Waafrika kushindwa na wakoloni na kugeuzwa wakristo na waislam inasababishwa na weak civilization? Tumsikilize former Singapore PM Lee

Waafrika kushindwa na wakoloni na kugeuzwa wakristo na waislam inasababishwa na weak civilization? Tumsikilize former Singapore PM Lee

ungebaki na dini yako ya asili usingeenda shule na kuwa na maendeleo yaliyoletwa na dini hizo za abrahamic, hiyo ndiyo system ya dunia lazima uikubali utake usitake
Chuo kikuu cha kwanza duniani kilikuwa wapi na kilijengwa na nani?

Kuna msomi yeyote wa leo anaweza kujenga Pyramid?

Ficha upumbavu wako.
 
unataka kusema kabla ya ujio wa dini hizo mbili, dini za kienyeji zilizokuwepo zilikuwa sahihi au ni abrakadabra tu? Kama hujui waafrika waliendelea kuabudu dini zao za asili mpaka sasa wanaziabudu na ni double standard. Je zinawasaidia nini kama si kuendeleza mambo ya kipuuzi?
Kwani dini za kigeni zinatusaidia nini zaidi ya kutuibia,kutufanya maskini,kutbagua na kueneza ushoga?
 
ungebaki na dini yako ya asili usingeenda shule na kuwa na maendeleo yaliyoletwa na dini hizo za abrahamic, hiyo ndiyo system ya dunia lazima uikubali utake usitake
Ulazma haukuwepo,wao mbona wasikubal dini zetu?
 
ungebaki na dini yako ya asili usingeenda shule na kuwa na maendeleo yaliyoletwa na dini hizo za abrahamic, hiyo ndiyo system ya dunia lazima uikubali utake usitake
Japan, China na baadhi ya nchi nyingine duniani raia wao wamesoma na hawafuati hizi dini za michongo, imekuwaje wao wameenda shule? Hizi dini ni za kipuuzi tu na hazina umuhimu wowote kwetu.
 
Mauaji,ushoga, wizi,ujambazi, mifarakano, chuki, haya yote ni matokeo ya dini.

Na walioleta dini walilenga haya yatokee na ndiyo haya sasa kwa manufaa yao ya kuwagawa na kuwatawala kwa kuwajaza Hofu na upumbavu kupitia hizo dini za uongo.

Ukristo&uislam ni laana kwa jamii ya mtu mweusi,kataa dini na upate ufahamu wa akili na maisha.
 
Kusahihisha tu Uisilamu Wala ukristo haujaja na wakoloni. Ukristo upo hata hao Wazungu hawajaja huku, na uisilamu pia vile vile upo hata kabla waoman hawajaja Ukanda wetu.

Uliokuja na Ukoloni version nyengine ya Ukristo kama Ukatoliki, Anglikana etc.

Kuhusu uisilamu na role ya maendeleo, nimeongea sana humu, uisilamu unasaidia sana kupunguza income inequality na kuhakikisha keki ya Taifa Kila mwananchi anaifaidi. Mfano mzuri angalia tu Nchi za kiarabu na kusini mwa jangwa la Sahara, Nchi kama Angola inazalisha mafuta mengi kuliko baadhi ya Nchi za kiarabu ila ukiangalia Uchumi wa Nchi na pato la mtu mmoja mmoja vs hao waarabu utofauti ni mbingu na Ardhi.

Na hii ipo consistent Nchi zote za kiisilamu, hata ukienda Asia ya mashariki Sehemu kama Malaysia, Brunei, Indonesia Wana Uchumi stable na wamefanikiwa kiasi kikubwa kuondoa umasikini compare na wenzao kama Laos, Burma, Cambodia na Ufilipino.
Wenzako wakati wanasoma Historia mashuleni wewe na wajinga wenzako mlikuwa bize kwenye makundi ya kuvuta bangi chooni au kuwa bize kwenye mikesha ya Ukwata,Bakwata,kasfeta mkimuomba huyo Mungu wenu wa uongo awasaidie mfaulu bila kusoma na kwa bahati mbaya hakusikia vilio vya maombi yenu, ona sasa mkafeli mpaka unashindwa kujua kuwa dini zililetwa na wamisionari pamoja na waarabu.

