Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
Usitulazimishe kaa na morroco yakoWaafrika wengi tunadai kulalamika eti Morocco ametubagua kwa kusema ushindi wao ni zawadi kwa Waarabu na Waislamu na kuwaacha Waafrika
Hivi niwaulize ni tangia lini tumewachukulia Morroco kama Waafrika wenzetu?
Hawa watu sisi si ndio tunaongoza kwa kuwaita Waarabu? Hata mechi za CAF club zao zikija hapa nchni tunawaita Waarabu
Iweje leo tulalamike kwa wao kujiona ni Waarabu?
Fainali ni Morocco vs Croatia
Hata kuona Brazil akishangilia ushindi wa Argentina kisa wote wanatoka South AmericaSijawahi ona Uingereza akishangilia ushindi wa Portugal kisa ni wa Ulaya wote..
Huu ni utumwa wa kifikra kwa waafrika.
Kila mtu ashinde mechi zake!!..
Pole mkuu.π€£π€£Usitulazimishe kaa na morroco yako
Wale wanapinga hadharani ila wakiwa gizani na mbinu mbaya dhidi ya Africa wanakuwa kitu kimoja wale.Sijawahi ona Uingereza akishangilia ushindi wa Portugal kisa ni wa Ulaya wote..
Huu ni utumwa wa kifikra kwa waafrika.
Kila mtu ashinde mechi zake!!..
Mbinu mbaya zipi? Acheni visingizio vya ajabu, Afrika hawana mbinu za kimpiraWale wanapinga hadharani ila wakiwa gizani na mbinu mbaya dhidi ya Africa wanakuwa kitu kimoja wale.
Haya lete manenoSisi Wareno leo tunaumaliza mwendo wa Morocco.
We mreno unajisikiaje huko uliko?Sisi Wareno leo tunaumaliza mwendo wa Morocco.
Morocco ndo watu wenye akili,Meusi menzetu ni masenge tu.Naiamini na naipenda Sana MoroccoNi kweli coz kabla ya michuano tulisimama na Cameroon,Senagal na Ghana hao wengine hawakua kwenye misamiati yetu.
Niko na Ufaransa. Waarabu wakakamue ngamia.
Weee jamaa ni mchawi aise..japo magoli umekosea ila red kadi imetoka, na moroko wameshindaTunguli leo linasema
Morocco 2 Portugal 1
Kuna mchezaji atapigwa red card leo.
Nahitaji damu ya chama cha mabuzi Tunguli lipate nguvu zaidiπ
ndugu hayo maneno hayajasemwa na taifa la morocco alisema mchezqji mmoja wa maroccoWaafrika wengi tunadai kulalamika eti Morocco ametubagua kwa kusema ushindi wao ni zawadi kwa Waarabu na Waislamu na kuwaacha Waafrika
Hivi niwaulize ni tangia lini tumewachukulia Morroco kama Waafrika wenzetu?
Hawa watu sisi si ndio tunaongoza kwa kuwaita Waarabu? Hata mechi za CAF club zao zikija hapa nchni tunawaita Waarabu
Iweje leo tulalamike kwa wao kujiona ni Waarabu?
Fainali ni Morocco vs Croatia
Hapa Tunguli linasema mfaransa anakula kichapo na Mbappe ataumia. Natafuta damu ya mwari ya mwezi niangalie mwisho itakuwaje.Weee jamaa ni mchawi aise..japo magoli umekosea ila red kadi imetoka, na moroko wameshinda
Tunguli lako kapikie uji tu unywe upunguze njaa uchawi auendi kwa mentali πππHapa Tunguli linasema mfaransa anakula kichapo na Mbappe ataumia. Natafuta damu ya mwari ya mwezi niangalie mwisho itakuwaje.
Mkuu kichapo atakula akicheza na Morocco sio na hawa wajukuu wa babu.Tunguli lako kapikie uji tu unywe upunguze njaa uchawi auendi kwa mentali πππ
Apo kwa moroko labda waingie na mabomu uwanjani. France hawana cha kupoteza. Watawaheshimu moroko ila kipigo kitakuwa pale pale.. aise akipigwa basi nitaamini uchawi upoMkuu kichapo atakula akicheza na Morocco sio na hawa wajukuu wa babu.