Waafrika na ubaguzi dhidi ya Waarabu. Je, hii ni laana?

Waafrika na ubaguzi dhidi ya Waarabu. Je, hii ni laana?

Mtakalia hayo hayo na kukaririshwa kwenu [emoji38] bado mnahitaji elimu sana jamani,,,eti milki ya watu weusi mara cjui walivyokuja na dini yao ikawa kama hukubaliani nao kuifuata dini yao unakula panga ya kisogo,,, maneno ya kijinga hayana nafasi ,,,Muwe mnaacha kuongea vitu bila fact na evidence.
Watu wa kitabu siku hizi mnaweza kuwashauri watu wapate ilimu, nilidhani una mawazo sawa na wale Taliban ambao wanachosisitiza ni kufuga ndevu.
 
Wawabague wasiwabague, wawachukie wasiwachukie hawapungukiwi na chochote,,,wanapiga kazi wanakula life vizuri maisha yanaenda,,huku wamatumbi wakilialia kubaguliwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] aise.


Mwaniki cocastic, dugwisanga igolo.

Bhujiku ng'waka[emoji42]
Sasa wee mbna unaumia muarabu koko? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
munoteseka ni nyinyi ambao kila siku hamwishi na povu kwa waarabu, watu ambao hawana kabisa time na nyinyi wao wapo bzy na mambo yao tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie watu mmevurugwa, sasa hili bango la nn mmelileta hapa? Khaaaaah
 
Tatizo ukijibiwa unaita waungwana waongo.Arabs wana ubaguzi mnoo kwa Waafrika.Ukiona Mwarabu yupo jirani na weye,ujue kuna kitu anahitaji umfanyie au umfanikishie.Hawa watu usiwatetee.Unamfanikishia jambo lake halafu kesho yake tu ukimkuta anaendesha usafiri wake anajidai yupo bize na simu.Uongo mtupu!Mbona wakati alipokuwa na changamoto alikuona bila mawaa?
Na vilevile,ukiwa chawa wao watajidai kukuweka karibu ili usiwatoroke waendelee kukutumia na kupata faida waitakayo.
NB;Kila jamii ina watu wabaguzi.Si wote.Na ubaguzi unatofautiana kutoka jamii moja hadi nyingine.
Waafrica siyo wabaguzi ila hao jamaa ndiyo source ya ubaguzi, hawataki kuchanganya damu na watu weusi ikitokea umempa mimba au kuanzisha mahusiano na Binti yao basi huyo Binti ataambiwa achague mawili kufukuzwa home au aachane na mtu mweusi, hii dhana hupelekea Hadi baadhi ya wenzetu weusi kwenda kwa waganda ili wapendwe na waarabu
Yaani Hawa jamaa wanatuita sisi mapunda kweli!! Ila nashangaa nasisi watu weusi tunaofuata utamaduni wao eti ni wabaguzi yaani tunawabagua watu weusi wenzetu.
 
Kinachowaponza ni figisu zao kwa mataifa mengine wakiongozwa na Misri.
Kwanza waarabu wa misri ukiwaita waarabu wanachukia wanajiona wao ni waarabu special hivyo nami nasema wanakula matunda ya matendo yao.
Hawana upendo,just imagine waafrika wanaocheza kwenye vilabu vyao ni wangapi na wanapata tabu zipi?.
Kila mtu atavuna alichopanda.
 
Waafrica siyo wabaguzi ila hao jamaa ndiyo source ya ubaguzi, hawataki kuchanganya damu na watu weusi

Hivi mkuu umechanganyikiwa? Sasa ikiwa wao hawataki kuchnganya hiyo damu nyinyi mnaumia nini? Si tafuteni wengine muchanganye nao Mbona munayacomplicate sana maisha?
 
Ubaguzi bado unaendelea kulitafuna bara la Afrika

Mwanzo nilidhani wahindi ndio nambari moja kwa ubaguzi duniani, lakini nachokiona kwa ndugu zangu waafrika hususani hapa bongo niseme tu wengi wao ni wabaguzi wa kutupwa ni zaidi ya wahindi, hivyo wanaendelea na kujionyesha wazi kuwa wao ni wabaguzi wa RANGI.

Baadhi ya Comments nimekutananazo katika mtandao wa INSTAGRAM kuhusu timu ama matokeo ya mpira kwa tiketi ya kuwania kucheza kombe la dunia kati ya Waarabu na waafrika ambao tukonao bara moja, maneno makali sana ya kibaguzi yakitolewa na watu weusi kwa waarabu,, hii sio poa tukemee ubaguzi, udini na ukabila ndugu zangu.

