permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Watu wa kitabu siku hizi mnaweza kuwashauri watu wapate ilimu, nilidhani una mawazo sawa na wale Taliban ambao wanachosisitiza ni kufuga ndevu.Mtakalia hayo hayo na kukaririshwa kwenu [emoji38] bado mnahitaji elimu sana jamani,,,eti milki ya watu weusi mara cjui walivyokuja na dini yao ikawa kama hukubaliani nao kuifuata dini yao unakula panga ya kisogo,,, maneno ya kijinga hayana nafasi ,,,Muwe mnaacha kuongea vitu bila fact na evidence.