Uislam ulisambazwa kwa uhuni mkubwa ikiwepo mauaji, bila kuwasahau wamisionari waliousambaza ukristo.

Na unatakiwa ujuwe kuwa hakuna ukristo nje ya ukatoric, maana hawa ndio watu wa kwanza kuutambulisha huo udini unaotaka kusingizia kuwa ulikuwepo afrika, hayo madhehebu mengineyo yameibuka juzi tu.

Hata hao wakristo wa uongo hapo Ethiopia walipewa hizo injili feki na mzungu maana ukristo haujawai kuwepo afrika na auhusiani kabisa na tamaduni za mtu mweusi.

Jamani someni vizuri mnaitia aibu Jamii forum
 
Lee katema madini.

China kuna kitu kinaitwa Sinicization of culture/religion imewasaidia sana kupambana na mambo yote ya nje yanayo ingia ndani na kujaribu kumeza culture foundation yao.

Ndio maana hata ukomunisti wao China ulilazimishwa ufuate matakwa na tamaduni zao wachina pale ulipo jaribu kwenda against uli fail. rejea cultural revolution ili fail kwa sababu hii hi

Ni kwamba sisi tuli fail kwenye cultural foundation ku resist against foreign cultures ?
Lakin watu wa far east kwa asili ni watu wa Kaz na wana displin ya maisha wao wenyewe achilia mbali dini. Sisi hata kabla ya hizo dini ni wavivu na hatuna displin za maisha. Sisi tuna Ubuntu ndio uliotulemaza
 
Mbona nchi zote ulizo zitaja kuna wakristo na waisilamu japo kuwa wananyanyapaliwa?

Sawa jiulize sasa kwa nini wananyanyapaliwa na wapo kwa asilimia ngapi ukilinganisha na populations zao?
 
Kusahihisha tu Uisilamu Wala ukristo haujaja na wakoloni. Ukristo upo hata hao Wazungu hawajaja huku, na uisilamu pia vile vile upo hata kabla waoman hawajaja Ukanda wetu.

Uliokuja na Ukoloni version nyengine ya Ukristo kama Ukatoliki, Anglikana etc.

Kuhusu uisilamu na role ya maendeleo, nimeongea sana humu, uisilamu unasaidia sana kupunguza income inequality na kuhakikisha keki ya Taifa Kila mwananchi anaifaidi. Mfano mzuri angalia tu Nchi za kiarabu na kusini mwa jangwa la Sahara, Nchi kama Angola inazalisha mafuta mengi kuliko baadhi ya Nchi za kiarabu ila ukiangalia Uchumi wa Nchi na pato la mtu mmoja mmoja vs hao waarabu utofauti ni mbingu na Ardhi.

Na hii ipo consistent Nchi zote za kiisilamu, hata ukienda Asia ya mashariki Sehemu kama Malaysia, Brunei, Indonesia Wana Uchumi stable na wamefanikiwa kiasi kikubwa kuondoa umasikini compare na wenzao kama Laos, Burma, Cambodia na Ufilipino.

Aliyekulisha ulichoandika ndiye ninayemlaumu! Wewe matambiko waliyokuwa wanafanya babu zako karne kwa karne unataka kusema kuwa huo ulikuwa ni ukristo au uislamu? Acha kujizima data!
 
unataka kusema kabla ya ujio wa dini hizo mbili, dini za kienyeji zilizokuwepo zilikuwa sahihi au ni abrakadabra tu? Kama hujui waafrika waliendelea kuabudu dini zao za asili mpaka sasa wanaziabudu na ni double standard. Je zinawasaidia nini kama si kuendeleza mambo ya kipuuzi?

