Waafrika tuache unafiki kuhusu suala la Morocco

Waafrika tuache unafiki kuhusu suala la Morocco

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Waafrika wengi tunadai kulalamika eti Morocco ametubagua kwa kusema ushindi wao ni zawadi kwa Waarabu na Waislamu na kuwaacha Waafrika
Hivi niwaulize ni tangia lini tumewachukulia Morroco kama Waafrika wenzetu?

Hawa watu sisi si ndio tunaongoza kwa kuwaita Waarabu? Hata mechi za CAF club zao zikija hapa nchni tunawaita Waarabu

Iweje leo tulalamike kwa wao kujiona ni Waarabu?

Fainali ni Morocco vs Croatia
 
Waafrika wengi tunadai kulalamika eti Morocco ametubagua kwa kusema ushindi wao ni zawadi kwa Waarabu na Waislamu na kuwaacha Waafrika
Hivi niwaulize ni tangia lini tumewachukulia Morroco kama Waafrika wenzetu?

Hawa watu sisi si ndio tunaongoza kwa kuwaita Waarabu? Hata mechi za CAF club zao zikija hapa nchni tunawaita Waarabu

Iweje leo tulalamike kwa wao kujiona ni Waarabu?

Fainali ni Morocco vs Croatia
Wanaolalamika siyo wastaarabu kabisa. Ureno ni ndugu yetu na bado tumeoleana hapo Msumbiji na Angola. Halafu Vasco Dagama aliwahi kufika Kilwa na akakaa pale zaidi yawezi kabla ya kwanda Mombasa.
 
Waafrika wengi tunadai kulalamika eti Morocco ametubagua kwa kusema ushindi wao ni zawadi kwa Waarabu na Waislamu na kuwaacha Waafrika
Hivi niwaulize ni tangia lini tumewachukulia Morroco kama Waafrika wenzetu?

Hawa watu sisi si ndio tunaongoza kwa kuwaita Waarabu? Hata mechi za CAF club zao zikija hapa nchni tunawaita Waarabu

Iweje leo tulalamike kwa wao kujiona ni Waarabu?

Fainali ni Morocco vs Croatia
Kwani sio waarabu?
 
Kifupi Morocco hasa hiyo team hawajielewi kabisa

Wazungu Afrika ya kusini hawajiiti wa Ulaya tena wakali mno ukiwaita Europeans wanajitambua kama waafrika South Africans

Waarabu na wahindi walioko Afrika wamejaa ujinga sana ukilinganisha na wazungu walioko Afrika ya kusini

Waarabu na wahindi na wapemba walioko Afrika wamejaa ujinga sana hujitambua zaidi kwa nchi za uarabu na India

Niwapongeze wazungu walioko Afrika ya kusini kwa kujitambua kama waafrika South Africans pure kuwa kwao ni Africans na they are south Africans sio Europeans
 
Ni kweli coz kabla ya michuano tulisimama na Cameroon,Senagal na Ghana hao wengine hawakua kwenye misamiati yetu.
 
Ni kweli coz kabla ya michuano tulisimama na Cameroon,Senagal na Ghana hao wengine hawakua kwenye misamiati yetu.
Mfalme wa Morocco hana Shida na Africa sema hiyo team wapuuzi tu

Mfalme wa Morocco kawekeza sana Nchi za Afrika vitega uchumi kibao ikiwemo Bank of Africa(BOA Bank) Tanzania ambayo asilimia 100 wafanyakazi sio waarabu tena asilimia 90 ni Wakristo sio waislamu kuanzia vyeo vya juu

Team ya Morocco walichofanya hakina uhusiano na Mfalme wa Morocco na serikali yake

Tanzania kajenga hadi makao makuu ya Bakwata ambayo viongozi wake wakuu wote wa juu hakuna mwarabu
 
Morocco wapo Sawa huku bongo CCM Wanabagua watu watoto wao wanasoma ulaya,wakiumwa wanakwenda ulaya huku watanzania wakihangaika bila mafanikio kwenye nchi Yao
 
Wazungu Wa Afrika ya kusini Ulishawahi sikia wakijiita Europeans? Upumbavu huo uko kwa waarabu,wapemba na wahindi ndio hujpenda kujitambukisha na nchi za kiarabu na India.

Wazungu wa Afrika kusini wako vizuri na wanajielewa kuliko hao wajinga wa team ya Morocco
Akili ya mzungu iko tofauti sana na hao wengine pamoja na sisi
 
Waafrika wengi tunadai kulalamika eti Morocco ametubagua kwa kusema ushindi wao ni zawadi kwa Waarabu na Waislamu na kuwaacha Waafrika
Hivi niwaulize ni tangia lini tumewachukulia Morroco kama Waafrika wenzetu?

Hawa watu sisi si ndio tunaongoza kwa kuwaita Waarabu? Hata mechi za CAF club zao zikija hapa nchni tunawaita Waarabu

Iweje leo tulalamike kwa wao kujiona ni Waarabu?

Fainali ni Morocco vs Croatia
Utakuwa umetambuliwa na wamorocco wewe

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Waafrika wengi tunadai kulalamika eti Morocco ametubagua kwa kusema ushindi wao ni zawadi kwa Waarabu na Waislamu na kuwaacha Waafrika
Hivi niwaulize ni tangia lini tumewachukulia Morroco kama Waafrika wenzetu?

Hawa watu sisi si ndio tunaongoza kwa kuwaita Waarabu? Hata mechi za CAF club zao zikija hapa nchni tunawaita Waarabu

Iweje leo tulalamike kwa wao kujiona ni Waarabu?

Fainali ni Morocco vs Croatia
Nakubaliana na wewe, tuache unafiki kila mtu apiganie Taifa lake. Wao ni Morocco Waarabu, Waislam wamefuzu kombe la Dunia kwa Kodi zao. Leo tuje tuwapangie wamuwakilishe Nani. Kwanza tujiulize je walikabidhiwa bendera na Africa au Morocco. Tuwekeze kwenye soka tuache uchawa wa kushabikia kila timu.
 
Na simama na Portugal siwezi zuia mahaba yangu kwao.
20221210_154345.jpg
 
Waafrika wengi tunadai kulalamika eti Morocco ametubagua kwa kusema ushindi wao ni zawadi kwa Waarabu na Waislamu na kuwaacha Waafrika
Hivi niwaulize ni tangia lini tumewachukulia Morroco kama Waafrika wenzetu?

Hawa watu sisi si ndio tunaongoza kwa kuwaita Waarabu? Hata mechi za CAF club zao zikija hapa nchni tunawaita Waarabu

Iweje leo tulalamike kwa wao kujiona ni Waarabu?

Fainali ni Morocco vs Croatia
Mi muislam nshatajwa, nyie waafrika shauri yenu
 
Waafrika ni watu waliolaanika
Wazungu Afrika kusini ambao wanajitambua kama Africans ,South Africans hawana hiyo laana mbona wanajitambua kama waafrika sio Europeans, pamoja na kuwa na qualities zote za kizungu ? Sema hiyo.mibwege timu ya Morocco, waarabu na wahindi na wapemba walioko Tanzania wanaojitia na kujitambukisha kama waarabu na wahindi wa uarabuni na India mabwege tu yadiyo na mbele wala nyuma

Hongera wazungu wa Afrika kusini kujitambua kama Africans, South Africans. Na kugoma kuitwa Europeans

Mnajiiewa tofauti na mibwege miarabu ya Morocco na Tanzania na mipemba na mihindi iliyoko Tanzania
 
Back
Top Bottom