Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukarimu gani walio nao wale inaonekana hamna unachojua kuhusu warabu
Watu weusi wanateswa na Laana, Ni vinara wa Ubaguzi lakini siku zote wao ndio hujifanya victims,
Watu wasiwabague waarabu, kwan lazima? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimelazimisha nini kwa mfano?
Sasa huyu chawa wao anateseka na nn hapa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Waafrica ndio watu wa kulalamika, watu wa jamii nyengine wapo bzy na ishu zao hawana muda huo wakulilia.
Watu wasiwabague waarabu, kwan lazima? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu wamekuandama sana hawa MALAN MAALUN.
Sasa huyu chawa wao anateseka na nn hapa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
munoteseka ni nyinyi ambao kila siku hamwishi na povu kwa waarabu, watu ambao hawana kabisa time na nyinyi wao wapo bzy na mambo yao tu.
Kwa comment hiyo, dunia nzima hakuna jamii iliyostarabika.Ubaguzi wa aina yoyote ile hauna nafasi kwenye Jamii iliyostaArabika.
Labda wewe ndo hujielewi. Waarabu tunaishi nao tunawajua kawadanganye unaofanana nao. Mwarabu hata akizaa naweusi huyo mtoto atabaki Mali ya mama au thamani yake itakuwa ya daraja la 2!Acha uongo, unadhani wengine hatuishi na waarabu tukajionea!! Baadhi ya nchi za kiarabu nimevisit pia sijakutana na upumbafu wa hivi. So huwezi nidanganya, wadanganye wasiojielewa
Na huu siyo ubaguzi ni faraja. Halafu mnajisifu mna dini ya haki?Mkuu wamekuandama sana hawa MALAN MAALUN.
Sawa.Na huu siyo ubaguzi ni faraja. Halafu mnajisifu mna dini ya haki?
Naomba kuuliza swali,hivi kila muarabu ni muislamu?Na huu siyo ubaguzi ni faraja. Halafu mnajisifu mna dini ya haki?
Kawaambie hao wenzako waombe msamaha kutokana na jinai zilizoendeshwa na babu zao katika ya kufanya biashara ya utumwa.Acha waniandame tu sheikh, mimi walaa sijali, ukweli wameupata na waufanyie kazi,, na watoto, wajukuu, vitukuu na vilembwe vyao wawajenge katika maadili mazuri na sio kuwajenga chuki na kubagua jamii flani.
Ulishajua wao wanakuita nani?Hii nakataa mkuu. Waafrica weusi wamezidi. Fuatilia vizuri kwenye mabanda umiza au hata hapo Taif utanambia.
Mara ngapi Mo anaitwa Gabacholi na tunafurahia? Mzungu ataitwa nguruwe beberu, albino na mengi tu ya kukejeli ila tunaona sawa tu.
Waafrika weusi walichokosa ni pesa tu ila vinginevyo tungeshuhudia ubaguzi ambao haujawahi kutokea tangu kuumbwa kwa dunia.