Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Ndio maana hata timu yao ya Taifa huwezi kuta mtu mweusi tofauti na timu zingine zote za America ya kusini, na kumbuka America ya kusini ndio ilikuwa kitovu cha Waafrika kutoka Africa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana hata timu yao ya Taifa huwezi kuta mtu mweusi tofauti na timu zingine zote za America ya kusini, na kumbuka America ya kusini ndio ilikuwa kitovu cha Waafrika kutoka Africa.
Kwahiyo wewe kila mwafrika ni ndugu yako! Potea njia nenda marekani halafu leta shobo kwa black americans kwamba ni ndugu zako ndo utajua hujui au huko mbali zamia roli shukia Durban halafu watafute wazuru kwa kuamini ni ndugu zako utakiona cha mtema kuni. Nilikuwaga muumini wa huu uzalendo wa kimasikini hadi niliposoma historia nikaona Wanyarwanda waliwahi kuuana kisa urefu wa pua zao.Waafrica tunapenda sana kujipendekeza, hata tusipotakiwa, Argentina ndio nchi pekee America ya kusini ilio wafuta kwa kuwaua watu weusi ili wasiharibu damu yao.
Ndio maana hata timu yao ya Taifa huwezi kuta mtu mweusi tofauti na timu zingine zote za America ya kusini, na kumbuka America ya kusini ndio ilikuwa kitovu cha Waafrika kutoka Africa.
Sasa Waafrica tunavyopenda kujipendekeza eti mimi timu Argentina huu ni ujinga na upuuzi mkubwa sana yaani wao wanaona Waafrica kama nyani lakini nyie mko bise kuwakumbatia.
Ni sawa na wale wanaojipendekeza kwa Israeli wakati Israeli kwanza ina Wakrsto wachache sana na pili haina time na Waafrika kabisa.
Waafrika tuache upuuzi.
Kwenye zile timu, kuna utakayoishangilia kweli kama sababu ni hii ..?? Maana wote wabaguzi tu..!!Waafrica tunapenda sana kujipendekeza, hata tusipotakiwa, Argentina ndio nchi pekee America ya kusini ilio wafuta kwa kuwaua watu weusi ili wasiharibu damu yao.
Ndio maana hata timu yao ya Taifa huwezi kuta mtu mweusi tofauti na timu zingine zote za America ya kusini, na kumbuka America ya kusini ndio ilikuwa kitovu cha Waafrika kutoka Africa.
Sasa Waafrica tunavyopenda kujipendekeza eti mimi timu Argentina huu ni ujinga na upuuzi mkubwa sana yaani wao wanaona Waafrica kama nyani lakini nyie mko bise kuwakumbatia.
Ni sawa na wale wanaojipendekeza kwa Israeli wakati Israeli kwanza ina Wakrsto wachache sana na pili haina time na Waafrika kabisa.
Waafrika tuache upuuzi.
Timu ya taifa ya Israel ina-waafrika ni tofauti na ArgentinaWaafrica tunapenda sana kujipendekeza, hata tusipotakiwa, Argentina ndio nchi pekee America ya kusini ilio wafuta kwa kuwaua watu weusi ili wasiharibu damu yao.
Ndio maana hata timu yao ya Taifa huwezi kuta mtu mweusi tofauti na timu zingine zote za America ya kusini, na kumbuka America ya kusini ndio ilikuwa kitovu cha Waafrika kutoka Africa.
Sasa Waafrica tunavyopenda kujipendekeza eti mimi timu Argentina huu ni ujinga na upuuzi mkubwa sana yaani wao wanaona Waafrica kama nyani lakini nyie mko bise kuwakumbatia.
Ni sawa na wale wanaojipendekeza kwa Israeli wakati Israeli kwanza ina Wakrsto wachache sana na pili haina time na Waafrika kabisa.
Waafrika tuache upuuzi.
Waafrica tunapenda sana kujipendekeza, hata tusipotakiwa, Argentina ndio nchi pekee America ya kusini ilio wafuta kwa kuwaua watu weusi ili wasiharibu damu yao.
Ndio maana hata timu yao ya Taifa huwezi kuta mtu mweusi tofauti na timu zingine zote za America ya kusini, na kumbuka America ya kusini ndio ilikuwa kitovu cha Waafrika kutoka Africa.