Watakuwa bado wanaabudu huko kwenu, usitake ku-generalize!
 
ungebaki na dini yako ya asili usingeenda shule na kuwa na maendeleo yaliyoletwa na dini hizo za abrahamic, hiyo ndiyo system ya dunia lazima uikubali utake usitake

Hao wasingapore na wachina, wakorea na wahindi ambako hizo dini hazitakiwi na zilishindwa kupenyezwa maendeleo yao yapoje? Jaribu ku-balance hoja unapoijibu. Umeambiwa huko hizo dini hazikupenya lakini angalia maendeleo yao hadi sasa!
 
Hizi dini ni bortion tu. People were converted but not followed the books hata kwa 60% . Din zipo kimichongo michongo. Waafrica wanaishi katika ''duality " ie wanafuata dini za nje na za mababu. Wengi ni hivyo.
Mfano unyakyusani wanaendelea na utamaduni wa man'goma, usukumani kuna mbina na chagulaga inafanyika huko, uzalamuni kuna unyago, uchagani kama tunavojua disemba wanaenda kuhesabiwa at the same time wanatambika na kusherehekea ukristo.
Watu wengi hufanya matamboko yasio rasmi.
Ikifanyika resear kiundani waafrika hatujaipokea dini kwa 100% japo vipo vikundi vinajaribu kutulazimisha tuishi 100% kwa misingi ya dini na ni kwa baadhi ya nchi kama Somalia, mali nk. Hata hivyo vikundi hivyo vimefeli miserable mfano Al Shaabab
Wamejaribu kwa nguvu zote kulazimisha uislamu ufanyike kama zama zs Muhdmad ila wamefeli wasomali walio wengi hawataki.
 
Aliyekulisha ulichoandika ndiye ninayemlaumu! Wewe matambiko waliyokuwa wanafanya babu zako karne kwa karne unataka kusema kuwa huo ulikuwa ni ukristo au uislamu? Acha kujizima data!
Empire kubwa kabisa Africa miaka ya karibuni ambayo ilikuwa moja ya Empire 4 kubwa Duniani iliitwa Aksum, Maeneo ya Mashariki Africa, Ethiopia, Eritrea, Somalia ya sasa, Aksum ilikua ikipambana na Persia, Roma na China na walitawala hadi part ya Middle East Nchi kama Yemen, walikua na Haki ya Trade routes kuunganisha hadi Iran ya sasa. Hii ilikua ni Empire ya Kikristo, sio hawa Wakristo wa leo wa Magharibi ambao wapo wengi Africa bali Orthodox Christians.

Empire Tajiri na mtu Tajiri zaidi Africa iliitwa Mali Empire na Tajiri wake Mansa Musa ilikua ya kiisilamu, jamaa anatajwa kama mtu Tajiri zaidi kupata kutokea Duniani kwa historia ya karibuni. Mansa Musa alisababisha Inflation Egpty wakati anakwenda kuhiji mecca, alitoa Dhahabu zaidi ya Nusu Tani kwa Masikini, wasomi na Viongozi wa dini Egpty na kusababisha nchi nzima thamani ya Dhahabu kushuka.

So hizo Empire zilizofanya matambiko ni ndogo tu, I challenge you Nioneshe Empire ya Matambiko miaka 1000 iliopita ambayo ni kubwa kushinda Aksum ama Empire nyengine za Kiisilamu.
 
Nchi yenye waislam wengi duniani ni Indonesia, inayofuatia Pakistan. Sasa sijui hizo nchi hizi ni za weusi !!
Nchi yenye wakristo wengi duniani ni USA, inafuata Brazil, Russia, Mexico na Philippines. Sasa sijui hizo nchi ni za waafrika!!!!
 
