Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
- Thread starter
- #261
Kumbe hata akili huna, hayo unayosoma ya Mudi ulikuwepo wakati akiyasema ?
Usifananishe uislamu/Qur'an/Hadithi sahihi na vitu vya kutunga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe hata akili huna, hayo unayosoma ya Mudi ulikuwepo wakati akiyasema ?
Akili za kushikiwa. Ina maana mtume angevaa vipedo na vitopu na sisi tungevaa Kama Suna? Angetembea bila nguo na sisi tungefanya hivyo maana ni Suna? Usikariri Kila simulizi utapotea jiongeze. Muhenga alisema,`akili za kuambiwa changanya na zako'.
Tatizo dini yako imekufanya kuwa kipofu kabisaaaa na kiziwi, huoni Wala husikii Atakachokuambia mwarabu wewe hewala tu. Fumbua macho Dada yangu utazame. Penye weusi sema nyeusi na weupe sema nyeupe,bila kujali ni mzungu au mwarabu anayekutaka kutamka. Quran yenyewe imewaita waarabu wanafiki wewe na Quran anayewajua vizuri waarabu Nani?المسلمأخو المسلم Muislamu ndugu yake muislamu, hivyo siwezi kuwa na undugu na asiekua muislamu. Niache kuwa na undugu na mwarabu/muislamu mwenzangu niwe na undugu na kafiri kisa nini!!
Uislamu unatufundisha tuwapende hata wasio waisilamu, sasa ninyi wagalatia mnaleta chuki zenu hapa, mnawachukia waarabu na kuwazushia mabaya halafu mnataka nasi tuwafuate ninyi!! Waarabu ni ndugu zetu katika imani.
Je, ulikuwepo na ukashuhudia??
Tatizo dini yako imekufanya kuwa kipofu kabisaaaa na kiziwi, huoni Wala husikii Atakachokuambia mwarabu wewe hewala tu. Fumbua macho Dada yangu utazame. Penye weusi sema nyeusi na weupe sema nyeupe,bila kujali ni mzungu au mwarabu anayekutaka kutamka. Quran yenyewe imewaita waarabu wanafiki wewe na Quran anayewajua vizuri waarabu Nani?
Si lazima niwepo au nishuhudie....hata simulizi za waliokuwepo zinatosha kabisa.Je, ulikuwepo na ukashuhudia??
Si lazima niwepo au nishuhudie....hata simulizi za waliokuwepo zinatosha kabisa.
Mwanasaikolojia anaweza kutambua jinsia ya mtu kwa kutazama Aina ya uandishi tu. Kwa asilimia 80 Niko sahihi kwa asilimia 20 Kama nimekosea nisamehe Sana. Uwe na siku njema, kuhusu Aya nitakuwekea punde tu.Acha kupotosha ewe mfuasi wa paulo, Lete hiyo aya!!
Hawatakuwa radhi mayahudi na wakristo mpaka mfuate mila zao
Halafu mimi sio Ke tafadhali mkuu!
Wanaonewa wivu kwa lipi ?Acha nicheke tu🤣🤣🤣,,ni dhahiri shahiri mnawachukia waarabu bila sababu, maana huna facts with evidence. Wivu unawasumbua sana 😁😁 Badilikeni
Al ahzab 33:22_25 Soma kwa wakati wako halafu endelea kuwatetea waarabu.Wanaonewa wivu kwa lipi ?
Al ahzab 33:22_25Mwanasaikolojia anaweza kutambua jinsia ya mtu kwa kutazama Aina ya uandishi tu. Kwa asilimia 80 Niko sahihi kwa asilimia 20 Kama nimekosea nisamehe Sana. Uwe na siku njema, kuhusu Aya nitakuwekea punde tu.
Wanaonewa wivu kwa lipi ?
Taja baadhiKwa kila kitu
Mleta mada ni mgeni kwenye swala la ubaguzi.
Nenda ukaishi nao uarabuni usikubali kubaguliwa na utuachie Africa yetu tambulu wewe. Africa is for Africans and not otherwise.Acha nicheke tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787],,ni dhahiri shahiri mnawachukia waarabu bila sababu, maana huna facts with evidence. Wivu unawasumbua sana [emoji16][emoji16] Badilikeni
Taja baadhi
Mbaguzi utamjua tu,, hapo nakuona ukiteseka na kuumia ndani kwa ndani mzehe 😁 pole sana mgalatia,,,Nenda ukaishi nao uarabuni usikubali kubaguliwa na utuachie Africa yetu tambulu wewe. Africa is for Africans and not otherwise.
Nawewe tunakufahamu ni nimwarabu ndiyo maana unawatetea warabu wenzako in shot warabu hamfai hata kidogo ni wabaguzi hamna mfano, sitaki hata kuwasikia juzi kati mmeuza figo ya dadayetu mganda tena goja niache nisije nikakufuru.
Poleeee kwa kuteseka. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aneumia hapa ni nani kama sio ninyi wafuasi wa paulo![emoji16] vp ushakula mashonde nini?