Waafrika mnapata wapi nguvu za kuishabikia Argentina? Na ubaguzi wao ule kwa Waafrika?

Waafrika mnapata wapi nguvu za kuishabikia Argentina? Na ubaguzi wao ule kwa Waafrika?

Ndio maana hata timu yao ya Taifa huwezi kuta mtu mweusi tofauti na timu zingine zote za America ya kusini, na kumbuka America ya kusini ndio ilikuwa kitovu cha Waafrika kutoka Africa.
1669624424623.png
 
Waafrica tunapenda sana kujipendekeza, hata tusipotakiwa, Argentina ndio nchi pekee America ya kusini ilio wafuta kwa kuwaua watu weusi ili wasiharibu damu yao.

Ndio maana hata timu yao ya Taifa huwezi kuta mtu mweusi tofauti na timu zingine zote za America ya kusini, na kumbuka America ya kusini ndio ilikuwa kitovu cha Waafrika kutoka Africa.

Sasa Waafrica tunavyopenda kujipendekeza eti mimi timu Argentina huu ni ujinga na upuuzi mkubwa sana yaani wao wanaona Waafrica kama nyani lakini nyie mko bise kuwakumbatia.

Ni sawa na wale wanaojipendekeza kwa Israeli wakati Israeli kwanza ina Wakrsto wachache sana na pili haina time na Waafrika kabisa.

Waafrika tuache upuuzi.
Kwahiyo wewe kila mwafrika ni ndugu yako! Potea njia nenda marekani halafu leta shobo kwa black americans kwamba ni ndugu zako ndo utajua hujui au huko mbali zamia roli shukia Durban halafu watafute wazuru kwa kuamini ni ndugu zako utakiona cha mtema kuni. Nilikuwaga muumini wa huu uzalendo wa kimasikini hadi niliposoma historia nikaona Wanyarwanda waliwahi kuuana kisa urefu wa pua zao.
 
Waafrica tunapenda sana kujipendekeza, hata tusipotakiwa, Argentina ndio nchi pekee America ya kusini ilio wafuta kwa kuwaua watu weusi ili wasiharibu damu yao.

Ndio maana hata timu yao ya Taifa huwezi kuta mtu mweusi tofauti na timu zingine zote za America ya kusini, na kumbuka America ya kusini ndio ilikuwa kitovu cha Waafrika kutoka Africa.

Sasa Waafrica tunavyopenda kujipendekeza eti mimi timu Argentina huu ni ujinga na upuuzi mkubwa sana yaani wao wanaona Waafrica kama nyani lakini nyie mko bise kuwakumbatia.

Ni sawa na wale wanaojipendekeza kwa Israeli wakati Israeli kwanza ina Wakrsto wachache sana na pili haina time na Waafrika kabisa.

Waafrika tuache upuuzi.
Kwenye zile timu, kuna utakayoishangilia kweli kama sababu ni hii ..?? Maana wote wabaguzi tu..!!
 
Waafrica tunapenda sana kujipendekeza, hata tusipotakiwa, Argentina ndio nchi pekee America ya kusini ilio wafuta kwa kuwaua watu weusi ili wasiharibu damu yao.

Ndio maana hata timu yao ya Taifa huwezi kuta mtu mweusi tofauti na timu zingine zote za America ya kusini, na kumbuka America ya kusini ndio ilikuwa kitovu cha Waafrika kutoka Africa.

Sasa Waafrica tunavyopenda kujipendekeza eti mimi timu Argentina huu ni ujinga na upuuzi mkubwa sana yaani wao wanaona Waafrica kama nyani lakini nyie mko bise kuwakumbatia.

Ni sawa na wale wanaojipendekeza kwa Israeli wakati Israeli kwanza ina Wakrsto wachache sana na pili haina time na Waafrika kabisa.

Waafrika tuache upuuzi.
Timu ya taifa ya Israel ina-waafrika ni tofauti na Argentina
 
Waafrica tunapenda sana kujipendekeza, hata tusipotakiwa, Argentina ndio nchi pekee America ya kusini ilio wafuta kwa kuwaua watu weusi ili wasiharibu damu yao.

Ndio maana hata timu yao ya Taifa huwezi kuta mtu mweusi tofauti na timu zingine zote za America ya kusini, na kumbuka America ya kusini ndio ilikuwa kitovu cha Waafrika kutoka Africa.

Sasa Waafrica tunavyopenda kujipendekeza eti mimi timu Argentina huu ni ujinga na upuuzi mkubwa sana yaani wao wanaona Waafrica kama nyani lakini nyie mko bise kuwakumbatia.

Ni sawa na wale wanaojipendekeza kwa Israeli wakati Israeli kwanza ina Wakrsto wachache sana na pili haina time na Waafrika kabisa.

Waafrika tuache upuuzi.

