Waafrika na ubaguzi dhidi ya Waarabu. Je, hii ni laana?

Waafrika na ubaguzi dhidi ya Waarabu. Je, hii ni laana?

Sol de Mayo

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2016
Posts
6,515
Reaction score
6,230
Ubaguzi bado unaendelea kulitafuna bara la Afrika

Mwanzo nilidhani wahindi ndio nambari moja kwa ubaguzi duniani, lakini nachokiona kwa ndugu zangu waafrika hususani hapa bongo niseme tu wengi wao ni wabaguzi wa kutupwa ni zaidi ya wahindi, hivyo wanaendelea na kujionyesha wazi kuwa wao ni wabaguzi wa RANGI.

Baadhi ya Comments nimekutananazo katika mtandao wa INSTAGRAM kuhusu timu ama matokeo ya mpira kwa tiketi ya kuwania kucheza kombe la dunia kati ya Waarabu na waafrika ambao tukonao bara moja, maneno makali sana ya kibaguzi yakitolewa na watu weusi kwa waarabu,, hii sio poa tukemee ubaguzi, udini na ukabila ndugu zangu.

Baadhi ya comments zikiwalenga waarab
20220330_112003.jpg
20220330_111947.jpg
20220330_111924.jpg
20220330_111908.jpg
20220330_111845.jpg
20220330_111829.jpg
20220330_111749.jpg
20220330_111650.jpg
20220330_111542.jpg
20220330_111525.jpg
20220330_111443.jpg
20220330_111416.jpg
20220330_111353.jpg
20220330_111329.jpg
20220330_111307.jpg
20220330_111216.jpg
20220330_111154.jpg
20220330_110948.jpg
20220330_110757.jpg
20220330_110715.jpg
20220330_110650.jpg
20220330_110626.jpg
20220330_110529.jpg
20220330_110435.jpg
20220330_110338.jpg
20220330_110308.jpg
20220330_110239.jpg
20220330_110109.jpg


20220330_112023.jpg
 
Hata wao sidhani kama uwa wanajichukulia kuwa ni from Afrika ndo maana wako katika muungano wa nchi za Kiarabu.

Sema sisi ni wabaguzi sana sema bahati mbaya ni maskini hivyo hatuwatishi tunaowabagua.

Ukitaka kujua sisi ni wabaguzi, mfano aliposhinda Miss Tanzania mhindi ulisikia kelele zilizopigwa?

Lakini tukiwa huko kwa wenzetu tunataka umayor, na kadhalika
 
Hata hivo sisi bado tuna roho sana tena ya upendo maana hao waarabu ndo walikua wanatusaka kama usakavyo swala wakati wa mawindo ili watuuze km pipi iuzavyo dukani kwa wazungu au umesahau biashara ya utumwa babu zetu waliyopitia.Harafu mtu huyo akimsema mzungu ama mwarabu ni mbaguzi unamtetea natamani nikutukane tusi zito #^@
 
Ubaguzi bado unaendelea kulitafuna bara la Afrika

Mwanzo nilidhani wahindi ndio nambari moja kwa ubaguzi duniani, lakini nachokiona kwa ndugu zangu waafrika hususani hapa bongo niseme tu wengi wao ni wabaguzi wa kutupwa ni zaidi ya wahindi, hivyo wanaendelea na kujionyesha wazi kuwa wao ni wabaguzi wa RANGI.

Baadhi ya Comments nimekutananazo katika mtandao wa INSTAGRAM kuhusu timu ama matokeo ya mpira kwa tiketi ya kuwania kucheza kombe la dunia kati ya Waarabu na waafrika ambao tukonao bara moja, maneno makali sana ya kibaguzi yakitolewa na watu weusi kwa waarabu,, hii sio poa tukemee ubaguzi, udini na ukabila ndugu zangu.

