Waafrika tuache unafiki kuhusu suala la Morocco

Waafrika tuache unafiki kuhusu suala la Morocco

Apo kwa moroko labda waingie na mabomu uwanjani. France hawana cha kupoteza. Watawaheshimu moroko ila kipigo kitakuwa pale pale.. aise akipigwa basi nitaamini uchawi upo
Jumatano haipo mbali nikumbushe baada ya France kula kichapo.
 
Sisi weusi ni Wajinga Sana tumajadili kitu kidogo alichotamka mtu mmoja.tena mtoto.wivu wetu,hasadi na fitina ndio maana kila kitu tunakuwa was mwisho.Ukicheki Sana utagundua hakuna cha Uarabu au Uafrika shida ni kutajwa dini ya Mungu ndio kinachowauma.Vingine no visingizio Tu.Dini yenyewe haina habari na huo mpira wenu.
 
Back
Top Bottom