Waafrika tuna uwezo mdogo wa kujiongoza kimaendeleo, Naomba unitajie nchi moja tu ya kiafrika inayoendeshwa na waafrika iliyo stable?

MTU mweusi hapatani na maendeleo sijui tatizo ni nini hata hapa Tz waarabu na wahindi wamefanikiwa Sana kuzidi waswahili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…