Baadhi ya comments zikiwalenga waarab
View attachment 2169071View attachment 2169072View attachment 2169073View attachment 2169074View attachment 2169075View attachment 2169076View attachment 2169077View attachment 2169078View attachment 2169079View attachment 2169080View attachment 2169081View attachment 2169082View attachment 2169083View attachment 2169084View attachment 2169085View attachment 2169086View attachment 2169087View attachment 2169088View attachment 2169089View attachment 2169091View attachment 2169092View attachment 2169093View attachment 2169094View attachment 2169095View attachment 2169096View attachment 2169097View attachment 2169098View attachment 2169099

View attachment 2169070
Otterhound
Hivi unajua Waafrika wanavyoteswa na waarabu huko Uarabuni?!!




 
Hata hivo sisi bado tuna roho sana tena ya upendo maana hao waarabu ndo walikua wanatusaka kama usakavyo swala wakati wa mawindo ili watuuze km pipi iuzavyo dukani kwa wazungu au umesahau biashara ya utumwa babu zetu waliyopitia.Harafu mtu huyo akimsema mzungu ama mwarabu ni mbaguzi unamtetea natamani nikutukane tusi zito #^@
Hao waarabu walikuja tu from nowhere wakaanza kubeba watu? Machifu ndo waliuza watu wao...kama ambavyo tunaendelea kuuzwa Leo na viongozi wetu Kwa hizi ngozi nyeupe.
 
Hata wao sidhani kama uwa wanajichukulia kuwa ni from Afrika ndo maana wako katika muungano wa nchi za Kiarabu.

Mkuu, "hiyo ni dhana tu wala huna uhakika wa hicho"

Sema wengi wenu hamjaishi na waarabu ndio maana mnawasema na kuwafikiria vibaya, na wengine hufuata mkumbo.

Binafsi, bado sijaona jamii watu wake wakarimu kama waarabu.
 
Hivi unajua Waafrika wanavyoteswa na waarabu huko Uarabuni?!!




Wanaojitosaga kusaka life uarabuni (mf. Wafanyakazi za ndani, sijui gardeners) naonaga Wana roho ngumu sana!!
 
Hata hivo sisi bado tuna roho sana tena ya upendo maana hao waarabu ndo walikua wanatusaka kama usakavyo swala wakati wa mawindo ili watuuze km pipi iuzavyo dukani kwa wazungu au umesahau biashara ya utumwa babu zetu waliyopitia.Harafu mtu huyo akimsema mzungu ama mwarabu ni mbaguzi unamtetea natamani nikutukane tusi zito #^@

Tukana tu, lakini ukweli usemwe japo unauma kwa wasiojitambua.

Huo utumwa unauzungumzia, je! Ulikuwepo na ukashuhudia live matukio hayo?
 
Mkuu, "hiyo ni dhana tu wala huna uhakika wa hicho"

Sema wengi wenu hamjaishi na waarabu ndio maana mnawasema na kuwafikiria vibaya, na wengine hufuata mkumbo.

Binafsi, bado sijaona jamii watu wake wakarimu kama waarabu.
Hata sio kwamba sijaishi nao, mkuu mimi nimesoma na waarabu na wahindi. Yani shule niliyosoma primary mpaka sekondari waarabu na wahindi walikuwa wengi kuliko waafrika. Darasani waafrika tulikuwa sijui 4 au 5 hivi.

Tulikuwa poa tu hakuna kubaguana wala nini maana watoto mara nyingi uwa hawabaguani.

Ukubwani bado baadhi ya hao watu mpaka leo rafiki zangu.

Ila nasema nchi kama Egypt, Morroco sidhani kama wenyewe pia uwa wanajihesabu sana kama part ya Afrika
 
Acha uongo na avatar yako hiyo,, unadhani hatuishi na waarabu tukajionea!! Baadhi ya nchi za kiarabu nimevisit pia sijakutana na upumbafu wa hivi. So huwezi nidanganya, wadanganye wasiojielewa
Bruh mbona jazba nyingiiii iviii wale wadada wa kaziii ambao wanatolewa hadi figo bila ridhaa yao wanatolewa na ankina naniiii
 
Back
Top Bottom