Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo kubwa la sisi waafrika ni kuruka stage kwenye zile hatua za maendeleo ya binadamu:
1. Primitive communalism
2. Slavery
3. Feudalism
4. Capitalism
5. Socialism
Kihistoria, jamii zilipohama kutoka stage moja kwenda nyingine, walikua wamekomaa KIAKILI kuona umuhimu wa hayo mabadiliko!
Sisi tulirushwa kutoka hatua ya kwanza mpaka ya 5, huku baadhi ya nchi zikirukia ya 4. Matokeo yake akili zetu bado zipo kati ya hatua ya 2 na ya 3. Viongozi wetu wanachowaza ni "accumulation of wealth" (feudalism) na kuwanyonya wengine kwa manufaa binafsi (slavery).
Unajua kwann viongozi wa kiafrica miradi mingi upenda kuwapa Wachina jibu ni Ili iwe rahisi kuiba nao,Mchina katumwa pesa Afrika wamekuja afrika wamekutana na watawala wezi wamefunga ndoa,Mchina ubalika kuendana na mazingira wakiwa kwao na Ulaya wanajenga kwa standard na uogopa rushwa,wakija Afrika wamekuja kiwandani kabisa kwenye ufisadi wanafunga na ndoa kabisa ya wizi na watawala wa kiafrica.Shida ya Waafrika hatutaki tuongozwe na wenye akili tunataka wale tutakao kwiba pamoja🏃
QUOTE ya hovyo. Kwani wao hawa-uani?Don't give guns to the Africans. They will kill teach other..... P W BOTHER....
Kama tunavyofanya kwenye makampuni mengi na yakafanikiwaKuna kitu nimekitafakari sana, kwanini sisi Afrika hatuna maendeleo? Nikaja kutambua kuwa, viongozi wetu wengi wa Afrika hawana ufahamu kuhusu uongozi wa ulimwengu, ndiyo maana tupo nyuma kwa kila kitu.
Hivi fikiria ka inchi kama Qatar kanatuzidi uchumi sisi! Palipo na ukweli lazima pasemwe, Afrika tuwape tena wazungu nchi zetu watuongoze kwa mara ya pili ili tupate akili vizuri, maana inaonekana tuliomba uhuru wakati bado vichwani mwetu hatuna ufahamu.
Sisi Kongo 2023 tunaanza na Moise Katumbi!
Iweka na Tanzania, uganda, rwandaKimbari, ukiangalia Somali, Sudan, Congo, Centre Afrika, Nigeria, Libya, Syria n.k hapa tunaweza kutoa majibu mepesi ya kivivu kuwa wazungu wanatuchonganisha
Asante sana kwa uzi mzuri.Tumeendelea kuuana wenyewe kwa wenyewe na kufisadi nchi zetu. Angalia viongozi wetu walivyojilimbikizia mali wao na familia zao. Akina Mobutu, Ghadaff, Kikwete, Mkapa, Bokassa n.k kana kwamba hawa wataish milele.Lakini haya yamekuwa hayaonekani kama ni tatizo.
Mkishakula makande na kuvuta bangi chooni mnaaamua tu kuandika mnachotaka. Sasa kama una elimu hata ya Sekondari imekusaidia nini?Kuna kitu nimekitafakari sana, kwanini sisi Afrika hatuna maendeleo? Nikaja kutambua kuwa, viongozi wetu wengi wa Afrika hawana ufahamu kuhusu uongozi wa ulimwengu, ndiyo maana tupo nyuma kwa kila kitu.
Hivi fikiria ka inchi kama Qatar kanatuzidi uchumi sisi! Palipo na ukweli lazima pasemwe, Afrika tuwape tena wazungu nchi zetu watuongoze kwa mara ya pili ili tupate akili vizuri, maana inaonekana tuliomba uhuru wakati bado vichwani mwetu hatuna ufahamu.
Sisi Kongo 2023 tunaanza na Moise Katumbi!
