BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
- Thread starter
-
- #21
Wao hao wana shabikia timu ipi Africa, tuambie Wazungu ni mashabiki wa timu zipi za Africa, Inferility yetu ni ya kiwango cha kutisha sanaAkili za wabongo tunazifahamu wenyewe...
Tunapoelekea tuta tafuta sababu za kuwashabikia wajerumani na waingereza maana waliwatesa na kuwaua mababu zetu kwenye mashamba na tulivyouzwa kama watumwa enzi zile za ukoloni.
Yeye ana shangilia timu ipi Africa? Waafrica tumeathiliwa sana na utumwaBasi shangilieni mkoloni wenu England
Sawa wewe muhindi, tuache sisi na ushabiki wetuNyie endeleeni kushabikia ndio kazi yenu Waafrika.
Mkuu lazima maisha yaendelee, utakuta hao walioua waafrika hawapo tena dunia I na Argentina sasahivi wanaishi vizuri tu na magizaWaafrica tunapenda sana kujipendekeza, hata tusipotakiwa, Argentina ndio nchi pekee America ya kusini ilio wafuta kwa kuwaua watu weusi ili wasiharibu damu yao.
Ndio maana hata timu yao ya Taifa huwezi kuta mtu mweusi tofauti na timu zingine zote za America ya kusini, na kumbuka America ya kusini ndio ilikuwa kitovu cha Waafrika kutoka Africa.
Sasa Waafrica tunavyopenda kujipendekeza eti mimi timu Argentina huu ni ujinga na upuuzi mkubwa sana yaani wao wanaona Waafrica kama nyani lakini nyie mko bise kuwakumbatia.
Ni sawa na wale wanaojipendekeza kwa Israeli wakati Israeli kwanza ina Wakrsto wachache sana na pili haina time na Waafrika kabisa.
Waafrika tuache upuuzi.
Wapuuzi sanaaa Germany wenyee wamemchukuwa rodiger mweusi Ila bado sina nao mzukaWaafrica tunapenda sana kujipendekeza, hata tusipotakiwa, Argentina ndio nchi pekee America ya kusini ilio wafuta kwa kuwaua watu weusi ili wasiharibu damu yao.
Ndio maana hata timu yao ya Taifa huwezi kuta mtu mweusi tofauti na timu zingine zote za America ya kusini, na kumbuka America ya kusini ndio ilikuwa kitovu cha Waafrika kutoka Africa.
Sasa Waafrica tunavyopenda kujipendekeza eti mimi timu Argentina huu ni ujinga na upuuzi mkubwa sana yaani wao wanaona Waafrica kama nyani lakini nyie mko bise kuwakumbatia.
Ni sawa na wale wanaojipendekeza kwa Israeli wakati Israeli kwanza ina Wakrsto wachache sana na pili haina time na Waafrika kabisa.
Waafrika tuache upuuzi.
Ukiwachunguza kwa umakini, hao mashabiki wenyewe ndiyo wale aina ya genta. Yaani ni mapopoma, na mabumunda yasiyo na uelewa wowote ule kuhusu historia.Waafrica tunapenda sana kujipendekeza, hata tusipotakiwa, Argentina ndio nchi pekee America ya kusini ilio wafuta kwa kuwaua watu weusi ili wasiharibu damu yao.
Ndio maana hata timu yao ya Taifa huwezi kuta mtu mweusi tofauti na timu zingine zote za America ya kusini, na kumbuka America ya kusini ndio ilikuwa kitovu cha Waafrika kutoka Africa.
Sasa Waafrica tunavyopenda kujipendekeza eti mimi timu Argentina huu ni ujinga na upuuzi mkubwa sana yaani wao wanaona Waafrica kama nyani lakini nyie mko bise kuwakumbatia.
Ni sawa na wale wanaojipendekeza kwa Israeli wakati Israeli kwanza ina Wakrsto wachache sana na pili haina time na Waafrika kabisa.
Waafrika tuache upuuzi.