Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
- Thread starter
- #281
Poleeee kwa kuteseka. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi huyuu niteseke,, Wenye roho mbaya na chuki ndio huumia na kuteseka 😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poleeee kwa kuteseka. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Al
Al ahzab 33:22_25
Kumbe tatizo liko kwenye dini. Umejificha kwenye ubaguzi wa rangi kumbe udini ndio unakusumbua.Wewe mwenyeji wetu, una maoni gani kwa hawa wagalatia wenzio wenye ubaguzi?
Wewe ni limbukeni wa warabu ndiyo maana unawatetemekea sana hao mpunda, au mumeo ni mwarabu nini.Eti tunakufahamu ni mwalabu [emoji1787] wagalatia bwana,, kwahiyo waafrika wote hawawapendi waarabu? Mpaka hapo ulipo umeshaonyesha wewe ni mbaguzi, na upo kichuki. Pole sana kwa maumivu kijana
Bhujiku ng'waka,
Mkipewa ukweli mnakimbilia kwenye udini, hamuna hoja 😁Kumbe tatizo liko kwenye dini. Umejificha kwenye ubaguzi wa rangi kumbe udini ndio unakusumbua.
Kila la kheri nakutakia mfungo mwema.
Wewe ni limbukeni wa warabu ndiyo maana unawatetemekea sana hao mpunda, au mumeo ni mwarabu nini.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] relaaaaaaxMimi huyuu niteseke,, Wenye roho mbaya na chuki ndio huumia na kuteseka [emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] relaaaaaax
Ameeeeeeeeeeeen!!!Haya dadangu, Mungu akuongoze uijue haki na kuifuata [emoji4]
Kwahio unawafananisha waarabu na Mtume Muhammad S.A.W?Mkipewa ukweli mnakimbilia kwenye udini, hamuna hoja 😁
Na kama kuna Muislamu atamchukia mwarabu, maana yake hata Mtume Muhammad S.A.W pia utakua umemchukia. So huyo sio muumini wa kweli, bali ni muislamu jina, na hupaswi kuiga matendo yake.
NI NANI MUUMINI WA KWELI?
Ukishamjua huyo vizuri ukawa na yakini ya kutosha hautaweza kutetereka tena juu yake, kama Allaah سبحانه وتعالى anavyosema;
“Wenye kuamini kweli kweli ni wale wanaomuamini Mwenyezi Mungu na Mtume wake kisha wakawa si wenye shaka na wanaopigania dini ya Allah kwa mali zao na nafsi zao. Hao ndio wenye kuamini kweli kweli” (49:15)
Muislamu wa kweli humwogopa Allaah سبحانه وتعالى muda wote mahala popote kama Allaah سبحانه وتعالى anavyosema;
“Hakika Waumini ni wale ambao anapo tajwa Mwenyezi Mungu nyoyo zao hujaa khofu, na wanapo somewa Aya zake huwazidisha Imani, na wakamtegemea Mola wao Mlezi” [8:2]
Hapa nazungumzia waumini wakweli/waisilamu, au hujui maana ya muumini? Hao waarabu wakristo wameingiaje kwenye hoja yangu!! Unatafuta ligi kijana, tusiharibiane funga tafadhali aise.Kwahio unawafananisha waarabu na Mtume Muhammad S.A.W?
Unajua kwamba kuna waarabu wa kristo pia au hujui?
Acha udini hautakusaidia chochote. Jenga hoja vizuri sio unakimbilia udini.
Viarabu viwili vitatu kukuonyesha weye mweusi kuwa wanakupenda kwa kuwa unawabebea masanduku ya fedha ni sawa!! kwa uaminifu huo lkn siku ukijichanganya ndo utajua kuwa hujui!Acha uongo, unadhani wengine hatuishi na waarabu tukajionea!! Baadhi ya nchi za kiarabu nimevisit pia sijakutana na upumbafu wa hivi. So huwezi nidanganya, wadanganye wasiojielewa