaonekana tuliomba uhuru wakati bado vichwani mwetu hatuna ufahamu.
Sisi Kongo 2023 tunaanza na Moise Katumbi!
Hivi fikiria ka inchi kama Qatar kanatuzidi uchumi sisi! Palipo na ukweli lazima pasemwe, Afrika tuwape tena wazungu nchi zetu watuongoze kwa mara ya pili ili tupate akili vizuri, maana inaonekana tuliomba uhuru wakati bado vichwani mwetu hatuna ufahamu.
Sisi Kongo 2023 tunaanza na Moise Katumbi!