Waafrika kushindwa na wakoloni na kugeuzwa wakristo na waislam inasababishwa na weak civilization? Tumsikilize former Singapore PM Lee

Waafrika kushindwa na wakoloni na kugeuzwa wakristo na waislam inasababishwa na weak civilization? Tumsikilize former Singapore PM Lee

Kusahihisha tu Uisilamu Wala ukristo haujaja na wakoloni. Ukristo upo hata hao Wazungu hawajaja huku, na uisilamu pia vile vile upo hata kabla waoman hawajaja Ukanda wetu.

Uliokuja na Ukoloni version nyengine ya Ukristo kama Ukatoliki, Anglikana etc.

Kuhusu uisilamu na role ya maendeleo, nimeongea sana humu, uisilamu unasaidia sana kupunguza income inequality na kuhakikisha keki ya Taifa Kila mwananchi anaifaidi. Mfano mzuri angalia tu Nchi za kiarabu na kusini mwa jangwa la Sahara, Nchi kama Angola inazalisha mafuta mengi kuliko baadhi ya Nchi za kiarabu ila ukiangalia Uchumi wa Nchi na pato la mtu mmoja mmoja vs hao waarabu utofauti ni mbingu na Ardhi.

Na hii ipo consistent Nchi zote za kiisilamu, hata ukienda Asia ya mashariki Sehemu kama Malaysia, Brunei, Indonesia Wana Uchumi stable na wamefanikiwa kiasi kikubwa kuondoa umasikini compare na wenzao kama Laos, Burma, Cambodia na Ufilipino.
point bro!!! mfano mtume muhammad alipokimbia vita,alienda kujificha ethiopia,na ethiopia ilikuwa inatawaliwa na ukristo,na mfalme wa ethiopia alimuuliza mtume,"unaamini nini?" mtume akajibu "naamini katika MUNGU" basi mtume akapewa hifadhi,,na kipindi hicho ukoloni ulikuwa bado haujaja,na ata ukoloni ulipokuja ethiopia haikutawaliwa,,so uislam na ukristo ulikuwepo afrika miaka mingi tu,,,,ata mtu wa kwanza kuitisha adhana [sikumbuki ilikuwa macca au madina],lakini alikuwa mwafrika mweusi kutokea sudan {mnubi].....akiitwa karim,,,,hawa wa2 wasioamini uwepo wa MUNGU wanazidi kuwa wengi na wanazidi kupotosha wa2 wasiosoma vitabu!!!!!...ila punde tu watasikia KISHINDO!!!!!!!
 
point bro!!! mfano mtume muhammad alipokimbia vita,alienda kujificha ethiopia,na ethiopia ilikuwa inatawaliwa na ukristo,na mfalme wa ethiopia alimuuliza mtume,"unaamini nini?" mtume akajibu "naamini katika MUNGU" basi mtume akapewa hifadhi,,na kipindi hicho ukoloni ulikuwa bado haujaja,na ata ukoloni ulipokuja ethiopia haikutawaliwa,,so uislam na ukristo ulikuwepo afrika miaka mingi tu,,,,ata mtu wa kwanza kuitisha adhana [sikumbuki ilikuwa macca au madina],lakini alikuwa mwafrika mweusi kutokea sudan {mnubi].....akiitwa karim,,,,hawa wa2 wasioamini uwepo wa MUNGU wanazidi kuwa wengi na wanazidi kupotosha wa2 wasiosoma vitabu!!!!!...ila punde tu watasikia KISHINDO!!!!!!!
Hili ni kanisa st Mary Zion la Aksum Empire, Kanisa la pili kwa Umri Africa na la kwanza Kusini mwa jangwa la Sahara

images.jpeg


Achana na Kanisa Angalia Technology iliotumika kujengea, that's how Advanced Aksum was, Leo hii Nina uhakika Tanzania Eneo kubwa la Nchi hawana uwezo wa Kujenga kitu kama Hicho, halafu utaona watu wanajiona wajanja kweli, na kudhihaki mababu zao na kuwaona wapuuzi na wao wajanja sababu Tu ana kisimu anaweza kuangalia YouTube anajiona na yeye ni Mdogo wake Biden.
 
Wenzako wakati wanasoma Historia mashuleni wewe na wajinga wenzako mlikuwa bize kwenye makundi ya kuvuta bangi chooni au kuwa bize kwenye mikesha ya Ukwata,Bakwata,kasfeta mkimuomba huyo Mungu wenu wa uongo awasaidie mfaulu bila kusoma na kwa bahati mbaya hakusikia vilio vya maombi yenu, ona sasa mkafeli mpaka unashindwa kujua kuwa dini zililetwa na wamisionari pamoja na waarabu.

