bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,794
- 7,551
Ha haa!Israel haihusiki kwenye hayo mambo
Unaifahamu mission yao kuwaokoa waisrael weusi waethiopia wakati ya vita mkuu??
👇🏿👇🏿
Operation Moses - Wikipedia
en.m.wikipedia.org
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha haa!Israel haihusiki kwenye hayo mambo
Unaifahamu mission yao kuwaokoa waisrael weusi waethiopia wakati ya vita mkuu??
👇🏿👇🏿
Operation Moses - Wikipedia
en.m.wikipedia.org
Umebadilisha gia angani, Tanzania hamjakatazwa sio tu wazungu Bali hata wahindi mnaweza waita kwenye timu yenu ya michezoWewe kama sio shabiki wa England, basi ni Portugal au brazil kwa walima miwa na uasherati kama wote. Kwanza kushabikia brazil ni aibu mno, mwanaume mzima unashabikia hilo timu 😁😁😁
Kwani ni lazima hizo nchi nyingine ziwe na waafrika kwenye timu zao? Wewe ni nani hadi uwaamlishe na wasipofanya hivyo uwaite wabaguzi? Bado umeendelea kudhihirisha upuuzi wako. Wanafanya wanavyojisikia ndugu.We ni mjinga nitatizo la nchi yako kwani umenyimwa kuita wazungu kwenye michezo
We ni mjinga nitatizo la nchi yako kwani umenyimwa kuita wazungu kwenye michezo
Mim nimewalaziisha Waite waafrika wapi ebu nionyeshe sehemu nilivyosema lazima waitweKwani ni lazima hizo nchi nyingine ziwe na waafrika kwenye timu zao? Wewe ni nani hadi uwaamlishe na wasipofanya hivyo uwaite wabaguzi? Bado umeendelea kudhihirisha upuuzi wako. Wanafanya wanavyojisikia ndugu.
Hao unaowatuhumu je? Kwani ni lazima wawaite wachezaji wa kiafrika? Acha mentality za kibaguzi dogo.Umebadilisha gia angani, Tanzania hamjakatazwa sio tu wazungu Bali hata wahindi mnaweza waita kwenye timu yenu ya michezo
Wapi nimewatuhumu kwa sababu ni kama unanlisha manenoHao unaowatuhumu je? Kwani ni lazima wawaite wachezaji wa kiafrika? Acha mentality za kibaguzi dogo.
Sijachanganyikiwa ndugu. Ni uelewa wako mdogo tu. Nenda kwenye thread uliyoniquote ikasababisha nikujibu nilivyokujibu.Mim nimewalaziisha Waite waafrika wapi ebu nionyeshe sehemu nilivyosema lazima waitwe
Sababu naona kama umechanganyikiwa vile
Wapi nimewatuhumu kwa sababu ni kama unanlisha maneno
Naunga mkono hoja.
Vijana waache upumbavu.
Wamtoe wapi!Tumu lenu taifa stars halina mtu mweupe, je! Unalizungumziaje hilo?
Wamtoe wapi!
Acha kupangia watu maisha wewe!
Nitajie nchi ambayo haina ubaguzi? Hata sisi watanzania wenyewe tunabaguana. Naishabikia Argentina na nitaendelea kuishabikia mpaka Messi astaafu soka
Yeye ana shangilia timu ipi Africa? Waafrica tumeathiliwa sana na utumwa