Sababu ya Madaraka. Hata hapa bongo ukikaza kiwaudhi wanaondoka na koromeo lako fastaa.Huku Tanzania wanaua watu wenye albinism ili washinde kwenye chaguzi na pia kupata utajiri. Waafrika tulikosea nini tukapata laana hii? Ukiona watanzania wanapigana na kutaka kuuana kwa kutetea uarabu na uzungu utajisikia kichefu chefu. Bado waafrka hatujakua thamani ya ubinadamu na katika hili hatuoni vibaya kumwaga damu ya walio kinyume na mitizamo yetu ya kisiasa. Nenda Burundi, wanaokufa ni warundi hawa waafrika. Nenda Congo nenda Syria, Egypt n.k majibu mepesi utaambiwa wazungu wanatugombanisha.Waafrika ni kama ng'ombe tu hatuna tunaloweza amua.
Ukweli usemwe bwana. Afrika ni kichefu chefu. Unajua kwanini tz pesa zimeyeyuka? Mzigo mkubwa ulitumika kwenye uchaguzi 2020 na tuliwambia kitakachifata baada ya hapo ni kilio sasa imethibitika.Mkishakula makande na kuvuta bangi chooni mnaaamua tu kuandika mnachotaka. Sasa kama una elimu hata ya Sekondari imekusaidia nini?
Hapo ulipo unaamini kuwa nchi za Ulaya na America hazina matatizo?
Hizi ulizoandika ni pumba tu kama unadhani Tanzania imesimama palepale tokea uhuru. Nisikulaumu pengine wewe umezaliwa baada ya mwaka 2000Au tufanye kama walivyofanya waarabu wao sekta nyingi za uzalishaji wamewakabidhi foreigner ndio wanasimamia wao wanapokea tu asilimia zao na nchi zao zinaenda kwa maendeleo. Wanaoijenga emirates sio waarabu.
Walioijenga Korea kusini, Singapore, Malaysia, Taiwan, Hongkong, Japan ni foreigners. So sisi waafrika sio wa kwanza kutumia mfumo huu wa kuajiri foreigners kusimamia uchumi na maendeleo ya nchi na maendeleo yameonekana.
Africa hatuna viongozi tunawatawala tupu, mafisadi, undugu, utapeli, wizi, ushirikina, kujuana na upendeleo wa kijinga.Kuna kitu nimekitafakari sana, kwanini sisi Afrika hatuna maendeleo? Nikaja kutambua kuwa, viongozi wetu wengi wa Afrika hawana ufahamu kuhusu uongozi wa ulimwengu, ndiyo maana tupo nyuma kwa kila kitu.
Hivi fikiria ka inchi kama Qatar kanatuzidi uchumi sisi! Palipo na ukweli lazima pasemwe, Afrika tuwape tena wazungu nchi zetu watuongoze kwa mara ya pili ili tupate akili vizuri, maana inaonekana tuliomba uhuru wakati bado vichwani mwetu hatuna ufahamu.
Sisi Kongo 2023 tunaanza na Moise Katumbi!
Ndiyo maana dikteta aliamua kufa mapema snUkweli usemwe bwana. Afrika ni kichefu chefu. Unajua kwanini tz pesa zimeyeyuka? Mzigo mkubwa ulitumika kwenye uchaguzi 2020 na tuliwambia kitakachifata baada ya hapo ni kilio sasa imethibitika.
Ndo ukweli wenyewe!Post yenye maumivu. Lkn ndio ukweli wenyewe [emoji22]
Zambia na Ghana wamewahi kuwa na viongozi wazungu,kuna jipya walifanya?Kuna kitu nimekitafakari sana, kwanini sisi Afrika hatuna maendeleo? Nikaja kutambua kuwa, viongozi wetu wengi wa Afrika hawana ufahamu kuhusu uongozi wa ulimwengu, ndiyo maana tupo nyuma kwa kila kitu.
Hivi fikiria ka inchi kama Qatar kanatuzidi uchumi sisi! Palipo na ukweli lazima pasemwe, Afrika tuwape tena wazungu nchi zetu watuongoze kwa mara ya pili ili tupate akili vizuri, maana inaonekana tuliomba uhuru wakati bado vichwani mwetu hatuna ufahamu.
Sisi Kongo 2023 tunaanza na Moise Katumbi!