Sasa Waafrica tunavyopenda kujipendekeza eti mimi timu Argentina huu ni ujinga na upuuzi mkubwa sana yaani wao wanaona Waafrica kama nyani lakini nyie mko bise kuwakumbatia.
Ni sawa na wale wanaojipendekeza kwa Israeli wakati Israeli kwanza ina Wakrsto wachache sana na pili haina time na Waafrika kabisa.
Waafrika tuache upuuzi.
Kumbeee
Kwa hiyo tushabikie mpira kwa kufuata historia? Mfano Uganda ingekuwa world cup sisi watanzania hatukutakiwa kui support kisa Idd Amin alipigana na sisi akawaua baadhi ya ndugu zetu Kagera?. Kama haya ndiyo mawazo ya watanzania wengi CCM itatawala dahari
Nyie endeleeni kushabikia ndio kazi yenu Waafrika.
Hawa walio hakikisha wanawafuta Negro wote kule Argentinal? Kwangu hapana, huo ujinga sifanyi
Usijitoe ufahamuKwa hiyo tushabikie mpira kwa kufuata historia? Mfano Uganda ingekuwa world cup sisi watanzania hatukutakiwa kui support kisa Idd Amin alipigana na sisi akawaua baadhi ya ndugu zetu Kagera?. Kama haya ndiyo mawazo ya watanzania wengi CCM itatawala dahari
U
Urugwai ya Suarez mijino ni ndugu zao hawa waajentina
Wapigwe tu
Hebu tuacheni kidogo hatujamaliza mambo ya rainbow mnaanza mengine? makosa kafanya babu watoto wanakosa gani. Hakuna siasa kwenye mpira wacha watu wafurahie game tukianza kufukua makaburi hata sisi sio wasafi. enjoy football
Kwa uzi huu tu wewe ni mbaguzi tayari. Acha watu wa enjoy football.Waafrica tunapenda sana kujipendekeza, hata tusipotakiwa, Argentina ndio nchi pekee America ya kusini ilio wafuta kwa kuwaua watu weusi ili wasiharibu damu yao.
Ndio maana hata timu yao ya Taifa huwezi kuta mtu mweusi tofauti na timu zingine zote za America ya kusini, na kumbuka America ya kusini ndio ilikuwa kitovu cha Waafrika kutoka Africa.
Sasa Waafrica tunavyopenda kujipendekeza eti mimi timu Argentina huu ni ujinga na upuuzi mkubwa sana yaani wao wanaona Waafrica kama nyani lakini nyie mko bise kuwakumbatia.
Ni sawa na wale wanaojipendekeza kwa Israeli wakati Israeli kwanza ina Wakrsto wachache sana na pili haina time na Waafrika kabisa.
Waafrika tuache upuuzi.
Hoja ya kipuuzi kabisa. Wewe mbona huna wazungu kwenye timu yako ya Taifa.Timu ya taifa ya Israel ina-waafrika ni tofauti na Argentina
Mleta mada usiturejeshe ujimani. Hizo sentiments za ubaguzi peleka huko.Waafrica tunapenda sana kujipendekeza, hata tusipotakiwa, Argentina ndio nchi pekee America ya kusini ilio wafuta kwa kuwaua watu weusi ili wasiharibu damu yao.
Ndio maana hata timu yao ya Taifa huwezi kuta mtu mweusi tofauti na timu zingine zote za America ya kusini, na kumbuka America ya kusini ndio ilikuwa kitovu cha Waafrika kutoka Africa.
Sasa Waafrica tunavyopenda kujipendekeza eti mimi timu Argentina huu ni ujinga na upuuzi mkubwa sana yaani wao wanaona Waafrica kama nyani lakini nyie mko bise kuwakumbatia.
Ni sawa na wale wanaojipendekeza kwa Israeli wakati Israeli kwanza ina Wakrsto wachache sana na pili haina time na Waafrika kabisa.
Waafrika tuache upuuzi.
We ni mjinga nitatizo la nchi yako kwani umenyimwa kuita wazungu kwenye michezoHoja ya kipuuzi kabisa. Wewe mbona huna wazungu kwenye timu yako ya Taifa.
Kw
Kwa uzi huu tu wewe ni mbaguzi tayari. Acha watu wa enjoy football.
We ni mjinga nitatizo la nchi yako kwani umenyimwa kuita wazungu kwenye michezo