Uislam ulisambazwa kwa uhuni mkubwa ikiwepo mauaji, bila kuwasahau wamisionari waliousambaza ukristo.

Na unatakiwa ujuwe kuwa hakuna ukristo nje ya ukatoric, maana hawa ndio watu wa kwanza kuutambulisha huo udini unaotaka kusingizia kuwa ulikuwepo afrika, hayo madhehebu mengineyo yameibuka juzi tu.

Hata hao wakristo wa uongo hapo Ethiopia walipewa hizo injili feki na mzungu maana ukristo haujawai kuwepo afrika na auhusiani kabisa na tamaduni za mtu mweusi.

Jamani someni vizuri mnaitia aibu Jamii forum
Huwezi ukamdhihaki Yesu kipenzi chetu cha dhati hivi hivi hapa hadharani jamvin ukabaki salama lazima pachimbike.

Asee nakulaani.
 
Hili ni kanisa st Mary Zion la Aksum Empire, Kanisa la pili kwa Umri Africa na la kwanza Kusini mwa jangwa la Sahara

View attachment 2841304

Achana na Kanisa Angalia Technology iliotumika kujengea, that's how Advanced Aksum was, Leo hii Nina uhakika Tanzania Eneo kubwa la Nchi hawana uwezo wa Kujenga kitu kama Hicho, halafu utaona watu wanajiona wajanja kweli, na kudhihaki mababu zao na kuwaona wapuuzi na wao wajanja sababu Tu ana kisimu anaweza kuangalia YouTube anajiona na yeye ni Mdogo wake Biden.
kweli bro,,,,ata yale mapiramid ya misri,,hakuna engineer yoyote hapa AFRIKA ya leo anayeweza kujenga,,,kumbuka kipindi kile kulikuwa hamna mawinchi wala maeskaveta,,sasa jiulize walijengaje,,,,? inasemekana walishirikiana na viumbe flani{sina uhakika},,alafu,,wazungu wanajaribu kila njia kufuta ukweli mwingi sana kuhusu maendeleo ya afrika,,,unajua mpaka leo hakuna tajiri anaemfikia jamaa aitwaje MANSA KANKAN MUSSA kiongozi wa GHANA EMPIRE enzi hizi??? unaambiwa jamaa alikuwa anamiliki dhahabu ambayo hakuna benki yoyote iinayomiliki dhahabu nyingi namna hiyo leo hii!!!!{lakini wazungu wanasema waafrika hamna ki2],unajua RUSSIA miaka elfu ya nyuma huko mkuu wao wa majeshi alikuwa mweusi???,alafu unajua YESU au nabii ISSA hakuwa mzungu{ila jamaa wanajaribu ktulazimisha ni mzungu}---hakuna nabii wala mtume ata mmoja aliyetoka kwa wazungu,,,hii picha ya mzungu YESU,,,ni picha ya mcheza sinema huko hollywood akiita michael dean{kama sikosei].....unajua waisrail wa kwanza hawakuwa wazungu???{sijui hawa wa sasa wamegeuka lini kuwa wazungu!!!!!!!!....nikimalizia swala mahsusi la kidini kwamba lililetwa na wazungu au la!!!Q'RAN TUKUFU inazungumzia kisa cha mfalme SULEIMAN namalkia wa KUSH{ETHIOPIA au SHEBA,,,kwa mfalme aliitisha mkutano wa wanyama,binadamu,majini na ndege {suleiman alikuwa anaongea na kila aina ya hayawani,,,sasa ktka mkutano huo akakosekana ndege HUDHUD ,mfalme kuuliza yuko wapi huyu hakupata jibu,,,lakini pindi kidogo hudhud akarudi,,,,mflme akamuuliza alikuwa wapi,,,ndege hud akajibu,,nilikuwa mbali huko kush,akaulizwa kulikoni huko?? akasema kuna malkia huko kafiri akiabudu masanamu!!!!!,,,,,basi malkia akapelekewa barua asilimu na akakariishwa huko kwa mfalme suleiman,,,,,,ok,,,ni kisa kirefu ,ila ebu waulize hao wavivu wa kusoma vitabu vitakatifu!!! je?? wakati wa mfalme suleiman kulikuwa na ukoloni???
 
Back
Top Bottom