Waafrika tulipotoshwa kuhusu Chifu Mangungo wa Msovero sio mjinga, Watanzania tuiombe familia yake msamaha na tumuenzi kama shujaa wa uwekezaji

Mangungo alikuwa more intelligent than some of our member of parliament particularly from rulling party
 
Mtoa mada umechemka vibaya sana. Kwanza tambua ya kwamba hilo jina la mwekezaji sijui wawekezaji yamekuja sasahiv kwa kuzingatia mutual benefits za kibiashara lakini enzi hizo za ukoloni hakukuwa na terminology mkoloni simply unaona mpaka hapo Dkt Karl Peters alikuwa ni mkoloni persee aliyeamua kutumia njia ya kumlaghai Mangungo kwasababu aliona ni njia rahisi na ni effective zaidi.

References zinadai katika makubaliano hayo, mostly kulikuwa na kuhadaiwa kwa kiongozi wetu wa kimila yani Chief Mangungo kwani alitia wino kukubali mkataba uliokuwa na mda mrefu zaidi (historia zinasema ni zaidi ya miaka 100) ina mana bila kupata uhuru wetu mpka leo hii tungekuwa chini ya huo mkataba. Chief Mangungo hakuelewa lugha ya kingereza nashangaa ni wapi unasema alikuwa na mkalimani anaemtafria, really???? Huyo mkalimani yeye alisomea wapi hicho kingereza???

History zinadai kuwa Mangungo kusaini mkataba ule japo hakuuelewa ilikuwa ni kutokana na kuuhofia utawala wa wajerumani kwani kwa hakika kabisa kama angeamua kuugomea ni wazi angrlazimika kuingia kwenye battlefield na mjerumani kitu ambacho alitafakari akaona hakiwezi hivo ndipo akaamua kusain kama submission ya mapema kwa wakoloni. Ikumbukwe pia enzi hizo stories za kuingia kwa wakoloni maeneo tofauti tofauti ya Africa hususani tanyanyika yalikuwa yanafamika hivyo baadhi ya watawala walikuwa na taarifa za uwezo wa wakoloni kivita kama ukiamua kwenda nao against hivyo machifu wengine walianza kuingiwa na woga wa kupambana nao.

Katika kusamarize, ni kwamba chief mangungo hakusaini kwa kuridhia au hiari ni kwamba aliwahofia wajerumani. Karl Peters alikuwa ni moja ya wakoloni wa kijerumani katili sana kipindi hicho hadi kuna maeneo mengine alifamika kama "mkono wa damu" so ni wazi machief kama mangungo walimu underfier kuingia nao frontline kwenye uwanja wa mapambano. Muhimu zaidi ni kwamba usijaribu kumtetea chief wetu kwa kosa alilolifanya. Ukweli ni kwamba alifanya kosa japo ni kwa shinikizo la kuwahofia wajerumani na nguvu zao kipindi hicho. Tuwe tunajifunza kwa mistakes za wazee wetu ili tusije kurudia makosa yale ktk karne hii ambayo sisi vizazi vyao tuna uelewa na pia tuna uhuru wa kuamua kushirikiana au kutoshirikiana kwenye mikataba mbali mbali ya kimaendeleo. Sasa inashangaza sana bado karne hii tunaingia tena mikataba ya miaka sijui 100, sijui 99 dah inafikirisha sana kwakweli.
 
Hospitali ya BELEGA nadhani nayo iko ndani.
Km ni hivyo basi nami naunga mkono hoja.
Mangungo hakuwa akijua kusoma lkn mkataba wake ulikuwa na manufaa makubwa kwa jamii ukilinganisha na hii ya bandari,uwindaji,madini na rasilimali zingine inayosainiwa na VIONGOZI WANAOJUA KUSOMA MPAKA KICHINA LKN NI ZAIDI YA ULAGHAI.

NAMI NATOA WITO KWA SERIKALI NA JAMII KWA UJUMLA KWAMBA ZILE KUMBUKUMBU HASI ZILIZO ANDIKWA IWE NI KWENYE VITABU VYA KUFUNDISHIA NA KUJIFUNZIA SHULENI KUMHUSU SULTAN MANGUNGO ZIFUTWE NA KUANDIKWA UPYA.

SULTAN MANGUNGO alikuwa na uchungu na jamii aliyokuwa akiiongoza kuzidi hawa viongozi wa leo ambao hiyo mikataba wanayo saini ni kwa manufaa yao binafsi na siyo jamii.

Nasema hivyo kwa sababu naamini ni jambo ambalo haliwezekani familia ya Mangungo pekee kutibiwa hospitalini,kutmia barabara,kutumia reli na mengineyo.
 
Viongozi wa sasa wenyewe wana tofauti gani na mangu ikiondoa kujua kusoma na kuandika?
 
Ina maana watu wengi hawaja kuelewa?

Nimepita huko kiasi na nimekuelewa sana.
 
Up
Upewe maua yako mkuu.
 
Je, Yule aliyeuza gesi yetu yote kwa wachina yupo kundi gani?

Aliyeuza loliondo kwa waarabu wa othello sisi kama nchi tumefaidika nini?

Aliyempa bilionea Fredkin ekari 6,000,000 za ardhi kule Arusha kwa miaka 99 sisi tunafaidika nini?
 
Alikua kiazi tu kama viazi vya sasa vinavyojiita ma PHD holders
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…