Baadhi ya comments zikiwalenga waarab
View attachment 2169071View attachment 2169072View attachment 2169073View attachment 2169074View attachment 2169075View attachment 2169076View attachment 2169077View attachment 2169078View attachment 2169079View attachment 2169080View attachment 2169081View attachment 2169082View attachment 2169083View attachment 2169084View attachment 2169085View attachment 2169086View attachment 2169087View attachment 2169088View attachment 2169089View attachment 2169091View attachment 2169092View attachment 2169093View attachment 2169094View attachment 2169095View attachment 2169096View attachment 2169097View attachment 2169098View attachment 2169099

View attachment 2169070
Anayewatetea waarabu akajaribu Kwanza kufanya kazi za ndani saudia,Dubai au Iran Kisha aje na mrejesho hapa.
 
Hivi mkuu umechanganyikiwa? Sasa ikiwa wao hawataki kuchnganya hiyo damu nyinyi mnaumia nini? Si tafuteni wengine muchanganye nao Mbona munayacomplicate sana maisha?
Unaelewa maana ya kuchanganya damu? Wao ktk mindset wanaamini kuchanganya damu na mtu mweusi ni kukaribisha laana kwenye ukoo ndiyo maana wanaoana mtoto wa mjomba na shangazi
This Arab is stupidity, me niliwahi kuanzisha mahusiano na House gelo aliyekuwa anafanya kazi kwake eti akaniambia sitaki kuletewa kinyago ndani kwangu na yule Binti alikuwa mwafrika mwenzangu.
 
Mkuu kuwepo kwenye bara la Africa haiwaondolei asili ya ya uarabu, hata muhindi azaliwe Tanzania ni muhindi hawezi kuwa mzaramo
 
Watu wa kitabu siku hizi mnaweza kuwashauri watu wapate ilimu, nilidhani una mawazo sawa na wale Taliban ambao wanachosisitiza ni kufuga ndevu.

Ndevu ni sunna, hata Mtume wetu Muhammad S.A.W alifuga ndevu.

Ndevu ni uanaume bwana, wewe kama hukujaaliwa kuwa na ndevu kaa pending.
 
Kawaambie hao wenzako waombe msamaha kutokana na jinai zilizoendeshwa na babu zao katika ya kufanya biashara ya utumwa.

Wagalatia bwana, ushakula mashonde nini mzee!!

Wakati wanafanya hiyo biashara ya utumwa, je! Ulikuwepo na ukayashuhudia?

Maprofesa wa kukaririshwa uongo mko vizuri😁
 
Unaelewa maana ya kuchanganya damu? Wao ktk mindset wanaamini kuchanganya damu na mtu mweusi ni kukaribisha laana kwenye ukoo ndiyo maana wanaoana mtoto wa mjomba na shangazi
This Arab is stupidity, me niliwahi kuanzisha mahusiano na House gelo aliyekuwa anafanya kazi kwake eti akaniambia sitaki kuletewa kinyago ndani kwangu na yule Binti alikuwa mwafrika mwenzangu.

Mkuu kwani waafrica si Laan kweli? Hebu tujitathmini kwanza
 
Ndevu ni sunna, hata Mtume wetu Muhammad S.A.W alifuga ndevu.

Ndevu ni uanaume bwana, wewe kama hukujaaliwa kuwa na ndevu kaa pending.
Akili za kushikiwa. Ina maana mtume angevaa vipedo na vitopu na sisi tungevaa Kama Suna? Angetembea bila nguo na sisi tungefanya hivyo maana ni Suna? Usikariri Kila simulizi utapotea jiongeze. Muhenga alisema,`akili za kuambiwa changanya na zako'.
 
Hujui unachokiongea ewe mgalatia.

Halafu iran sio waarabu, kasome tena
Sina haja ya kusoma Wala kujifunza chochote juu ya mwarabu Wala kiarabu. Wewe unayewatukuza waarabu endelea kujifunza kuhusu wao maana huwezi hata kuswali bila kutumia lugha Yao, na hivyo umekuwa Kama mtumwa kwa waarabu japo uko huru ndani ya nchi mzuri ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania. Ila kumbuka serikali ilishapiga marufuku watu kwenda kufanya kazi za ndani kwa hao miungu yako.
 
Wagalatia bwana, ushakula mashonde nini mzee!!

Wakati wanafanya hiyo biashara ya utumwa, je! Ulikuwepo na ukayashuhudia?

Maprofesa wa kukaririshwa uongo mko vizuri😁
Unabisha kwamba waarabu hawakufanya biashara haramu ya Watumwa ?
 
Back
Top Bottom