Empire kubwa kabisa Africa miaka ya karibuni ambayo ilikuwa moja ya Empire 4 kubwa Duniani iliitwa Aksum, Maeneo ya Mashariki Africa, Ethiopia, Eritrea, Somalia ya sasa, Aksum ilikua ikipambana na Persia, Roma na China na walitawala hadi part ya Middle East Nchi kama Yemen, walikua na Haki ya Trade routes kuunganisha hadi Iran ya sasa. Hii ilikua ni Empire ya Kikristo, sio hawa Wakristo wa leo wa Magharibi ambao wapo wengi Africa bali Orthodox Christians.

Empire Tajiri na mtu Tajiri zaidi Africa iliitwa Mali Empire na Tajiri wake Mansa Musa ilikua ya kiisilamu, jamaa anatajwa kama mtu Tajiri zaidi kupata kutokea Duniani kwa historia ya karibuni. Mansa Musa alisababisha Inflation Egpty wakati anakwenda kuhiji mecca, alitoa Dhahabu zaidi ya Nusu Tani kwa Masikini, wasomi na Viongozi wa dini Egpty na kusababisha nchi nzima thamani ya Dhahabu kushuka.

So hizo Empire zilizofanya matambiko ni ndogo tu, I challenge you Nioneshe Empire ya Matambiko miaka 1000 iliopita ambayo ni kubwa kushinda Aksum ama Empire nyengine za Kiisilamu.
Kulikua hamna Mali empire hili ni tango pori, Africa magharibi empire kubwa kule iliokua chini ya Mansa Moussa ni Songhai Empire.
 
Kulikua hamna Mali empire hili ni tango pori, Africa magharibi empire kubwa kule iliokua chini ya Mansa Moussa ni Songhai Empire.
Acha kukariri


Mali Empire 1200-1600 ilikuwepo na Mansa Musa alikua ni moja ya Viongozi wake.

Ramani yake
images (66).jpg


Songhai Empire ilipata Uhuru toka Mali Empire miaka ya 1400 mpaka 1600


Mansa Musa ametawala miaka ya 1300 so mpaka Anafariki Songhai ni part of Mali Empire, hivyo si sahihi kusema Alitawala Songhai badala ya Mali.
 
Kwa makini tumsikilize former Singapore PM Lee Kuan Yew akielezea kwa nini wakristo wameshindwa kuwafanya wachina na wahindi kuwa wakristo.

Na kwa nini pia wameshindwa kuifanya Singapore kuwa nchi ya wakristo.

View attachment 2834832

Kufail kwetu waafrika na kuangukia kwenye mikono ya waislam na wakristo sababu inachagizwa na weak civilization au vitu vingine?
Hata wazungu wengi walianguka kwenye ukirito ingawa ukirito na mila za kizungu avipishani lakini waliangukia hata kwenye wisilamu
 
Kwa makini tumsikilize former Singapore PM Lee Kuan Yew akielezea kwa nini wakristo wameshindwa kuwafanya wachina na wahindi kuwa wakristo.

Na kwa nini pia wameshindwa kuifanya Singapore kuwa nchi ya wakristo.

View attachment 2834832

Kufail kwetu waafrika na kuangukia kwenye mikono ya waislam na wakristo sababu inachagizwa na weak civilization au vitu vingine?
huyu mzee anaongea ovyo tu!!!,,wahindi wanaabudu ng'ombe sasa utamfananisha ng'mbe na YESU au MUHAMMAD?,,,,hao wachina,singapore na wachina wanakula vi2 vya ajabu!!!,,mijusi,kenge,konokono,mende,panya na kila uchafu wakati torati inakataza huo uchafu na ata asili ya ugonjwa wa corona inasemekana ulitokana na kula nyama ya popo!!! manake ni kwamba ni vyakula vichafu!!!.......wahindu wanamwabudu mungu wao aitwaye KRISHNA,huyu krishna ukiangalia sanamu lake lina mikono kibao!!!angalau kidogo naweza nikawaona BUDHISM {china ] angalau afadhali kidogo,,,,,,huyu mzee ni mpagani tu hana lolote!!!!!!!
 
Back
Top Bottom