Waafrika twendeni tukazoe mafuta ya chee Urusi kama wanavyofanya China na India

Waafrika twendeni tukazoe mafuta ya chee Urusi kama wanavyofanya China na India

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Uchumi wa China na India inazidi kupaa wakati dunia ikiyasusia mafuta ya Urusi kibwege

Afrika tumerogwa kwelikweli, hatununui mafuta ya Urusi eti tunaunga mkono shida za watu wanaotudai madeni makubwa sana wakati China na India na wajanja wengine wanaitumia fursa ya vikwazo vya mafuta kupata mafuta ya bei nafuu kutoka Urusi na kutengeneza faida kubwa.

Pamoja na kuwasaidia kuweka vikwazo lakini fedha zao walizotukopesha wanazitaka vilevile.

Afrika tusiwe mazuzu twendeni tukachukue mafuta ya Chee kutoka Urusi.
 
Uchumi wa china na India inazidi kupaa wakati dunia ikiyasusia mafuta ya Urusi kibwege

Afrika tumerogwa kwelikweli, hatununui mafuta ya Urusi eti tunaunga mkono shida za watu wanaotudai madeni makubwa sana wakati China na India na wajanja wengine wanaitumia fursa ya vikwazo vya mafuta kupata mafuta ya bei nafuu kutoka Urusi na kutengeneza faida kubwa.

Pamoja na kuwasaidia kuweka vikwazo lakini fedha zao walizotukopesha wanazitaka vilevile.

Afrika tusiwe mazuzu twendeni tukachukue mafuta ya Chee kutoka Urusi.
Tunamuogopa baba mkuu wa Dunia Marekani
 
Sio rahisi kama unavyofikiri. Kununua hayo mafuta ni sawa na kunua kitu black market.
 
Sio rahisi kama unavyo fikiri. Kununua hayo mafuta ni sawa na kunua kitu black market
Inaweza isiwe kweli unachokisema labda ufafanue kidogo una maana gani
 
Mzingo hauna shipping permit, hauna document yoyote utapita tu? Alafu US akupe hela za msaada wewe ukanunue mafuta ya Urusi?
Alafu kumbe ujui ukinunua mafuta India tayari umenunua mafuta urusi
 
India ana misuli ila na yeye alipigwa biti akasema ananuna 1% ya matumizi yake. Ki uhalisia sio rahisi, kuna secondary suctions zita kuathiri tu.
 
Uchumi wa China na India inazidi kupaa wakati dunia ikiyasusia mafuta ya Urusi kibwege

Afrika tumerogwa kwelikweli, hatununui mafuta ya Urusi eti tunaunga mkono shida za watu wanaotudai madeni makubwa sana wakati China na India na wajanja wengine wanaitumia fursa ya vikwazo vya mafuta kupata mafuta ya bei nafuu kutoka Urusi na kutengeneza faida kubwa.

Pamoja na kuwasaidia kuweka vikwazo lakini fedha zao walizotukopesha wanazitaka vilevile.

Afrika tusiwe mazuzu twendeni tukachukue mafuta ya Chee kutoka Urusi.
Tupeane koneksheni tutajirike fastaa
 
Back
Top Bottom