Wewe shabikia brazili yako, kwa walima miwa, na uasherati kama wote. Wengine tuache tuwashabikie wanaume wanaojitambua like Argentina,


Hivi ni wivu ndio umekufanya uanzishe mada hii?

Wewe na timu lako la taifa stars lina mtu mweupe hata mmoja?
 
Kwa hiyo tushabikie mpira kwa kufuata historia? Mfano Uganda ingekuwa world cup sisi watanzania hatukutakiwa kui support kisa Idd Amin alipigana na sisi akawaua baadhi ya ndugu zetu Kagera?. Kama haya ndiyo mawazo ya watanzania wengi CCM itatawala dahari

Huyu mleta mada ana lake jambo, kama sio shabiki wa Portugal basi ni brazili kwa walima miwa huko na wengi wao watenda dhambi na uasherati kama wote.

Argentina mojaaaaaa, Mungu ibariki Argentina
 
Kwa hiyo tushabikie mpira kwa kufuata historia? Mfano Uganda ingekuwa world cup sisi watanzania hatukutakiwa kui support kisa Idd Amin alipigana na sisi akawaua baadhi ya ndugu zetu Kagera?. Kama haya ndiyo mawazo ya watanzania wengi CCM itatawala dahari
Usijitoe ufahamu
 
Hebu tuacheni kidogo hatujamaliza mambo ya rainbow mnaanza mengine? makosa kafanya babu watoto wanakosa gani. Hakuna siasa kwenye mpira wacha watu wafurahie game tukianza kufukua makaburi hata sisi sio wasafi. enjoy football
 
U

Urugwai ya Suarez mijino ni ndugu zao hawa waajentina

Wapigwe tu

Na ndio maana litaifa stars halifiki popote, tukiendekeza chuki na ubaguzi hatufiki popote,

Mfano tu MOROCCO, jana ameshinda lakini kuna waafrika wasiojielewa ambao hawakupenda MOROCCO ashinde,

Argentina mbele kwa mbele
Morocco mbele kwa mbele
 
Hebu tuacheni kidogo hatujamaliza mambo ya rainbow mnaanza mengine? makosa kafanya babu watoto wanakosa gani. Hakuna siasa kwenye mpira wacha watu wafurahie game tukianza kufukua makaburi hata sisi sio wasafi. enjoy football

Good point,
 
Kw
Waafrica tunapenda sana kujipendekeza, hata tusipotakiwa, Argentina ndio nchi pekee America ya kusini ilio wafuta kwa kuwaua watu weusi ili wasiharibu damu yao.

Ndio maana hata timu yao ya Taifa huwezi kuta mtu mweusi tofauti na timu zingine zote za America ya kusini, na kumbuka America ya kusini ndio ilikuwa kitovu cha Waafrika kutoka Africa.

Sasa Waafrica tunavyopenda kujipendekeza eti mimi timu Argentina huu ni ujinga na upuuzi mkubwa sana yaani wao wanaona Waafrica kama nyani lakini nyie mko bise kuwakumbatia.

Ni sawa na wale wanaojipendekeza kwa Israeli wakati Israeli kwanza ina Wakrsto wachache sana na pili haina time na Waafrika kabisa.

Waafrika tuache upuuzi.
Kwa uzi huu tu wewe ni mbaguzi tayari. Acha watu wa enjoy football.
 
Ml
Waafrica tunapenda sana kujipendekeza, hata tusipotakiwa, Argentina ndio nchi pekee America ya kusini ilio wafuta kwa kuwaua watu weusi ili wasiharibu damu yao.

Ndio maana hata timu yao ya Taifa huwezi kuta mtu mweusi tofauti na timu zingine zote za America ya kusini, na kumbuka America ya kusini ndio ilikuwa kitovu cha Waafrika kutoka Africa.

Sasa Waafrica tunavyopenda kujipendekeza eti mimi timu Argentina huu ni ujinga na upuuzi mkubwa sana yaani wao wanaona Waafrica kama nyani lakini nyie mko bise kuwakumbatia.

Ni sawa na wale wanaojipendekeza kwa Israeli wakati Israeli kwanza ina Wakrsto wachache sana na pili haina time na Waafrika kabisa.

Waafrika tuache upuuzi.
Mleta mada usiturejeshe ujimani. Hizo sentiments za ubaguzi peleka huko.
 
Kwenye soccer tusipangiane timu ya kushabikia tafadhali.
 
We ni mjinga nitatizo la nchi yako kwani umenyimwa kuita wazungu kwenye michezo

Wewe kama sio shabiki wa England, basi ni Portugal au brazil kwa walima miwa na uasherati kama wote. Kwanza kushabikia brazil ni aibu mno, mwanaume mzima unashabikia hilo timu 😁😁😁
 
Back
Top Bottom